Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

-Aisee maisha ni safari isiyo na likizo,na UJASIRIAMALI ni mapambano ya kutumia fursa mbele yako iliyo Kama kikwazo...

-biashara yangu ya kwanza ilikua ni kuuza mbogamboga kwa wateja wa jumla na nilianza na mtaji mdogo sana, ambao nao wanaenda kuuza kwa wateja wa rejareja(wanapitisha mtaani),hii biashara ilinipa pesa sana,mbinu rahisi kwangu nilizozitumia ilikua hiviii...
1.nilianza kulima mbogamboga (kwenye bonde la mpunga lililotelekezwa kwa muda huo),nililima mchicha,matembele, Chinese,sukuma wiki na figiri,na majani ya maboga hapo sio kwa Sana sababu hayasapoti.
-mboga nilizolima nikawa nawauzia wanunuzi wa jumla(wale wanaotembeza barabarani),zingine nazipeleka kwenye magenge Kama manne tofauti(ambao pia nilikua nawalipa baadhi ya kiasi)
-biashara ilivyoanza kukua kwa Kasi,nkawa nasaidia na mtuwingine(huyu nilikua namlipa kutokana na faida),asubuhi tunamwagilia,jioni tunachuma kwa wanunuzi wa jumla
-aisee ilifikia stage nikawa naingiza zaidi ya sh 39,000 kwa siku kama faida(sio mapato)
"Kinachoongoza maisha ni AKILI sio UMRI"...
 
Kulala na wake za watu haswa wajane huku wakinilipa. Hi ilikuwa ni ajira yangu kabisa kwani nilikuwa natoka nyumbani asubuhi na mapema nikimuaga mke wangu kumbe sikuwa na kazi ya ofisini bali nilikwenda nyumba za watu kulala na kucheza mayeno na wake za watu. Kila niliporudi nyumbani nilihakikisha narudi na zawadi za watoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91]

Shenz typ watu na ajira zao
 
Walau milioni 3 kwa kiwango cha chini. Photocopy machine, printer, lamination machine, stapler kubwa/ndogo, desktop iliyo kamilika/laptop, nk.

Baada ya hapo ndiyo uje sasa kwenye vitu vidogo vidogo! Na hapo ni nje ya kabati na shelf! Kudadeki hata hizo milioni 3 zenyewe hazitoshi.

Ila ukishakamilisha kuianzisha na kumpata kijana mzuri wa kuisimamia! Hakika utakua unakula tu mafao. Ni biashara moja nzuri sana.
Hamnaga biashara ya kwenye fremu ya mtaji mdogo labda ukaifungulie Makoka huko madongo kuinama😅😅😅
 
Kumbe milioni 3 ni mtaji mdogo? biashara kama ya kuuza mihogo, viazi kwa mafungu haizidi laki 2 au hata kuku wa kienyeji haizidi laki tano,, ww unaleta biashara za mamilion
Halafu anaita mtaji mdogo 😅 kummmk walai!
 
Mkuu umenikumbusha mbali niliwah fanya biashara ya hivyo nikamueka mke wangu kila siku ananiletea faida ya 25k nilifurah.kumbe Kuna mzee mmoja alikuw anamchukua anampa pesa inakuja kwangu Kama faida nakuja kugundus wife Yuko anabeba mizigo anahamishwa mkoa mwingine.

NB:ukimuweka mwanamke kwenye biashara tambua akuna mamende watamfukuzia na watakula .
Siwezi kumuweka mwanamke nimpendaye au mke wangu rehani iwe dukani au biasharani kokote ambako mafisi watamfikia na kumsemesha!😅 NEVER!!!

Yani mara mia apigwe bolo ofisini ila sio sehemu ambayo na mimi nitakua naonekana na hao watu wakawa wananisanifu!
 
Siwezi kumuweka mwanamke nimpendaye au mke wangu rehani iwe dukani au biasharani kokote ambako mafisi watamfikia na kumsemesha![emoji28] NEVER!!!

Yani mara mia apigwe bolo ofisini ila sio sehemu ambayo na mimi nitakua naonekana na hao watu wakawa wananisanifu!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
-Aisee maisha ni safari isiyo na likizo,na UJASIRIAMALI ni mapambano ya kutumia fursa mbele yako iliyo Kama kikwazo...

-biashara yangu ya kwanza ilikua ni kuuza mbogamboga kwa wateja wa jumla na nilianza na mtaji mdogo sana, ambao nao wanaenda kuuza kwa wateja wa rejareja(wanapitisha mtaani),hii biashara ilinipa pesa sana,mbinu rahisi kwangu nilizozitumia ilikua hiviii...
1.nilianza kulima mbogamboga (kwenye bonde la mpunga lililotelekezwa kwa muda huo),nililima mchicha,matembele, Chinese,sukuma wiki na figiri,na majani ya maboga hapo sio kwa Sana sababu hayasapoti.
-mboga nilizolima nikawa nawauzia wanunuzi wa jumla(wale wanaotembeza barabarani),zingine nazipeleka kwenye magenge Kama manne tofauti(ambao pia nilikua nawalipa baadhi ya kiasi)
-biashara ilivyoanza kukua kwa Kasi,nkawa nasaidia na mtuwingine(huyu nilikua namlipa kutokana na faida),asubuhi tunamwagilia,jioni tunachuma kwa wanunuzi wa jumla
-aisee ilifikia stage nikawa naingiza zaidi ya sh 39,000 kwa siku kama faida(sio mapato)
"Kinachoongoza maisha ni AKILI sio UMRI"...
Umeandika ukweli mtupu
 
Pilipili ya kutengeneza ilikuwa inanilipa ila sijui hata kwa nini niliacha
 
Ualimu wa watoto wa international schools tu (sio NECTA). Mtaji ilikuwa 400,000 kwa ajili ya matangazo ya awali. Tulifanya mauzo ya kama mil 20 katika kipindi kile.

Magroup ya Whatsapp. Mtaji simu na matangazo ya FB. Tulitumia kama 50k (niligundua njia ya kupata matangazo ya FB kwa almost free mwaka 2015). Tulianza mauzo 2016 June na tuna zaidi ya mil 150 mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom