100%factkama huna mali za kutosha, Hizi sio zama za kuwekeza mamilioni kwenye elimu
Kuna dogo mmoja kasoma shule hizo kafika Hadi chuo Sasa ni mganga wa kienyeji.Nimekutana na Winga karikoo anatema ung'eng'e umenyooka. Baada ya kuzoeana nae. Akanipatia CV yake nimsaidie kusaka kazi.
Kucheki CV ya winga huyo wa karikoo naona primary kasoma St marys, O level kasoma Shaban robert, A level kasoma Feza. Chuo pekee ndio kasoma chuo cha kayumba Udsm.
Nikamuuliza kwa nini asiombe mtaji kwa wazazi wake maana wanaonekana wana uwezo.
Akanijibu wazazi Wake hawana hela wala chochote cha kuwapatia leo hii. maana Hela zao waliwekeza kwenye kusomesha watoto tu.
Hata nyumba yao ya kuishi haijakamilika mpaka leo hii sababu ya kusomesha
Mganga wa kienyeji anatema kizunguKuna dogo mmoja kasoma shule hizo kafika Hadi chuo Sasa ni mganga wa kienyeji.
Ni ujinga na upuuzi wa Hali ya juu sana Kwa mzazi ambae huna assets za maana kujistress kulipa mamilioni shule za EM
Kama alisoma feza familia sio ya kawaida pesa ilikuwepo.
Mkuu kwa nini unapinga ushahidi wa wazi.Kila mtu akiwa na kampuni nani atanunua au kufanya kazi kwenye hizo kampuni ? Hivi watu huwa mnaangalia equation nzima au varible moja tu katika equation ?
Elimu ni kupata uelewa wa kupambana na mazingira yako.., ila upambanaji wa mazingira katika viumbe ambavyo ni social (kama wanadamu) vinahitaji kutegemeana.., Hivyo badala ya kulaumu hao anza kwanza na kulaumu watumishi wako unaowalipa Kodi kwanini wanafanya hao / hizo nguvu kazi za sasa kushindwa kupata ujira wa kutosha au kutumia elimu yao kwa manufaa ya nchi...
Ustawi wa Jamii: Tunajiandaa Vipi na Kuzuia Wimbi la Wazee Ombaomba wa Kesho ?
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...www.jamiiforums.com
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...www.jamiiforums.com
Ushahidi gani ? mwisho wa siku binadamu anatakiwa kupata atleast basic needs ili aweze kusurvive bila hivyo atachukua hata chako wewe tajiri.., In short kutakuwa hakuna Society, hivyo hao kama wanapata mkate wao wa kila siku all the bestMkuu kwa nini unapinga ushahidi wa wazi.
Pili hii ni fallacy watu hawasomi tu ili wapate pesa ingekuwa hivyo wenye pesa wasingesoma.., wanachofanya hao wazazi ni part ya wenyewe wanachokiona ni wajibu wao (kumpatia mwanao elimu bora iwezekanavyo) na hapo kabla elimu ndio ilikuwa ufunguo wa maisha (ingawa dhima ya elimu ilikuwa ni kumpatia mtu nyenzo za kupambana na mazingira yake yaani kuondoa ujinga) hivyo hata asiyekwenda shule kama amejifunza / anajifunza hio ni Elimu....Mtoa mada hajatoa conclusion kama ulivyodai. Ni open discussion ambayo inatakiwa itupe tafakuri. Kila mmoja atafakari mwisho wa siku wa anachokifanya.
