Ni ukweli mkuu million 3 haziwezi kutosha kwa biashara ya stationery. Ukianzia kwenye photocopy Machine hadi kwenye vitendea kazi vingine inakuja pesa nyingi tu, labda ujibane utafute vitu used/ second hand.
Na kama unataka kupanga kwenye mzunguko mkubwa wa watu, kodi ya fremu nayo huwa kubwa.
Yawezekana mtu akaanza kwa hiyo 3 mil lakini si kwakutoa huduma zote zinazopatikana stationery.
Quotation ya biashara ya Stationary
1.Photocopy mashine mpya CANON 2025 2,500,000/=
2.Computer Set at least used core i3 550,000/=
3.Printer Epson L805 all in one 850,000/=
4.Laminator A2, A3 , A4. 250,000/=
5.Binding mashine 150,000/=
6.Paper cutter. 45,000/=
7.Steppler kubwa na ndogo 55,000/=
8.Paper Punch 50,000/=
9.Simple table 1pc. 100,000/=
10.Simple chair for customers 3p 60,000/=
11.Calculator, Scissors,Glue,. 55,000/=
12.Paper rim A4 1pc. 45,000/=