*****🤣tellers hawawezi Ata kunyonyeshaKwasababu wamefundishwa kumuhudumia vizuri mteja mwenye salio kubwa zaidi
Yeye ana masters ya Canada, wewe una degree ya vyuo vya kata vya Tanzania, kakuzidi ndomaana kakuacha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
*****🤣tellers hawawezi Ata kunyonyeshaKwasababu wamefundishwa kumuhudumia vizuri mteja mwenye salio kubwa zaidi
Yeye ana masters ya Canada, wewe una degree ya vyuo vya kata vya Tanzania, kakuzidi ndomaana kakuacha.
Wanawake nafasi zao zipo chini ya magoti ya mwanaume tatizo tunakosea kuwapandisha juuNikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Hawanaga shukrani hata umfanyie nini, utakuta mkeke anamnyenyekea lakini fadhila anapeleka Kwa ndugu zake nakumuona mke hana maanaNi mkeo tu ondoa hiyo dhana potofu ndugu, mimi nimesoma mpaka degree ya pili ,naongia jikoni nampikia na kumtii ,i mume wangu Mambo yote km mke nafanya,shida ya ninyi mnazidisha ,mnataka mke yaani sijui afanyaje
Kwani na yeye si anakuwa katoka kazini na amechoka?Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Umekurupuka soma uelewe vzr ila uzuri kuna mdau ndiyo nilikuwa namuelezea hiko kisa na amenielewa mpk kufika tamati ila ww ulichojibu sijui umetoa wapi.Yeye ana masters ya Canada, wewe una degree ya vyuo vya kata vya Tanzania, kakuzidi ndomaana kakuacha.
Hizi scenario na mentality za kukimbia majukumu na kujitabiria vifo ndo zinafanya wanaume leo wanashindwa kuishi maisha marefu kwa kuoa vituko kwa kuogopa kwamba hatma ya watoto wao inaweza isiwe nzuri pale watakapofariki.Kwa observation yangu ndogo
Kuna watu wanapata wake bora kwa ajili yao ila si mama bora haswa kwenye kuwaongoza watoto katika njia ya kimafanikio
Na kuna wanaooa mama bora kwa watoto ila ni wake pasua kichwa
Na wachache sana wanaopata mke bora lakini pia ambaye ni mama bora.
Ninachomaanisha, hao wasomi wana exposure na uelewa wa dunia inapoelekea hivyo huwa na chance kubwa zaidi ya kuwaongoza watoto hata kama usipokuwepo. Wengine wa darasa la saba ambao ni submissive, wanaweza kuwasimamia watoto kimaadili zaidi ila kwingine huko itategemea spirit yake ya utafutaji
Ila ukioa darasa la nne C na mama wa nyumbani. Kula raha ya kuonekana mfalme ndani ya nyumba ila omba sana usije kufariki maana familia yako itaishia hapo maana mkeo hatokuwa na option nyingine zaidi ya kuolewa tena ili aishi mjini. Je, vipi kuhusu watoto wako mkuu?...
Hivyo unaweza tafuta msomi mwenye maadili maana wapo wengi tu kama vile ambavyo la pili C wapo wengi tu wamevurugwa.
Ishu si kakuzidi elimu? Hapo ndo ulipokwama, mwanamke anatakiwa akuzidi uzuri tu, vingine vyote unatakiwa umzidi.Umekurupuka soma uelewe vzr ila uzuri kuna mdau ndiyo nilikuwa namuelezea hiko kisa na amenielewa mpk kufika tamati ila ww ulichojibu sijui umetoa wapi.
Narudia tena umekurupuka acha ubishi.Ishu si kakuzidi elimu? Hapo ndo ulipokwama, mwanamke anatakiwa akuzidi uzuri tu, vingine vyote unatakiwa umzidi.
Jibu hoja niliyoielezaNarudia tena umekurupuka acha ubishi.
Hoja gani ulozungumza acha kulazimisha kitu kwa kubaka mada nilokuwa namuelezea kanielewa vyema wewe hata sikuelewi unachoongea sahii unanichosha alafu mbishi sasa.Jibu hoja niliyoieleza
Ungekuwa umemzidi elimu asingekuacha kisa kumpa mimba binti mwingine.Hoja gani ulozungumza acha kulazimisha kitu kwa kubaka mada nilokuwa namuelezea kanielewa vyema wewe hata sikuelewi unachoongea sahii unanichosha alafu mbishi sasa.
Huko vijijini au uswahilini ambapo wanawake wengi hawajasoma je, ndoa zao ni stable , mbona ndo kunaongoza kwa ndoa za futariHizi scenario na mentality za kukimbia majukumu na kujitabiria vifo ndo zinafanya wanaume leo wanashindwa kuishi maisha marefu kwa kuoa vituko kwa kuogopa kwamba hatma ya watoto wao inaweza isiwe nzuri pale watakapofariki.
Acheni undezi oeni wanawake mnaowamudu acheni uzwazwa bibi zenu walikuwa darasa la sabu na wengine darasa la nne ila walilea familia mpaka za watoto 12 pale wanaume wanapofariki.
Kwanini wanaume baadhi mnakuwa soft soft sana kiasi kwamba mnashindwa kuishi vizur mnabaki kuishi kama panya.Yaani unakuta mtu akitoka kazini anaenda baa kupoteza muda au kwenye vijiwe badala ya kwenda nyumbani kisa nyumba haikaliki hawezi kummudu mkewe. Hapo my bro utakufa tu hapo sababu zote za kufa umezitafuta na umezipata hivyo kwanini ujitafutie sadabu.
Let nature ikuchagulie ila sio ww kwa uzwazwa wako ijiwekee mazingira ambapo by any means unakuwa na chances kubwa za kufa haraka. If you know you know!!!!
Badilikini sasa wanaume waoga wa maisha na kupenda mteremko ndo mmeleta hiki kilio cha kutawaliwa na majike yenu.
Uwe na mchana mwema mkuu!Ungekuwa umemzidi elimu asingekuacha kisa kumpa mimba binti mwingine.
Usimlishe maneno,anataka mke ambaye ni submissive kwakeKwahiyo kwa kifupi unataka kijakazi na sio mke😀
Ng'ombe huwa hatuishiBado mpo kweli🤣🤣
Nawe pia, ila soma mpaka PhD kjn, kwa sasa degree siyo elimu, hata boda boda waliokosa ajira wana degree.Uwe na mchana mwema mkuu!