Hii ni fallacy ya kipuuzi sana.., watu wanadhani kufungua Kampuni (kuipa Serikali njia zaidi ya kula kodi na jasho lako) ni jambo rahisi..., Mtaani ni pagumu balaa na sio kila mtu anapaweza kunahitaji discpline ambayo waliyonayo ni wachache sana katika biashara 100 zinazoanzishwa ulimwenguni asilimia mpaka 90 zinafeli katika mwaka wa kwanza tu..., kwahio the only sure thing kama taifa ni kuhakikisha kunakuwa na middle income ya kutosha watu wanaoweza kupata ujira kwa kufanya lolote (be it hao mawinga ambao ni kosa la serikali kutokuwa na infrastructure hivyo taifa la madalali na wachuuzi) au kuwa na Sera za kuweza kutumia nguvu kazi iliyopo ili watu wapate ujira..., sababu na hii ni cha mtoto mbegu tunazopanda za upuuzi tunaofanya leo tutaanza kuuvuna hapo keshoDhana ya kufungua kampuni ndio suluhisho la kizazi kijacho.
Hao waasia wengi ushaenda kwao na umekuta wanafanya nini, hakuna nchi yenye matabaka na mafukara wa kutosha kama India, kwahio hawa unaowaona huku ndio baadhi ya creme de la creme; Au ushakutana na watanzania waliopo ughaibuni wanavyochapa kazi; hata ukiwa na waafrika laki moja wenye makampuni bongo (tena wapo wengi nenda Brela) ila ndio hivyo wengi ni makampuni ya briefcase na kampuni zinazopumulia mashine..., na hata zingekuwa kampuni bora kama mia 200 (je katika karne hii ya teknolojia na mashine) Kampuni hazihitaji tena watu wa kufanya kazi (kutoa ajira) unategemea hao waliobaki watafanya nini ? Au kila mtu aanzishe kampuni yake ili tuweze kuuza bidhaa za mchina na kuuza vya kuuza (bandari n.k.) siku vikiisha turudi kufanya kile ambacho tunaona leo hii hakifai?Unakuta ulionza nao primary mpaka chuo kikuu hakuna alie anzisha kampuni hata mmoja. Wakati hao waasia ni wachache ila wanaongoza kwa makampuni.
Kampuni ? Kampuni ni chombo kilichoanzishwa miaka na miaka nyuma huko iliyopita ili kuondoa risk / uwajibikaji wa mtu binafsi kama mambo yakienda kombo..., na ndio chombo kilichogundua kwamba unaweza kuuza share kwa wengine hivyo ukipata faida au hasara na wao wanapata bila kufanya shughuli moja kwa moja..., na ndio hizo kampuni zilizokuja na kuleta ukoloni nchini Afrika kwa kupewa support na nchi zao..., Dunia ya sasa tena unaweza ukasema uanzishe Kampuni huende Brela tena na Kodi zetu hizi ukawa unacheza kwa kuwapa walamba asali faida (Kwahio kwa ushauri kama una tender sehemu au requirement kwamba huwezi kupata kazi bila kuwa Kampuni wala usiende huko) utabakia kuifanyia kazi Serikali...Kampuni si ndio msingi wa ajira kwa dunia ya sasa.
Hakuna jipya hapa ambalo utabuni halijawahi kufanyika ila kuna mazingira yanabadilika hivyo inabidi kama taifa / dunia tubadilike na sio mtu mmoja mmoja; yaani kama utumwa ulivyomalizwa na Industrial Revolution na ndivyo hivyo hivyo hii Capitalism as we know it today itamalizwa na Teknolojia / Automation.., sababu it no longer create employment....Nadhani kuna namna inatakiwa turekebishe akilili zetu kutoka mazoea na kuwa wabunifu zaidi.
Yaani hata kabla haujawaza na kufanya jambo ambalo litamsaidia mwanao miaka ishirini from now majority hata hawajui kama kesho watakula au jioni watakula (na kumbuka kumfanyia mwanao na kumpa pensheni hio sio wajibu bali ziada) ila kumpeleka shule na kumlisha ni wajibu na kazi yako wala sio ombi (kama ulishindwa kufanya hayo basi usingeanzisha familia). Pili huwezi kumpangia mwanao maisha huenda ukasema uanzishe law Firm au Hospital ila kumbe yeye msanii na anapenda kuimba (then what?!!) Au ndio hapo mnaanza kukosana ? Cha maana kama uwezo unao mfungulie akaunti na muwekee pesa huko fixed akaunti ili siku akifikisha miaka kadhaa mpe afanye anachotaka..., Tatizo una equate maisha na PesaKama ajira ni chache kwa nini uendelee kutumia gharama kubwa wakati hujui nani atamuajiri mwanao. Kwa nini familia sasa zisiwe chanzo cha kubuni ajira ya watoto wao ?
