sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.
Kama mnavyojua, Kwenye ajira wazanzibar hupewa asilimia 21, kwa hio katika hizi nafasi 1,097 ni sawa na wazanzibari 230 tu,
230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo
Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.