IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Gigy money
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuyatambue kwanza hayo mafanikio halafu ndo tuje kama yana kashfa au la.. labda kama kumiliki wezere ndo mafanikio basi na mie nimefanikiwaUnaelewa mafanikio yanayoongelewa? Masogange na Kajala wana mafanikio gani yasiyo na kashfa
Kudanga sio kazi ndogo shoga angu...kwenda kunyonya mbupu za mzee zimenyauka hapana kwa kweli.. sema ukikosa option kwenye maisha unajilipua tuutajuaje kama mzee mengi kainvest pesa zake afanye biashara ya fenicha.
huyu dada jacq alikua ni mdangaji pia..ila mdangaji clasic yani unaweza ingia serena unamkuta kakaa na glass ya wine anashusha taratibu..huku kapiga kimin cha hatari..na alivoendaenda shule ndo kabisa hakimshindi kitu.
asinase mimba za wanaume woote aje kunasa ya mzee mengi[emoji14] [emoji38]
hukuona trick ya kunasa mali?
yataka moyo kakangu..kuparamia kifuan na kumkatia mauno mzee kama babu yangu..siwez
Hapo sawaNi wasanii nyota na wamefanikiwa sana ktk suala la makalio.Kila mwanaume anawatamani.
Mafanikio yake ni yapi??Nancy sumari
Hahaaaaaaaaaa mkuuSi shauri mtoto yeyote wa kike kuiga mfano wa Jokate, She is Jack of all trades master of none asiyejielewa.......kwenye uso wa dunia anaonekana ana mafaniko na mwanamke wa kuigwa.......mara deal na wachina ya bilioni sita, siku linatangazwa Jokate hajasajili kampuni yake yaani ndo anaanza kuuliza inakuwa je, yaani wewe wachina wanakuja wanakupa idea unashindwa kukimbia Brela......haya akawa na ndoto za kuwa tutorial/assistant lecturer kazi ikatangazwa badala apply kawaida apambane na wengine anataka atumie umashuhuri wake kuipata mara visits huku mara kule mpaka akafikishwa kwa Mkandala mwishowe akakatwa......mara sandals mara nywele hamna kitu anachoweza kukisimamia kikasimama.......tuishie hapo kwa leo isiwe personal saaaana ila sio kama anavyoji potray
FuatiliaMafanikio yake ni yapi??
OkayFuatilia
Kwa msaada wa boss wa mawinguzamaradi
Ameolewa na muhindiMafanikio yake ni yapi??
hiyo ya ututorial ilikuwa ya mwaka gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]Si shauri mtoto yeyote wa kike kuiga mfano wa Jokate, She is Jack of all trades master of none asiyejielewa.......kwenye uso wa dunia anaonekana ana mafaniko na mwanamke wa kuigwa.......mara deal na wachina ya bilioni sita, siku linatangazwa Jokate hajasajili kampuni yake yaani ndo anaanza kuuliza inakuwa je, yaani wewe wachina wanakuja wanakupa idea unashindwa kukimbia Brela......haya akawa na ndoto za kuwa tutorial/assistant lecturer kazi ikatangazwa badala apply kawaida apambane na wengine anataka atumie umashuhuri wake kuipata mara visits huku mara kule mpaka akafikishwa kwa Mkandala mwishowe akakatwa......mara sandals mara nywele hamna kitu anachoweza kukisimamia kikasimama.......tuishie hapo kwa leo isiwe personal saaaana ila sio kama anavyoji potray
Hahahahaha aggy umenichekesha sana ulivyomaliza hapo..utajuaje kama mzee mengi kainvest pesa zake afanye biashara ya fenicha.
huyu dada jacq alikua ni mdangaji pia..ila mdangaji clasic yani unaweza ingia serena unamkuta kakaa na glass ya wine anashusha taratibu..huku kapiga kimin cha hatari..na alivoendaenda shule ndo kabisa hakimshindi kitu.
asinase mimba za wanaume woote aje kunasa ya mzee mengi[emoji14] [emoji38]
hukuona trick ya kunasa mali?
yataka moyo kakangu..kuparamia kifuan na kumkatia mauno mzee kama babu yangu..siwez
Mkuu between 2013 na 2014.....Jokate results zake za chuo utazipenda very good outstanding na hajazipata kwa ngono....ila kazipata kwa kufanyiwa assignments na test......Jokate amecheza delay tactic sana kwa wanaume aliokuwa anasoma nao........ndo maana nasema kwa wanaomjua sio mwanamke wa kupambana ni mtu wakutake advantage kila kitu anachokiona anataka kufanya siunajua alishawahi kuwa mwanamziki, MC n.k..........naogopa kufunguka sana atanijua banahiyo ya ututorial ilikuwa ya mwaka gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
funguka mkuu....ndo maana ya kuwa great thinkerShe is on of the privelaged
Jokate sio wa leo ama kesho kwenye kujikwamiua........atakuja kupata uwaziri in the future ndo watu watamwelewa
Mkuu between 2013 na 2014.....Jokate results zake za chuo utazipenda very good outstanding na hajazipata kwa ngono....ila kazipata kwa kufanyiwa assignments na test......Jokate amecheza delay tactic sana kwa wanaume aliokuwa anasoma nao........ndo maana nasema kwa wanaomjua sio mwanamke wa kupambana ni mtu wakutake advantage kila kitu anachokiona anataka kufanya siunajua alishawahi kuwa mwanamziki, MC n.k..........naogopa kufunguka sana atanijua bana
Hapana tumuache kwanza mpaka apate uwaziri atuvuruge ndo itakuwa patamufunguka mkuu....ndo maana ya kuwa great thinker
ShirawaduHabari zenu jukwaa la celebrity. Tujuzane bila upendeleo ni binti au demu gani hapa Tanzania amefanikiwa pakubwa kwa kazi zake kuinuka kimaisha yeye binafsi au hata kuwainua ndugu zake. Kipato chake kisiwe na walakini wala tetesi za makandokando. Aweza kuwa kwenye Muziki, bongo muvi, mitindo nk. Mafanikio ni pamoja na nyumba nzuri, magari, biashara kubwa halali, na nyingine zitokanazo na kipaji chake. Huyu atakuwa role model wa wasichana wenye ndoto nao wamwige. Karibu tutiririke.