Unachoongelea ni cha kusadikika na out of touch.., moja huwezi kumuandalia mtu cha kufanya mtu sio robot na ana matakwa yake na anachopenda (nimeona familia nyingi vita kazi ya wazazi na watoto kutokana na kulazimishana cha kufanya) mbili unaongelea watu ambao hata milo mitatu hawana wapangie watoto cha kufanya baada ya miaka 20 ?; Si wangeweza hicho wangefanya leo ? Kwahio again badala ya kulalamikia wazazi lalamikia serikali yako kutokuwa na miundombinu sahihi ya wananchi wake kuwa na disposable incomeWekeza kwenye hio ilimu ila ukumbuke kumuandalia cha kufanya baada ya kuhitimu.
Kama unadhani kila mtu ana discipline ya investment think again (hakuna mtu ambaye hajui kwamba akinunua nyanya Tshs 10 akauza 12, na akanunua tena na kuuza 12 na kuongezea mtaji kwenye mtaji na mtaji mwisho wa siku mtaji utakua mkubwa na hivyo kupata faida na faida) ila tatizo ni kufanya kile ambacho anajua...Sisi wenye watoto wanaosoma tuchukue tahadhari, tupambane kuwaaandalia mazingira watoto. Kila mtu anaelimu siku hizi. Tena mitandao ndio imemaliza value ya elimu. Ila sio kila mtu anapesa na investment.
Kwamba unataka kusema wanaume huwa mna mchepuko mmoja na kingine huyo mchepuko wako anatoka kijiji gani hadi hamalizi milioni nne kwa mwaka, hivi wanaume wenzio wanaposema mambo yanayoongoza kuwamalizia pesa ni pombe na wanawake huwa wanamaanisha nini unafikiri, by the way hata kama wa kwako hamalizi ila bado hizo hela unazohonga ungeweza kuongezea kwenye ada ya mwanao every penny counts rememberMchepuko hauwezi kumaliza milion 4 kwa mwaka hata niwe nayo kumi
Sasa ada ya mtoto kwa mwaka ni shingapi kutaka kujimwambafai tu mtaani na nyie muonekane
Kwahiyo akilipa ada kubwa kwa mtoto ndio hatachepuka sijui huwa mnawazaga ushubwada gani wanawakeKwamba unataka kusema wanaume huwa mna mchepuko mmoja siyo, hivi wanaume wenzio wanaposema mambo yanayoongoza kuwamalizia pesa ni pombe na wanawake unadhani huwa wanamaanisha nini, by the way hata kama hamalizi ila bado hizo hela unazohonga ungeweza kuongezea kwenye ada ya mwanao every penny counts remember
Is it ? Ili iweje. Waliposema elimu ni ufunguo wa maisha walimaanisha maisha yepi ?Pili hii ni fallacy watu hawasomi tu ili wapate pesa ingekuwa hivyo wenye pesa wasingesoma..,
Hii sio chai waulize wazazi waliosomesha watoto mpaka vyuo vya ulaya na mpaka sasa hawana kazi. Wazazi tunaumia sana. Watoto wanazidi kuzeeka miaka inasonga mbele kazi hakuna. Kazi aliyosomea akiomba hapati. Hatukuwatayarisha kufanya biashara hata ufundi wala kilimo. Mfumo haukuwa hivyo. Pengine tungewasomesha kiasi tu waweze kujitegemea ktk fani fulani mapema. Hebu fikiria kazi za viwandani au binafsi watoto wanalipwa 200,000 kwa mwezi. Unamlipia nauli na pengine unaishi nao. Hiyo mshahara ndio anajinunulia mavazi nk. Ili mradi asikae nyumbani akapata msongo wa akili. Usiombe yakukute. Kama madaktari wa watu WANAKOSA KAZI NA KUAJIRIWA ZAHANATI BINAFSI KWA KAMSHAHARA KADOGO AU KUKOSA PIA HATA HIYO BINAFSI.Chai
Hadithi za Abunuwasi hizi, hats hivyo kiingereza siyo elimu, kule Uingereza ht wehu huongea kiingerezaNimekutana na Winga karikoo anatema ung'eng'e umenyooka. Baada ya kuzoeana nae. Akanipatia CV yake nimsaidie kusaka kazi.
