EM ni nini?lakini naona ni bora amejiongeza kuliko angekaa tu kusikiliza aibu yake
EM zipo nyingi sana siku hizi, hazipo exclusive tena, wengi wataishia mitaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EM ni nini?lakini naona ni bora amejiongeza kuliko angekaa tu kusikiliza aibu yake
EM zipo nyingi sana siku hizi, hazipo exclusive tena, wengi wataishia mitaani
english mediumEM ni nini?
Umesoma course gani, upate connectionYeah mda mwngine nawaza labda mzee angekuwa mbali tu make kazi yangukubwa nikubet tu
Kina msaada sana Mzeekingereza bila Hela kwa bongo ni fedheha kubwasana
Uwinga sio kitu kibaya ni mwanzo mzuri wa kujitafutaHapo Mzazi hana kosa…Kosa ni la aliyesomeshwa na akatoka na ujuzi wa Uwinga…Trust me hata ukimsaidia atarudi kuwa winga.
inawezekana ikawa chai lakini huu ni ukweli ambao wengi wanaupitia na baadhi nawafahauNimekutana na Winga karikoo anatema ung'eng'e umenyooka. Baada ya kuzoeana nae. Akanipatia CV yake nimsaidie kusaka kazi.
Kucheki CV ya winga huyo wa karikoo naona primary kasoma St marys, O level kasoma Shaban robert, A level kasoma Feza. Chuo pekee ndio kasoma chuo cha kayumba Udsm.
Nikamuuliza kwa nini asiombe mtaji kwa wazazi wake maana wanaonekana wana uwezo.
Akanijibu wazazi Wake hawana hela wala chochote cha kuwapatia leo hii. maana Hela zao waliwekeza kwenye kusomesha watoto tu.
Hata nyumba yao ya kuishi haijakamilika mpaka leo hii sababu ya kusomesha
MDUmesoma course gani, upate connection