Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Mkuu umenikumbusha mbali niliwah fanya biashara ya hivyo nikamueka mke wangu kila siku ananiletea faida ya 25k nilifurah.kumbe Kuna mzee mmoja alikuw anamchukua anampa pesa inakuja kwangu Kama faida nakuja kugundus wife Yuko anabeba mizigo anahamishwa mkoa mwingine.

NB:ukimuweka mwanamke kwenye biashara tambua akuna mamende watamfukuzia na watakula .
Hahahah mamanzi bhana ,
Yaani hawatakiwi kuaminiwa mbele ya pesa Hata waonekane innocent VIPi ,mtu akipanda Bei wanapanda nae

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hii inalipa mkuu Mimi KWA mwez tu Napata faida sio chini ya million 1 . Kitu cha kuzingatia uwe na mtaji na hakikisha wateja hawaondoki na machenji ili wachina wakija kufungua wakutee mifuko Mingi . Mfano Mimi jana tu jumamos wamefunga mifuko 5 (Sawa na 45000) na hii ni makusanyo ya siku 2 tu haya jana nimeingiza mifuko 4 leo nimewambia wafungue 36000 . Kwahiyo jana na leo tu faida nimeingiza 81000.

Tahadhari ili ufaidi hii biashara hakikisha wewe au msimamizi wako hachez kabisa kamari akicheza tu ndugu yangu umeumia


Na hapa ni KWA kuwa mzunguko umekuwa mdogo zaman nilikuwa naweza kuuza hata mifuko zaidi ya 10 KWA siku
Kama hutojali ungeweka mchanganuo wa hio biashara,
na swali lingine ni Kwa nn msimamiz wa iyo biashara asicheze mkuu Bado sijakuelewa
 
Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.

Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.

I'm happy [emoji4]

View attachment 1722606
Kweli?
 
IMG_3584.png


Usitumie simu vibaya kuna michongo mingi sana ya hela mitandaoni


Utanishukuru baadae[emoji1479]
 
Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.

Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.

I'm happy [emoji4]

View attachment 1722606

Aisee tusaidie huu mchongo bro na sisi tujikwamue kiuchumi
 
Mkeka mzuri mno huu,ila biashara yeyote bila kuwepo mwenyewe mtihani
 
Mi nilifungua biashara ya chipsi mitaa ya kijitonyama nikamuweka jamaa mmoja ivi,mwanzo mauzo yakawa vizuri tu maana nilikuwa namsimamia kwa karibu kila siku naenda pale ,nikaja kupata safari ya mkoa kukaa wiki 2 tu yaan kurudi tu nilikuta hasara tupu na biashara ikafungwa maana simu alikuwa hapokei hesabu ikawa haiwekwi tena kwa simu
 
Mi nilifungua biashara ya chipsi mitaa ya kijitonyama nikamuweka jamaa mmoja ivi,mwanzo mauzo yakawa vizuri tu maana nilikuwa namsimamia kwa karibu kila siku naenda pale ,nikaja kupata safari ya mkoa kukaa wiki 2 tu yaan kurudi tu nilikuta hasara tupu na biashara ikafungwa maana simu alikuwa hapokei hesabu ikawa haiwekwi tena kwa simu
Hivi vitu ni vya kawaida 😢, yaani waaminifu wapo na watu ww hovyo pia wapo usikate tamaa na usiache kujaribu zaidi na zaidi
 
HAKUNA BIASHARA ISIYOLIPA KAMA UKIAMUA KUIFANYA KWA MOYO MMOJA NA UKAJIFUNZA, NARUDIA TENA KUJIFUNZA, KWA MARA NYINGINE KUJIFUNZA JINSI BIASHARA HIYO ITAKAVYOKUFAIDISHA NA MBINU ZA KUPATA WAHITAJI WA HUDUMA YAKO.

Nyie manosema biashara ni siri ya mtu basi siri yenyewe ndiyo hiyo hapo.

Usifanye biashara kama huna uelewa nayo. Usifanye biashara kama wateja wako huwajui na hujui wanapatikana wapi.

Usifanye biashara kisa wengi wanasema inalipa.

Usifanye biashara kisa umekutana na idea jamiiforum.

Usifanye biashara kama huna malengo nayo.

Usifanye bishara kama lengo lako ni kupata basic needs pasipo focus ya kufika mbali.

Tambua utofauti uliopo kati ya biashara ya kuanzia kutengeneza mtaji na biashara ya kukufanikisha maishani.

Biashara ni sanaa, inahitaji ubunifu ili kuendelea kuwepo sokoni. Wapo wanamuziki maarufu enzi hizo ila leo hawapo na hatuwasikii, hivi ndivyo biashara ilivyo.

Jifunze principles za biashara na usifanye biashara kisa unao mtaji, kama huna hobby ya business ACHA usiguse biashara na utafute mwenye hobby aendeshe biashara yako.

Mwisho, ukishika biashara moja, komaa nayo mpaka ikutoe ndipo uongeze biashara nyingine.

Narudia tena, kama unafanya biashara kwasasa, hakikisha hiyo biashara imekutoa na ndipo uanze biashara nyingine.

Akili za kuambiwa changanya na zako la sivyo utabaki kuishi NA idea za watu ambazo hujui wao wanazitumia vipi kupata faida kubwa kwenye biashara ambayo wewe unaiona ya kawaida.
sahihi kabisa biashara inatabia ya kumkomesha mtu sasa inatakiwa uiwahi kuikomesha yaani usimamie kucha mpaka kieleweke siyo unashika hiki unaacha unaanzisha lingine kisa watu wanasema biashara flani inalipa
 
Back
Top Bottom