Kucheki CV ya winga huyo wa karikoo naona primary kasoma St marys, O level kasoma Shaban robert, A level kasoma Feza. Chuo pekee ndio kasoma chuo cha kayumba Udsm.
Nikamuuliza kwa nini asiombe mtaji kwa wazazi wake maana wanaonekana wana uwezo.
Akanijibu wazazi Wake hawana hela wala chochote cha kuwapatia leo hii. maana Hela zao waliwekeza kwenye kusomesha watoto tu.
Hata nyumba yao ya kuishi haijakamilika mpaka leo hii sababu ya kusomesha
Hao wachaga umewataja kishabiki uhalisia hauko hivyo. Wachaga bd maskini km makabila mengine Tena wao Wana hali mbaya maana hawana rasilimali ya maana. Unalinganisha wachaga na wahindi? We kwl hamnazo.wahindi na Wachaga wanasomesha watoto shule za gharama ila wanabalance wanamiliki na biashara za familia pia.
Ni upuuzi kuwekeza hela yote ya familia kwenye kusomesha tu
Narudia tena kusema hili, na ntalisema hili kila wakati. "Kama una uwezo wa kumsomesha mtoto shule nzuri, basi fanya hivyo maana itamsaidia mtoto kuanzia mbele ya ulipoanzia kimawazo katika harakati za kutafuta maisha."Nimekutana na Winga karikoo anatema ung'eng'e umenyooka. Baada ya kuzoeana nae. Akanipatia CV yake nimsaidie kusaka kazi.
Kucheki CV ya winga huyo wa karikoo naona primary kasoma St marys, O level kasoma Shaban robert, A level kasoma Feza. Chuo pekee ndio kasoma chuo cha kayumba Udsm.
Nikamuuliza kwa nini asiombe mtaji kwa wazazi wake maana wanaonekana wana uwezo.
Akanijibu wazazi Wake hawana hela wala chochote cha kuwapatia leo hii. maana Hela zao waliwekeza kwenye kusomesha watoto tu.
Hata nyumba yao ya kuishi haijakamilika mpaka leo hii sababu ya kusomesha
Elimu inaleta ufahamu hata upate pesa haimaanishi kwamba elimu imekwisha au ndio mwanzo na mwisho wa elimuIs it ? Ili iweje. Waliposema elimu ni ufunguo wa maisha walimaanisha maisha yepi ?
Kuna masisha bila pesa ? Kwa hio watu wanasoma tu kujifurahisha ? Kama ni hivyo kwa nini vijana wanadai ajira ?
Kwahio kwa akili yako kina Prince Williams, au Dangato au watoto wa Wafalme hawasomi sababu tayari wana pesa ?Hao wenye pesa wameishajua kuwa elimu ni pesa na ndio maana wanaendelea kusomesha. Dhana ya kuwa hatusomi tupate pesa umeitoa wapi ?
