Ni akina nani waliohukumiwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe kama alivyosema Rais Samia?

Yuko madarakani kwa ule uchaguzi wa kishenzi uliofanyika chini ya yule kiongozi muovu.
Hata wewe umengeuka mapema hii? Madaraka hayapatikani kwakuiweka nchi rehani, hata Mungu hatakiwa upande wenu...Acheni tamaa zenu hizo!
 
Hata wewe umengeuka mapema hii? Madaraka hayapatikani kwakuiweka nchi rehani, hata Mungu hatakiwa upande wenu...Acheni tamaa zenu hizo!

Madaraka yanapatikana kwa maagizo kama ya yule kiongozi muovu aliye motoni? Au una hatukuona ule ushenzi, ukatili na uhayawani wa wazi uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020?
 
Madaraka yanapatikana kwa maagizo kama ya yule kiongozi muovu aliye motoni? Au una hatukuona ule ushenzi, ukatili na uhayawani wa wazi uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020?
Wewe utakuwa kizazi cha mafisadi, urithi umevurugwa na hayati ndiyo maana ya hasira zote hizi🤣🤣🤣
 
Respect is ALWAYS a TWO WAY TRAFFIC. Provocation!? Who is provocating who? Wewe babaako angekuwa yuko ndani kwa ushahidi FEKI ungeandika upuuzi kama huu!? Au mkuki ni kwa nguruwe!? 😳😳😳
Kwahiyo akimtukana Rais ndiyo case itafutwa?
 
Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!

Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....

Kwanini mnapenda provocation?
Kura zipi unazozungumzia?!
 
Kwa kuwa sasa suala la Ndugu.Mbowe limeshafika ngazi za kimahakama basi tusubiri sheria iamue..

Kivyovyote vile hata kama mashtaka yake yatakuwa ni ya kubumba na shinikizo huku nje na jumuiya za kimataifa zikaendelea bado msitegemee Ndugu.Mbowe kuachiwa mapema "yaani DPP aseme hana haja ya kuendelea na kesi" itakuwa ngumu mno kutokana na mahojiano ya leo kati ya BBC na Ndugu.Samia.
 
Wewe utakuwa kizazi cha mafisadi, urithi umevurugwa na hayati ndiyo maana ya hasira zote hizi🤣🤣🤣

Ni hivi yule ibilisi alikuwa ni kiongozi muovu fullstop.
 
Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!

Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....

Kwanini mnapenda provocation?
Yes, huna akili wewe
 
Jibu ni neno moja tu. MWONGO
 
Amepotoshwa..naye amekubali
 
Usituletee udini wa kipuuzi wewe
Hapo mbele ya Mauritios kuna kisiwa kinaitwa Chato.
Walihamishwa wanakijiji wote kupelekwa UK wengine wakanunuliwa ardhi Mauritius.
Sasa hivi hapo ni military base compound.
Us+UK Army Comando wako hapo wamegeuza ni kwao.
Hao wana Chato wanaomba warudi kwao bila mafanikio,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…