Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
 
Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
kwan gym si moja ya majukumu ya physiotherapy ? au simwelew physiotherapist?
 
kwan gym si moja ya majukumu ya physiotherapy ? au simwelew physiotherapist?
Physiotherapy ni mazoezi yanafanywa kama tiba mfano umepata stroke ukapata udhaifu wa viungo unafanyiwa mazoezi ubongo ukumbuke kazi yake na kiungo kirudi kawaida , Gym ni broad ikihusisha mazoezi ya kuweka sawa mwili hata kama hujapata shida au ugonjwa wowote haya Bima huwa hawalipii
 
Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
Wengine wanatembea na story za vijiweni
 

Nilifika hadi kigoma gym zinapokea iyo Bima. Unachosema ni sahihi mkuu
 
bima ya afya bora,ni kuacha sigara,pombe,bange,ngono!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…