Wewe utakuwa mtoto wa singlemaza umezoea kudekadeka hovyo sisi wanaume wengine issue kama hizo ni ndogo sanaNdiyo mimi ni mwanaume rijali, wewe ndo maana wewe na wenzako ni singo maza, kwa ujuaji wenu, unalazimisha mme wako awashe vyombo.
Jamaa wanazidi kujizolea pointi za bure kabisa.KATAA NDOA
Huyo tiyari ana mume mwingine kazini kwake.Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Ameeen🙏🙏🙏Tuliooa Ke wa kawaida kiuzuri wa sura na maumbile"sura za Baba", kielimu (wajuao kusoma, kuongea na kuandika Swahili & English na B maths), si maarufu ki-usister duu, kifedha, Wafanyakazi & Wafanyabiashara wa kipato kidogo si cha juu kuliko Me ila ni wacha Mungu wenye maarifa na tuseme Amen...🙏
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Huna cha kumfanya au kumfanyia mwanamke ili akupende. Mwanamke anatakiwa akupende yeye na siyo umpende wewe.hakuna zuri kwa hao viumbe, awe wa chekechea C ama uniV, kama hakupendi kwa dhati kutoka moyoni mwake ni KAZI BURE tu. raha ya mapenzi ni mwanamke akupende wewe zaidi, hapo utaENJOY mapendo haswa. kinyume na hapo ni ubatili mtupu na kujilisha upepo.
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Nakukatalia ww huna pesa, huna mashiko au ushawishi pia huna nyota ya kuogopeka hii inaendana na watu wasiojiamini jikubali jiaminiNikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
NotedTofautisha ELIMU na akili.
Mtu mwenye akili anaakili tuu hata kama hajasoma.
Kuna kakaangu yeye darasa la saba lakini kaoa mtu wa degree. Bro yupo smart Sana kichwani.
Na mkewe hamsumbui.
Sasa wewe kama unadegree alafu mke wa degree anakusumbua mwenye shida ni wewe.
Mwanamke ni mwanamke tuu.
Onyesha unamtaka sio unamhitaji. Hiyo ni KANUNI Moja.
Onyesha kuwa yeye ndiye anabahati kuwa na wewe na sio wewe unabahatk kuwa naye. Hiyo ni KANUNI ya pili.
Tatizo Linakuja pale mwanamke unapomuoa alafu anakuona wewe ndiye umebahatika kuwa naye. Hapo lazima akusumbue.
Hapo boda boda anajilia mzigo kiulaiiiiiiiniNikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Kijakazi anaweza kua mke anytime, ni hesabu tu za conversionKwahiyo kwa kifupi unataka kijakazi na sio mke😀
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.