Ni biashara Gani ulianza na pesa kidogo na inakulipia bills zote,saidia na wengine 🤔🙏❤

Ni biashara Gani ulianza na pesa kidogo na inakulipia bills zote,saidia na wengine 🤔🙏❤

Asikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
Uliazaje azaje mkuu naomba idea yko kidogo nipate mwanga
 
Asikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
"Usikae na hela always ukishauza jioni ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine..... " Nimependa sana hiki kipengele
 
Nikiwa chuo mwaka wa Kwanza
Nilijichanga changa nikafungua
Vijiwe viwili vya kuuza pweza

Kimoja mitaa ya mwenge
Kingine buguruni

Nikawapata madogo wawili wakutoka lindi wakawa wananiuzia

Nilianza na capital ya laki moja na themanini (180k) kwa kila kitu

Yaani
Meza 2 za kishkaji
Themosi, vikombe, vijiko, bakuli
Majiko ya mkaa
Mkaa kidogo
Viazi vya kachori
Mafuta
Pweza nilianza na kilo 5
Nauli za madogo
Nk


Baada ya miezi minne nilifungua
Vijiwe vingine vitatu
Gongolamboto
Mbagala kwa Aziz ally
Ubungo riverside njia panda ya makoka

Na ilikuwa inanipa pesa nzuri kwa wakati ule

Changamoto ilikuwa ni kupitia na kuzunguka vijiwe vyote kukagua nini kinaendelea

Nilichofanya nilikuwa nachukua faida buku 2 kila kijiwe kila siku, na hiyo pesa naikusanya jumamosi

Kila jumamosi nilikuwa nachukua elf 70
Na mara chache ilikuwa inapungua kulingana na changamoto

Nashukuru wale vijana walikuwa waaminifu, sikuwa nawalipa mshahara, yaani niliwaachia mtaji mi nachukua buku 2 kilichobaki chao, ila nazingatia mtaji anaulinda
Haya sasa ndio mambo
 
Nikiwa chuo mwaka wa Kwanza
Nilijichanga changa nikafungua
Vijiwe viwili vya kuuza pweza

Kimoja mitaa ya mwenge
Kingine buguruni

Nikawapata madogo wawili wakutoka lindi wakawa wananiuzia

Nilianza na capital ya laki moja na themanini (180k) kwa kila kitu

Yaani
Meza 2 za kishkaji
Themosi, vikombe, vijiko, bakuli
Majiko ya mkaa
Mkaa kidogo
Viazi vya kachori
Mafuta
Pweza nilianza na kilo 5
Nauli za madogo
Nk


Baada ya miezi minne nilifungua
Vijiwe vingine vitatu
Gongolamboto
Mbagala kwa Aziz ally
Ubungo riverside njia panda ya makoka

Na ilikuwa inanipa pesa nzuri kwa wakati ule

Changamoto ilikuwa ni kupitia na kuzunguka vijiwe vyote kukagua nini kinaendelea

Nilichofanya nilikuwa nachukua faida buku 2 kila kijiwe kila siku, na hiyo pesa naikusanya jumamosi

Kila jumamosi nilikuwa nachukua elf 70
Na mara chache ilikuwa inapungua kulingana na changamoto

Nashukuru wale vijana walikuwa waaminifu, sikuwa nawalipa mshahara, yaani niliwaachia mtaji mi nachukua buku 2 kilichobaki chao, ila nazingatia mtaji anaulinda
Kwamba Buku 2 kwa siku kijiwe cha pweza??????????? Au mimi kuna kitu sielewi hapaa
 
Kwamba Buku 2 kwa siku kijiwe cha pweza??????????? Au mimi kuna kitu sielewi hapaa
Yes maana walikuwa wanauza supu ya pweza, pweza, na kachori

Na madogo walikuwa wanapata faida sana, sometimes kuna siku walikuwa wanaondoka na faida ya elf 15 na zaidi mkuu

Kati ya hao madogo saivi wawili wapo kariakoo wanapiga pesa kupitia mitaji iliotoka kwenye pweza,

Mwingine bado nnae mimi mpaka Leo ingawa ana mishe zake zingine anafanya
 
Yes maana walikuwa wanauza supu ya pweza, pweza, na kachori

Na madogo walikuwa wanapata faida sana, sometimes kuna siku walikuwa wanaondoka na faida ya elf 15 na zaidi mkuu

Kati ya hao madogo saivi wawili wapo kariakoo wanapiga pesa kupitia mitaji iliotoka kwenye pweza,

Mwingine bado nnae mimi mpaka Leo ingawa ana mishe zake zingine anafanya
Kwa pweza mbona kama ulikuwa unachukua hela ndogo sana kulinganisha na mzunguko wa biashara ulivyo....
 
Ilikua 2018....

Nilianza kuuza dawa za mbu nilikua na mtaji wa 60k tu....
Nilikua naenda Kule kariakoo naunua box zima la hizo dawa zile za kuchoma zipo karatasi lile box limeandikwa SHENKE...

Enzi zile bei ilikua 50k japo bei haikua constant kesho yake unaweza kuta kimepanda Hadi 70+k...

Mimi nilikua nachukua box zima nikija nafungua humo kuna vibox vidogo vidogo ndo nilikua nawauzia wale "wauzaji wa rejareja" maeneo ya mbezi Louis ile stand ya maramba mawili....

Box liliisha nilikua na uhakika wa kupata 20+k... Kuna siku ilikua kuuza box mbili Hadi tatu ni kawaida hasa bei ikipanda kariakoo ilikua n full bata....
View attachment 2818492
 
Asikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
Nami pia
 
Asikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
Kuna ndugu yangu alifanya hivi kama wewe.Aliweka duka ila target yake kubwa ilikuwa kwenye MCHELE NA MAFUTA YA ALIZETI.duka lilikuwa la rejareja target products zilimlipa sana.Mpaka leo ni mfanyabishara mkubwa.
 
Kuna ndugu yangu alifanya hivi kama wewe.Aliweka duka ila target yake kubwa ilikuwa kwenye MCHELE NA MAFUTA YA ALIZETI.duka lilikuwa la rejareja target products zilimlipa sana.Mpaka leo ni mfanyabishara mkubwa.
Vijana wanaidharau hii lakini Ni nzuri kwa anayeanza na unaweza kuibadilisha badaye ukawa wholesaler
 
Back
Top Bottom