Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Bi. Ubwa Ibrahim wa Namaingo.
Alifugisha watu kware mji mzima teh teh
 
mniwie radhi naishi Shinyanga karibu na Kolomije, kudanga ni msamiati mpya mjini? Kwa unyenyekevu mkubwa naomba maana yake
Kudanga ni ile tabia ya mwanamke kujiuza kwa wanaume apate PESA. Zipo njia nyingi na za kijanja ya kujiuza pia.
 
Kidoti tunaomfahamu hatuumizi kichwa. ukikaanae anamawazo mazuri sana ya maendeleo ila kuyafanyia kazi hawezi kabisa. Tumwache tu aje apewe uwaziri wa Kitonga miaka ijayo.
 
Wee...mnaija si atamkimbia sasa?

Ipsum? Murano jekundu, white Range kauza?

Masaki kahama?
 
cheka uongeze siku mkuu...mi mpaka sasa bado nawaza mdada maarufu aliesimama peke ake bila nguvu ya mwanaume au papuchi
sijampata..
nikimpata na mafanikio yake ndo atakua role model wangu kuanzia leo
Flaviana Matata na Happiness Magese japo wapo mbele...
 
Funguka mkuu kidogo buanaaa[emoji122] [emoji122]
 
She's bright since she was at loyolites
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…