Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliazaje azaje mkuu naomba idea yko kidogo nipate mwangaAsikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
"Usikae na hela always ukishauza jioni ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine..... " Nimependa sana hiki kipengeleAsikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
Unaniiga mimi ila mi sitatafuta kazi kazi ipo mwakani nawaza nifungue biashara gani na kimilioni nakichunguliachungulia tuFunzo, acha huu mwaka uishe nitafute kazi ya kufanya
Fanya research ya mtaa unaotaka kufungulia duka lako mkuu je utaweza kuendana na ushindani uliopo kulingana na mtaji wako?Uliazaje azaje mkuu naomba idea yko kidogo nipate mwanga
Suluhu la kudumu la umaskini ni communal ownership tuUchawi kwa ajili ya utajiri ni kama shule, sio kila anayesoma anafaulu.
Binadamu tulivyo hata kama ingekua kuamka saa 1 asubuhi kila siku mtu unakua tajiri bado kuna watu wangeshindwa
1.3m inatosha Kwa kuazia kweliFanya research ya mtaa unaotaka kufungulia duka lako mkuu je utaweza kuendana na ushindani uliopo kulingana na mtaji wako?
Haya sasa ndio mamboNikiwa chuo mwaka wa Kwanza
Nilijichanga changa nikafungua
Vijiwe viwili vya kuuza pweza
Kimoja mitaa ya mwenge
Kingine buguruni
Nikawapata madogo wawili wakutoka lindi wakawa wananiuzia
Nilianza na capital ya laki moja na themanini (180k) kwa kila kitu
Yaani
Meza 2 za kishkaji
Themosi, vikombe, vijiko, bakuli
Majiko ya mkaa
Mkaa kidogo
Viazi vya kachori
Mafuta
Pweza nilianza na kilo 5
Nauli za madogo
Nk
Baada ya miezi minne nilifungua
Vijiwe vingine vitatu
Gongolamboto
Mbagala kwa Aziz ally
Ubungo riverside njia panda ya makoka
Na ilikuwa inanipa pesa nzuri kwa wakati ule
Changamoto ilikuwa ni kupitia na kuzunguka vijiwe vyote kukagua nini kinaendelea
Nilichofanya nilikuwa nachukua faida buku 2 kila kijiwe kila siku, na hiyo pesa naikusanya jumamosi
Kila jumamosi nilikuwa nachukua elf 70
Na mara chache ilikuwa inapungua kulingana na changamoto
Nashukuru wale vijana walikuwa waaminifu, sikuwa nawalipa mshahara, yaani niliwaachia mtaji mi nachukua buku 2 kilichobaki chao, ila nazingatia mtaji anaulinda
Kwamba Buku 2 kwa siku kijiwe cha pweza??????????? Au mimi kuna kitu sielewi hapaaNikiwa chuo mwaka wa Kwanza
Nilijichanga changa nikafungua
Vijiwe viwili vya kuuza pweza
Kimoja mitaa ya mwenge
Kingine buguruni
Nikawapata madogo wawili wakutoka lindi wakawa wananiuzia
Nilianza na capital ya laki moja na themanini (180k) kwa kila kitu
Yaani
Meza 2 za kishkaji
Themosi, vikombe, vijiko, bakuli
Majiko ya mkaa
Mkaa kidogo
Viazi vya kachori
Mafuta
Pweza nilianza na kilo 5
Nauli za madogo
Nk
Baada ya miezi minne nilifungua
Vijiwe vingine vitatu
Gongolamboto
Mbagala kwa Aziz ally
Ubungo riverside njia panda ya makoka
Na ilikuwa inanipa pesa nzuri kwa wakati ule
Changamoto ilikuwa ni kupitia na kuzunguka vijiwe vyote kukagua nini kinaendelea
Nilichofanya nilikuwa nachukua faida buku 2 kila kijiwe kila siku, na hiyo pesa naikusanya jumamosi
Kila jumamosi nilikuwa nachukua elf 70
Na mara chache ilikuwa inapungua kulingana na changamoto
Nashukuru wale vijana walikuwa waaminifu, sikuwa nawalipa mshahara, yaani niliwaachia mtaji mi nachukua buku 2 kilichobaki chao, ila nazingatia mtaji anaulinda
Yes maana walikuwa wanauza supu ya pweza, pweza, na kachoriKwamba Buku 2 kwa siku kijiwe cha pweza??????????? Au mimi kuna kitu sielewi hapaa
Kwa pweza mbona kama ulikuwa unachukua hela ndogo sana kulinganisha na mzunguko wa biashara ulivyo....Yes maana walikuwa wanauza supu ya pweza, pweza, na kachori
Na madogo walikuwa wanapata faida sana, sometimes kuna siku walikuwa wanaondoka na faida ya elf 15 na zaidi mkuu
Kati ya hao madogo saivi wawili wapo kariakoo wanapiga pesa kupitia mitaji iliotoka kwenye pweza,
Mwingine bado nnae mimi mpaka Leo ingawa ana mishe zake zingine anafanya
Sikutaka kuwaumiza sana wale madogoKwa pweza mbona kama ulikuwa unachukua hela ndogo sana kulinganisha na mzunguko wa biashara ulivyo....
Biashara gani unafanya?Biasha hadi ikulipe itachukua muda mrefu mkuu.. mimi hadi saiv bado haijarudisha capital
Nami piaAsikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
Mchawi pesa"Usikae na hela always ukishauza jioni ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine..... " Nimependa sana hiki kipengele
Kuna ndugu yangu alifanya hivi kama wewe.Aliweka duka ila target yake kubwa ilikuwa kwenye MCHELE NA MAFUTA YA ALIZETI.duka lilikuwa la rejareja target products zilimlipa sana.Mpaka leo ni mfanyabishara mkubwa.Asikuambie mtu biashara ya duka la rejereja limenitoa mavumbini wakuu na nilianza na laki saba tu nilionunulia bidhaa cha msingi :
Sehemu yenye mzunguko mzuri
Uvumilivu manake itakuchukua muda kutengeneza wateja wako
Kauli nzuri kwa wateja
Kutotoa mikopo ya hovyo au usikopeshe kabisa
Usikae na hela always ukishauza jion ukifunga hesabu hela yote kanunulie bidhaa zingine
Vijana wanaidharau hii lakini Ni nzuri kwa anayeanza na unaweza kuibadilisha badaye ukawa wholesalerKuna ndugu yangu alifanya hivi kama wewe.Aliweka duka ila target yake kubwa ilikuwa kwenye MCHELE NA MAFUTA YA ALIZETI.duka lilikuwa la rejareja target products zilimlipa sana.Mpaka leo ni mfanyabishara mkubwa.