Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Kudanga sio kazi ndogo shoga angu...kwenda kunyonya mbupu za mzee zimenyauka hapana kwa kweli.. sema ukikosa option kwenye maisha unajilipua tu
 
Hahaaaaaaaaaa mkuu
 
hiyo ya ututorial ilikuwa ya mwaka gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahaha aggy umenichekesha sana ulivyomaliza hapo..

Yap, ndio maana nikasema yeye doa lake ndio hilo.. Hata kama huko nyuma aliyafanya basi alifanya kwa usiri sana kulinganisha na hawa wengine..

I like Faraja pia, she is kinda clean..
 
hiyo ya ututorial ilikuwa ya mwaka gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu between 2013 na 2014.....Jokate results zake za chuo utazipenda very good outstanding na hajazipata kwa ngono....ila kazipata kwa kufanyiwa assignments na test......Jokate amecheza delay tactic sana kwa wanaume aliokuwa anasoma nao........ndo maana nasema kwa wanaomjua sio mwanamke wa kupambana ni mtu wakutake advantage kila kitu anachokiona anataka kufanya siunajua alishawahi kuwa mwanamziki, MC n.k..........naogopa kufunguka sana atanijua bana
 
funguka mkuu....ndo maana ya kuwa great thinker
 
Shirawadu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…