Tuheshimuni na sisi mnatuita watanganyika tulioko huku, siyo mnaongelea issue za Tanzania ili hali watanzania wa bara tunabaguliwa kwa kila namna huku ungujaKwa sasa vijana wana apply ajira hizi mpya za TRA wakati wakisubiri hizo za ZRB na ZSSF,
Kuna shida yoyte ??