Vicious cycle of poverty haina uhusiano na elimu ya mama kwasbb anae tafuts riziki sio mama ni Baba, suala la kusomesha ni mtu binafsi hata yule ambae ajaenda shule kabisa anaweza kusimamia watoto wakasoma, suala la kufa hata mke anaweza ajatangulia mbele ya haki.Hawa la saba au ukifa nani atawasomesha wanao hivi kwanza mkuu unaijua "vicious poverty circle" hio inasema kama unazaliwa baba maskini, watoto masikini automatic na wajukuu wanakuwa maskini, hivo Ata kielimu mama hakusoma unatarajia watoto watasoma Covax
Umenikumbusha mkufunzi mmoja wa chuo cha pale kurasini kwenye Junction ya kwenda Bandarini na mtoni kwa Azizi naye alioa house keeper. Alikuwa mzuri ila wanafunzi walikuwa wanapita nae sana maana hata yeye alikuwa anatongoza.Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Inategemea na wewe una taaluma gani na level gani ya elimu, siyo uwe tatu bila halafu ukubaliwe na mwanamke mwenye degree.Mie ninaye la saba ana utii Kila kitu fresh Ila nahitaji wa degree ili nifanye adventure ya life hili.
I need a woman having bachelor degree Tena akiwa mchaga itapendeza mno.
Awe daktari ama engineer,or business finally lawyer nazipenda mno hizi professional
Hapo kuzidisha ndo penyewe ndo kibri kinapo anzia unapima je kwamba hapa ni ya ziada? hayo masuala ya kupika na kutenga kwenye hotpot na kuondaka wataka nani aninaushe mikono? unataka nani aniogereshe wakati wa kula unataka nani anisogezee maji ya kunywa, unataka nani atowe vyiombo nikimaliza kula nk, ndoa ni utiii na unyenyekevu kwa mme sio kutoa huduma tu nakuondoka.Ni mkeo tu ondoa hiyo dhana potofu ndugu, mimi nimesoma mpaka degree ya pili ,naongia jikoni nampikia na kumtii ,i mume wangu Mambo yote km mke nafanya,shida ya ninyi mnazidisha ,mnataka mke yaani sijui afanyaje
DegreeWewe una level gani ya elimu kwa sasa?
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Pasi nashaka wewe ni mhanga kama Mimi...Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Wewe umeolewa sio kwamba wewe ndo umeoa mke anakuaje na gari wewe akawa huna, kwangu ni mawili gari langu au ndoa ndo basi, sometime in marriage dictatorship unaleta Amani.Pasi nashaka wewe ni mhanga kama Mimi...
Wakwangu anakazi akanunua Gari lake wakati Mimi napambana na ujenzi.
Siku iso eleweka sikuliona lile Gari nilivyo muuliza akanijibu Gari lako au Langu
Pia umenioa Mimi ama Mshahara wangu.
We Acha kufikiria kupitia Kalio... Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na mwanamke regardless Hana au anacho.Kwenda kinyume ni hatari Sana Kwa mwanamke huyo.Na nimaandiko.Au kwakuwa umempata low level mindset basi unaona umemaliza shidaKadri Ke anavyopata zaidi pesa, elimu, marafiki, umaarufu, vyeo ndivyo aanavyodhihirika kitabia ni yeye pekee ndiye aliyewahi kuongea na Shetani bustanini Eden.
Si kila siku Me hulalamika mitandaoni kuwa hawaoni pesa za Ke kabisa ktk ndoa zao kwa kujenga familia bora, pesa zao huenda wapi?
Poleni sana Marioo mliopumbazwa kulelewa na Ke kwa fedheha na masimango tele kisa six packs, u-handsome boy na mapenzi ya wafilipino ilihali nyuma ya pazia Ke huwaona sawa na mizukule tu.
Extrovert, Bush Doctor, Painkiller etc...njooni muokoe akina Juniors wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Usemacho ni kweli lakini Katikati ya mipango yetu Mimi nipambane na Nyumba basi.Na pia Mimi mwenyewe Nina Gari yangu.Lakini kweli swala la kuuza Gari bila kunishirikisha huwa niswala linalo nitafuna Sana.Na pia Ile Gari niliagiza Mimi Kwa Account zangu na pia pesa hakutoa zote Japo Asilimia kubwa ilitoka kwake baada ya kupata mkopo kazini kwake.Wewe umeolewa sio kwamba wewe ndo umeoa mke anakuaje na gari wewe akawa huna, kwangu ni mawili gari langu au ndoa ndo basi, sometime in marriage dictatorship unaleta Amani.
Kwani mimi nacho penda ndo wengine ndo wanacho penda pia siwezi kujua kama atakae muoa atampeda hivo au laa.Mwanao wa kike usimsomeshe uandalie mtu mke ambae hajaenda shule and submissive
Hiyo nyumba unamjengea yeye for security purpose incase umemtangulia mbele ya haki, mke auze gari lake nisijue ni sipangie pesa matumizi haiwezekani, ni dharao hiyo, huenda kuna mgine anampangia na kumpa kiburi.Usemacho ni kweli lakini Katikati ya mipango yetu Mimi nipambane na Nyumba basi.Na pia Mimi mwenyewe Nina Gari yangu.Lakini kweli swala la kuuza Gari bila kunishirikisha huwa niswala linalo nitafuna Sana.Na pia Ile Gari niliagiza Mimi Kwa Account zangu na pia pesa hakutoa zote Japo Asilimia kubwa ilitoka kwake baada ya kupata mkopo kazini kwake.
😄😄Walioliwa na Barthazar wengi walikuwa wasomi na ni wake za watu. .. KATAAA NDOA
Hii comment nai print, nai laminate na nitaiweka kwenye makutano ya barabara.Basi usimsomeshe binti yako, mrahisishie mwamba atakayemuoa.
Tukata mzizi wa fitna.
Pole sana mkuu.Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Uzi ungefungiwa hapaBasi usimsomeshe binti yako, mrahisishie mwamba atakayemuoa.
Tukata mzizi wa fitna.
Una akili sana, nashindwa tu kuelewa kwann hutaki kuoa mpaka sasa ili uzitumie hiz akil zako mdogo angu.Kwa observation yangu ndogo
Kuna watu wanapata wake bora kwa ajili yao ila si mama bora haswa kwenye kuwaongoza watoto katika njia ya kimafanikio
Na kuna wanaooa mama bora kwa watoto ila ni wake pasua kichwa
Na wachache sana wanaopata mke bora lakini pia ambaye ni mama bora.
Ninachomaanisha, hao wasomi wana exposure na uelewa wa dunia inapoelekea hivyo huwa na chance kubwa zaidi ya kuwaongoza watoto hata kama usipokuwepo. Wengine wa darasa la saba ambao ni submissive, wanaweza kuwasimamia watoto kimaadili zaidi ila kwingine huko itategemea spirit yake ya utafutaji
Ila ukioa darasa la nne C na mama wa nyumbani. Kula raha ya kuonekana mfalme ndani ya nyumba ila omba sana usije kufariki maana familia yako itaishia hapo maana mkeo hatokuwa na option nyingine zaidi ya kuolewa tena ili aishi mjini. Je, vipi kuhusu watoto wako mkuu?...
Hivyo unaweza tafuta msomi mwenye maadili maana wapo wengi tu kama vile ambavyo la pili C wapo wengi tu wamevurugwa.