Unaangalia vitu kwa mafungu tena kwa perspective yako na sio perception ya watu tofauti unaongelea Elimu ni mateso ? Binadamu ni enqisitive by nature kwahio wanataka kupata ufahamu.., unadhani kina Faraday, Newton walifanya wanachofanya ili wapate pesa kiasi gani ? Au wale watafiti wanaotoka kwao na kutumia pesa za ukoo mzima kuhamia kwenye mapori kufanya utafiti wa Archives wanafanya hivyo ili walipwe nini ?Je kazi ya maarifa unayopata shule ni ya kujifurahisha tu ? Mbona Eliku ni mateso bila pesa hakuna atakae vutiwa nayo.
ajira ni pesa au ajira ni Security ? Na elimu ni shule au Elimu ni uelewa ? Ukishafahamu hayo nadhani tutaweza kuongelea mambo kwenye page moja..., Na kwa kuona kwako hakuna ajira ukaona suluhisho ni kuondoa Elimu ?Mvuto wa elimu umepungua kwa kuwa mtu hana uhakika wa ajira.
Ningekuwa nawaza hayo ningekuwekea nyuzi za kutosha ninazolalamikia status quo na kinachoendelea sasa hivi ?Tusidanganyane, wewe unaingiza pesa kupitia hio elimu ndio maana huoni shida wanayopitia vijana waliowekeza muda na mamilioni ili waje wapate kazi.
Rudia uzi wangu kwanini unaishi na moja ya kazi ya mzazi ni kuhakikisha mwanae anapata elimu (wala hio sio hisani ni wajibu) sasa mwingine anaona prestige au mwanae akienda shule nyingine ananungunika kwahio yeye yupo radhi asumbuke maisha yake yote ili mwanae aende shule kama hizo ambazo kuna guarantee ya division one (be it ataelewa au hapana) hayo ni maisha yake na uchaguzi wake hatuwezi kumpangia..., Ila kama elimu haifai na ni gharama siwezi kulaumu mzazi aliyempeleka mtoto Fedha Boys bali Serikali ninayoilipa Kodi kwanini hizi shule nyingine haziwi kama ile...Hizo fedha boy nk zipi juwandaa wanafunzi wawe bora kulio wenzao ili wawashindekwenye kazi.
Sasa hapo umetoka kwenye Pesa umekuja kwenye kazi mamlaka n.k. (in short umejumuisha kila kitu) na kumbuka hapo umeweka security ambayo ukiwa na pesa utapata basic needs (chakula malazi na mavazi) ila unaweza ukapata hayo ukiwa kijijini bila pesa au unaweza ukapata pesa, kazi mamlaka na vinginevyo bila elimu ya shule (ingawa hakuna mtu asiye na elimu sababu kujifunza sio lazima uende shule)..., Lakini kama watu hawana hizo basic needs basi hio sio Jamii sababu kitawaka na watu kukabana mitaaniSikuzuii mtazamo wako ila kwa wengi ni Elimu ni pesa, kazi, mamlaka nk.
Elimu ni uelewa na hakuna mtu ambaye hana elimu hata wewe kuingia humu na kuweza kuandika unayoandika ni Elimu..., sasa kuhusu umaana ndio hapo tunakuja mtu binafsi..., mwingine mzazi anataka tu prestige kwamba watoto wangu wanasoma sehemu fulani (kwahio anakuwa ametimiza wajibu wake wa kusomesha na kulala kwa furaha kwamba kama baba / mama amefanya kile amacho kwake ndio anaona kinafaa) Na kuhusu pesa kila mtu akipata pesa sawa kwa kila wakati basi kutakuwa na inflation sababu watu hawali pesa (vya kununua vitakuwa vichache kuliko cha kununulia) hivyo basi badala ya kuangalia nyenzo (pesa) tuangalie kile kinachotafutwa na pesa (mahitaji) na yawe na gharama ambayo kila mtu anaweza kuimudu...Wazungu wanatusumbua kwa swbabu ya elimu ambayo inawaingizia mabilioni ya fedha.
ELIMU BILA PESA HAINA MAANA YOYOTE.