Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Na nyumba, mashamba sio urithi!wazazi wengi wanawekeza sana kwenye elimu sababu wanaamini elimu ni urithi
Kijana punguza hasira tafuta hela!!!Wasiosoma ndio huponda elimu,
Kajitu kameishia form 4,kakatumia kipaji chase, kakawa kamilionea, kanakuja kuvimba, eti kanawazidi watu wenye masters mshahara!
Na kanaona ni jambo LA ajabu, je wale wenye LA Saba, wanaokazidi pesa!kwahiyo tuamin ukiishia LA Saba, form 4 unapata pesa nyingi kuliko ukifika k wenye degree na masters, kwahiyo watoto wasipelekwe vyuoni, maana kuna "maginiasi" Wamegundua ukiwa na elimu ndogo, kama Mond, s2kizy, nk unapata pesa nyingi kuliko wenye madegree, masters, kama mzee Mengi, Fernandes wa NALA, vunjabei, MO, Maxence Melo! So stupid,
Kama unaona st Mary's ni shule goals, we ni kapuku, Na kama huoni tofsuti ya kusomesha Kidumu na fagio, na zile za mabasi, ya njano,we akili human, bado mjinga,
Kama alifaulu basi alielimika.Alienda shule lakini hakuelimika...
Kazi mshahara laki 7 mpaka million 2 bado huwezi linganisha na mamilioni uliyotupa kwenye hizo EMMkuu utawalaumu wazazi kwa kulipa ada kubwa kwa sababu mtu hajapata kazi? Atapata kazi mpe muda kikubwa yupo sehem anapambanaq
Wanawake wengi wana hii mentality na kuwalazimisha waume zao kusomesha watoto shule za gharamaHivi kwanini huwa mnafanya ionekane kama vile wazazi wakisomesha watoto kayumba ndio watasave hela, mnajuaje je kama hizo hela wangeweza kuzitumia kwenye mambo mengine ambayo nayo pengine yasingekuwa na faida mbeleni, hao waliosoma kayumba mbona nao wengi wazazi wao wameshindwa kusave hizo hela tena wengine wamezitumia kwenye mambo ya hovyo zaidi kama kuhonga na kulewa au hayo ndio muhimu
Hakuna ajira ya ngazi za juu unapata kwa sababu umesoma EM ajira za ngazi za juu wenzako wamesoma nje ya nchi tena watoto wa wakubwa.Kwa hiyo hoja Yako wazazi wasisomeshe?
Kwanini hujiulizi wazazi hao walimudu vipi kumlipia ada huyo dogo kwenye shule za gharama kubwa namna hiyo? Kwanini usidhani kuwa wazazi huenda walifilisika?
Maisha haya fundi ila ni mipango, utashangaa huyo dogo akapata ajira Tena ya ngazi za juu!
Tusilazimishe kujipa unafuu wa fikra kwa kuweka mbadala rahisi wa vitu. Kila mtu kwenye maisha ana ramani thabiti ambayo hudhihirishwa na Muda na Nafasi.
Namba 3 umeua mkuu kundi kubwa lipo hapo hasa wanawake wanaolea wenyewe bila babaUkweli mchungu ambao darasa la saba na form 4 wazamani watakuja kupinga😄😄😄😄
Kwa utafiti usio rasmi wengi wa waliosomesha vijana EM na wanaoendelea kusomesha watoto EM ni;
1. watu waliopata pesa kwa shida sana bila kuwa na elimu kubwa yaani darasa la saba na form 4 wa kayumba.
2.Middle class wa kibongo ambao hawana akili timamu ya kujua nini cha kuwekeza mwishowe unakuta hawana hata nyumba wala gari mpaka wanafikia kustaafu.
3.Malimbukeni wanaopenda mashindano na majirani wa mtaani kwao au ndugu zao.Hawa hawajui nini kinaitajika kwa dunia ya sasa wala hawana dira ya miaka 10 au 15 ijayo.Baada ya kusomesha watoto zao EM watarudi kulaumu serikali baadae kuwa wapewe ajira.
Kwa kifupi haya ndo makundi ya jamii ya watanzania watetezi wa EM na washabiki kindakindaki wa huu upotevu wa rasilimali.
Ukioa kilaza lazima akupande kichwani.Wanawake wengi wana hii mentality na kuwalazimisha waume zao kusomesha watoto shule za gharama
Hoja yao ni kuwa pesa zitatumika kwa michepuko mwisho wa siku mzee anashindwa kupanga list yake vizuri huku umaskini ukitamalaki kwenye familia
Wasiosoma ndio huponda elimu,
Kajitu kameishia form 4,kakatumia kipaji chase, kakawa kamilionea, kanakuja kuvimba, eti kanawazidi watu wenye masters mshahara!
Na kanaona ni jambo LA ajabu, je wale wenye LA Saba, wanaokazidi pesa!kwahiyo tuamin ukiishia LA Saba, form 4 unapata pesa nyingi kuliko ukifika k wenye degree na masters, kwahiyo watoto wasipelekwe vyuoni, maana kuna "maginiasi" Wamegundua ukiwa na elimu ndogo, kama Mond, s2kizy, nk unapata pesa nyingi kuliko wenye madegree, masters, kama mzee Mengi, Fernandes wa NALA, vunjabei, MO, Maxence Melo! So stupid,
Kama unaona st Mary's ni shule goals, we ni kapuku, Na kama huoni tofsuti ya kusomesha Kidumu na fagio, na zile za mabasi, ya njano,we akili human, bado mjinga,
Wanapenda show off za kipumbavu yani akiona mtoto analetwa na gari akitoka shule mtaa wote anaona boss ni yeyeUkioa kilaza lazima akupande kichwani.
Ni kizaizai inferiority complex inawapoteza kwenye reli wanakosa focus.Mwisho mtoto akigraduate ndo wanaanza kufunguka akili kuwa walipoteza pesa bure.Wanapenda show off za kipumbavu yani akiona mtoto analetwa na gari akitoka shule mtaa wote anaona boss ni yeye
Na nyumba, mashamba sio urithi!
Kuna dogo mtaani alikuwa anasomeshwa international school akiwa la kwanza baba ake ni mchaga ila mama ndio anakaza eti mtoto wampeleke international school basi siku za likizo akija na vingereza vyao vya kuunga unga mother anafurahi kweli mtaa wote wanavimbaNi kizaizai inferiority complex inawapoteza kwenye reli wanakosa focus.Mwisho mtoto akigraduate ndo wanaanza kufunguka akili kuwa walipoteza pesa bure.
Kwahio unashauri watu wasiende shule