Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Asee bro uko serious kweli? Biashara ya spare parts za vyombo vya moto inalipa balaa mtu anaweza kuwa na duka ambalo kimuonekano ni dogo lakini akaishi maisha mazuri sanawauza spea za magarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee bro uko serious kweli? Biashara ya spare parts za vyombo vya moto inalipa balaa mtu anaweza kuwa na duka ambalo kimuonekano ni dogo lakini akaishi maisha mazuri sanawauza spea za magarii
Kuna mtu alianzisha uzi humu akasema ana wasiwasi na aina ya biashara wanazofanya pengine kuna aina nyingine ya biashara si bureMaduka ya IPhone pale Makumbusho...
kwa maana.
Pale Frame ni gharama ,maduka yapo mengi sana, matumizi yao binafsi, matumizi ya ofisi....halafu nikiangalia mtaani Techno,Infinix na Samsung ndiyo nyingi.
Mkuu nimecheka kidogo lakini pia imenipa kutafakariMkuu kwa hizo faida ndogo ndogo, kodi tu ya frame sijui itarudi vipi 😀
Hapo wengi ni kama wanahifadhi pesa tu, yaani badala ya kwenda kuiweka benki, anaamua kuilaza tu hapo.., kumbuka , pesa inashuka thamani, pesa ukiweka leo benki, kama ilikuwa na uwezo wa kununua gari, ukienda kutoa baada ya miaka 30, unaweza usipate hata baiskeli. Ila nyumba na rdhi vinabaki na thamani kama sio kuongezekaUjenzi wa maghorofa makubwa ya biashara na ofisi,wanapataje faida...?
-Ujenzi una gharimu mabilioni.
-uendshaji wa Majengo unahitaji mamilioni
-Kodi zao zipo juu
-Majengo mengi hata nusu ya floor zote zipo wazi.
10% ya mauzo ndio faida, ukiuza Kwa siku laki Moja, faida Yako ni elfu 10. Kwahio yakupasa ule Kiasi kisichozid elfu 4, ili elfu 6 ibaki kuongeza mtaji.Duka la rejareja, ila mi kwangu nisicho elewa ni unajua vp kiasi unachopaswa kuchukua kwa mahitaji yako ya kila siku.
Then why wasiHapo wengi ni kama wanahifadhi pesa tu, yaani badala ya kwenda kuiweka benki, anaamua kuilaza tu hapo.., kumbuka , pesa inashuka thamani, pesa ukiweka leo benki, kama ilikuwa na uwezo wa kununua gari, ukienda kutoa baada ya miaka 30, unaweza usipate hata baiskeli. Ila nyumba na rdhi vinabaki na thamani kama sio kuongezeka
Sana tu, sema wale ni watoa huduma.Kwahyo TANESCO na DAWASCO wanatupigaga change la macho...😇🤗
Kwani hiyo huduma ni bure...?Sana tu, sema wale ni watoa huduma.
Sio bure hao siwezi kuwaongelea sijui namna gani wanatengeneza faida kwa kuwa wana bajeti kila mwaka kutoka serikalini.Kwani hiyo huduma ni bure...?
Faida ipo inategemea na mzunguko wa biashara. Buku ni kubwa kwenye biashara yenye mzunguko mkubwa.Duka la vyupi, duka la jumla ye ananunua elf 9 anauza elf 10...means faida buku.
Kodi laki na nusu kwa mwezi, muuzaji mshahara laki na nusu bado kula nauli. 🤔
Basi biashara zina siri sanaFaida ipo inategemea na mzunguko wa biashara. Buku ni kubwa kwenye biashara yenye mzunguko mkubwa.
MODS ,tuleteen mkuu Melo,JAMIIFORUMS
-mnalipa kodi
-mnalipa pango,maji,umeme
-mnanunua mitambo
-Mnalipa mishahara na viinua migongo.
-Mnanunua vifaa,mnafanya marekebisho
-Hamfanyi matangazo
-Mnalipia gharama za kesi mahakamani
-Mnalipia server,vibali.
Mr.Melo,mnatengenezaje faida.
Hii biashara inapesa mkuu hasa ukifungua maeneo karibu na chuo .Duka la vyupi, duka la jumla ye ananunua elf 9 anauza elf 10...means faida buku.
Kodi laki na nusu kwa mwezi, muuzaji mshahara laki na nusu bado kula nauli. [emoji848]
Ni kama maduka ya jumla ya juice katoni moja unaweza kuta faida jero, haifiki buku, mzunguko ndo unaamua faida ya jumlaBasi biashara zina siri sana
Ikajizungusha bila neno? Kodi hapo mshahara hapo, kula na nauli?Hii biashara inapesa mkuu hasa ukifungua maeneo karibu na chuo .
Sana biashara zina mambo mengi na kila mfanya biashara ana yake.Basi biashara zina siri sana
Chup, sidiria soksi za watoto na watu wazima ,mikufu ,heren , leso, bangili , shanga , bukta za kiume za ndani , vesti, skin , ukipiga huo mseto hiyo pesa inatoka kirahisi.Ikajizungusha bila neno? Kodi hapo mshahara hapo, kula na nauli?