King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ni kweli hawawezi kuongelea suala hilo hadharani.
Lakini, T.L ameamsha dude(stirring up diplomatic waters) na yanaweza kusaidia uhusiano wetu au kuuharibu. Yote yatetegemea na uzito wa suala hilo.
Kuna Uzito.
Tuone bwana January ata respond vipi au EU wata respond vipi.
Balozi anaweza, sambamba na Mh. Waziri ku 'clarify or refute' Tione!
Hawajui kama Mashirika ya Kijasusi ya Magharibi tuko nayo humu.Mambo hadharani
Una upeo mdogo sana Ndugu.Huyo balozi ana vyombo vya uchunguzi au alikuwa na hisia zake kama bavicha?
Mtabakia na ujinga wenu huohuo wa kutumia neno ,"Mzee wa kiki".Lisu mzee wa kiki kuliko siasa baada ya kutangaza sera na kuelezea mapungufu ya serikali ya awamu ya Tano yeye ameng'ang'ana na mambo ya mwaka 47.
Suala la umeme kwa Sasa lilopofikia linatosha kuiangusha serikali ya awamu ya sita hata Sasa achilia mbali uchaguzi wa mwakani
So ni nani?Ili swala serikali ilimalize mambo yaishe ,DAB anahusika kwenye Lissu's assassination attempt.
Wewe unaendika hapa utadhani una kitu kichwani,kumbe kichwa kitupu TU.Kweli lissu akili imechoka. Kila siku anataka, haojiwe lakin anaongea nonsense. Kama kuna ushahid Lissu ni mwanasheria afungue kesi mahakamani. Sasa, kila, siku porojo tu.
Kuna balozi sio tu zina vyombo vya uchunguzi bali hadi safe houses za kufanya mishe zao.Huyo balozi ana vyombo vya uchunguzi au alikuwa na hisia zake kama bavicha?
Siasa zote hutokanq na matukioKwa bahati mbaya Mimi sio CCM lakini achanane siasa za matukio na kiki mahala sahihi kwa lisu kupeleka swala lake ni mahakamani uzuri ushahidi kashasema anao
Mm nimeongea hoja kuwa, kwann kila, siku Lissu anaongea kuhusu Makonda kutaka kumuua.Kila, akiojiwa. Kwann asiende mahakamani kuliko kupiga kelele kama, nyumbu??? Lakin nyumbu wake ambaye umechoka, sana huna hata hoja unatukana watu tu. Plz nyumbu Jenga hoja acha ujinga.Wewe unaendika hapa utadhani una kitu kichwani,kumbe kichwa kitupu TU.
Sawa "mzee kiki"Mtabakia na ujinga wenu huohuo wa kutumia neno ,"Mzee wa kiki".
Naona hata hamjui matumizi yake .toka mmelijua hamabadiliki.wenzenu wanawaona mlivyo uchi.
Acha kuongea uwingi mmesahau na nani? Sema wewe ndio umesahauKuendelea kulilia huruma kwa shambulio haina tija kwa sasa, watu tulishasahau..... mamlaka zilishalipuuza.
Basi viwasilishe huo uchunguzi wao mahakamaniKuna balozi sio tu zina vyombo vya uchunguzi bali hadi safe houses za kufanya mishe zao.
Mahakama zipi?Basi viwasilishe huo uchunguzi wao mahakamani
ICCMahakama zipi?
Akili ndogo ndiyo hizi zako.Huyo balozi ana vyombo vya uchunguzi au alikuwa na hisia zake kama bavicha?
Hehehee....sujui kwanini watu wanakereka wakisikoa Lissu anasimulia Shambulio lake.Kweli wewe ni "much know "
Lissu alikuwa anajibu maswali aliyokuwa akiulizwa. Sasa kama swali lilihusu shambulio lake atazungumziaje issues za umeme ambazo hajaulizwa?
We una hoja gani hapa?J
Nyumbu wengi hamna, uwezo wa, kuandika kwa hoja. Ila matusi ndio mnajua. Lowasa,alisema elimu!!Elimu!!!Kama huwezi kujenga hoja, maana yake huna elimu. Kifuatacho ni matusi.
That every one knowsChadema ni maarufu kuliko ccm
Jibu hoja bawacha weweAkili ndogo ndiyo hizi zako.