Tuheshimuni na sisi mnatuita watanganyika tulioko huku, siyo mnaongelea issue za Tanzania ili hali watanzania wa bara tunabaguliwa kwa kila namna huku ungujaKwa sasa vijana wana apply ajira hizi mpya za TRA wakati wakisubiri hizo za ZRB na ZSSF,
Kuna shida yoyte ??
zanzibar wanayakwao ambayo sisi wadanganyika hatuajiriwi zanzibar revenueTRA mamlaka ya mapato Tanzania sio mamlaka ya mapato Tanganyika
mbna sisi wadanganyika hatuna haki zanzibar revenue board inayokusanya mapato ya zanzibar hata leseni ya udereva imeandikwa jamuhuri ya muungano wa tanzania sio tanganyika ila ukienda zanzibar uendeshi gari kwa iyo leseniAjira sio za tanganyika ni za Tanzania.
Jiulize kirefu cha TRA je ni Tanganyika revenue authority ama Tanzania revenue authority?
Wa Zanzibar wana haki ya kisheria katika ajira za Tanzania zote. Ingekuwa za Tanganyika ungekuwa sahihi
Ni "anzibar revenue board" sio "Tanzania revenue board"mbna sisi wadanganyika hatuna haki zanzibar revenue board inayokusanya mapato ya zanzibar
kudadadeki chao chao chetu chaote daaaMuungano si mnaupenda sasa hasira hizi unatoa wapi? 🙂 🙂
Mashirika ya zanzibar mengi yameshajaa mkuu, kwa sasa wacha vijana wajaribu bahati yao hizi ajira mpya za muungano.
TRA ni mamlaka ya mapato Tanzania sio mamlaka ya mapato Tanganyika.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Nakutakia mchana mwema .
Tumeishakugundua wewe ni Samia mwenyewe unajikweza sana mitandaoni wakati utendaji wako ni sifuri zaidi ya Udini na uzanzibariTunaposema Rais Samia anatoa ajira muwe mnaelewa,
Kasi ya Rais wetu inatia moyo kwa kila Mtanzania,
Hongera Rais Samia kwa ajira mpya tuko na wewe daima ,
Mkuu unapoona shirika au Taasisi ina neno la Tanganyika, hapo ni watanganyika tu wanahusika, mfano Tanganyika law society chama cha wanasheria wa Tanganyikakudadadeki chao chao chetu chaote daaa
Yaani asilimia 21 ya ajira kwa wazanzibar? Huu ni ujinga nchi yenye watu kama mkoa mmoja wa singida!Tumeishakugundua wewe ni Samia mwenyewe unajikweza sana mitandaoni wakati utendaji wako ni sifuri zaidi ya Udini na uzanzibari
Punguza uchawaTunaposema Rais Samia anatoa ajira muwe mnaelewa,
Kasi ya Rais wetu inatia moyo kwa kila Mtanzania,
Hongera Rais Samia kwa ajira mpya tuko na wewe daima ,
Tanganyika Wana kipi?TRA mamlaka ya mapato Tanzania sio mamlaka ya mapato Tanganyika
Muungano ufeView attachment 1986349
Kwa siku za hivi karibuni ajira zimekuwa ni changamoto sana, Wahitimu wamezidi kuwa wengi sana.
Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,
Naona ingependeza walau kuwe na wazanibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
Muungano ni urithi wetu
Ndio maana wametengewa asilimia 21 badala ya asilimia 3 ambayo wangepewa kama wangechuliwa kama mkoa.Hapana mkuu, Zanzibar ni nchi inabidi iheshimiwe kama nchi.
Mkuu kuna mashirika kama Medical council of Tanganyika na Tanganyika Law pf society ni kwajili ua watanganyikaMapendekezo ya katiba mpya, maarufu katiba ya Waryoba iliweka wazi suala la Muungano. Kuna haja ya kudai Tanganyika yetu ili fursa za watanganyika tuzipate. kiukweli Watanganyika tunanyonywa na ni bora tuanze kujiita sisi wa-Tanganyika. Wao wana vitu vyao sisi wa-Tanganyika hatuna!
Asilimia 79 za ajiraTanganyika Wana kipi?
Patamu hapo, Wazanzibar wana haki kotekote halafu Watanganyika wana haki upande mmoja tu,Eeeh Mwenyezi Mungu ingilia kati huu muungano.Ajira sio za tanganyika ni za Tanzania.
Jiulize kirefu cha TRA je ni Tanganyika revenue authority ama Tanzania revenue authority?
Wa Zanzibar wana haki ya kisheria katika ajira za Tanzania zote. Ingekuwa za Tanganyika ungekuwa sahihi
Hao 230 watafanya kazi Zanzibar au huku Tanzanyika?View attachment 1986349
Kwa siku za hivi karibuni ajira zimekuwa ni changamoto sana, Wahitimu wamezidi kuwa wengi sana.
Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,
Naona ingependeza walau kuwe na wazanibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
Muungano ni urithi wetu
Kama ni nchi mjitegemee pimbi wwHapana mkuu, Zanzibar ni nchi inabidi iheshimiwe kama nchi.