Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂Mwanajeshi akiwa na Sura ya Kazi inavutia zaidi.
Hata Wanawake wanapenda.
Lakini Sura ya Kazi alafu kazi huna huoni hapo kuna tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Mwanajeshi akiwa na Sura ya Kazi inavutia zaidi.
Hata Wanawake wanapenda.
Lakini Sura ya Kazi alafu kazi huna huoni hapo kuna tatizo
Sasa utanunua nini na hauna pesa?Pesa huna, mvuto huna utaishia kununua tu
Mvuto ni sura ,umbo,mavazi,manukato,kujiamin,Sasa bila tupesa hata huo wa asili unapoteaUpo mvuto WA Asili Mkuu.
Wanawake waulize watakuambia, jitahidi uwaulize wakiwa wanauhuru na wewe wasije wakakupa majibu Fake.
Wa buku buku nao utaishwindwa kweliSasa utanunua nini na hauna pesa?
Alafu hao wa buku ni minato hatari ni vile tu haujui mkuu😁Wa buku buku nao utaishwindwa kweli
Umemaliza mkuu mimi naona tuishie hapaWanaume wote walioishi maisha yao kuwafurahisha na kuwaridhisha wanawake wote wameangamia na wengine wapo kwenye majuto makuu.......
Mwanaume jifunze sana kuuzuia moyo wako kwenye Yale mambo yaliyo nje ya uwezo wako.......
Kwenye maisha usiishi kushindana au kubishana na mwanamke abakie kwenye maisha yako.....mpe machaguo ili abakie kwa khiyari yake na aondoke kwa khiyari yake.......
Naam [emoji91]Wanaume wote walioishi maisha yao kuwafurahisha na kuwaridhisha wanawake wote wameangamia na wengine wapo kwenye majuto makuu.......
Mwanaume jifunze sana kuuzuia moyo wako kwenye Yale mambo yaliyo nje ya uwezo wako.......
Kwenye maisha usiishi kushindana au kubishana na mwanamke abakie kwenye maisha yako.....mpe machaguo ili abakie kwa khiyari yake na aondoke kwa khiyari yake.......
Mvuto ni sura ,umbo,mavazi,manukato,kujiamin,Sasa bila tupesa hata huo wa asili unapotea
Wanaume wote walioishi maisha yao kuwafurahisha na kuwaridhisha wanawake wote wameangamia na wengine wapo kwenye majuto makuu.......
Mwanaume jifunze sana kuuzuia moyo wako kwenye Yale mambo yaliyo nje ya uwezo wako.......
Kwenye maisha usiishi kushindana au kubishana na mwanamke abakie kwenye maisha yako.....mpe machaguo ili abakie kwa khiyari yake na aondoke kwa khiyari yake.......
Kuna kajamaa hakakua na sifa zote tajwa kwenye uzi aka akaingia kwenye ndoa na binti mrembo mwenye uwezo , mwisho wa siku jamaa kajipiga kitanzi kamwacha binti na kabendi , hili tukio halina ata siku 4 , vijana wajifunze.
Nakupenda😁Wanawake akikuambia anakupenda alafu huna Pesa na huna mvuto, hapo jua upo kwenye mtego mkali Sana
Duuuh!
Labda hiyo mimba sio yake.
Inawezekana ila mpka sasa chanzo hakijafahamika ila jamaa alikua anaishi kwa sonona sana, japo machoni pa watu alikua ana vimba vx ya kupewa ukweni.Duuuh!
Labda hiyo mimba sio yake. Hatari Sana
Usiishi ili kumvutia mwanamke bali ishi maisha yako na yeye akipendezwa nayo ndio muingie mikataba yenye uhalisia.....Ni lazima umvutie ili umpe hayo machaguo.
Kama humvutii hata hiyo nafasi ya kumpa machaguo afanye Kwa hiyari haitakuwepo.