Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Bi. Ubwa Ibrahim wa Namaingo.
Alifugisha watu kware mji mzima teh teh
 
mniwie radhi naishi Shinyanga karibu na Kolomije, kudanga ni msamiati mpya mjini? Kwa unyenyekevu mkubwa naomba maana yake
Kudanga ni ile tabia ya mwanamke kujiuza kwa wanaume apate PESA. Zipo njia nyingi na za kijanja ya kujiuza pia.
 
Kidoti tunaomfahamu hatuumizi kichwa. ukikaanae anamawazo mazuri sana ya maendeleo ila kuyafanyia kazi hawezi kabisa. Tumwache tu aje apewe uwaziri wa Kitonga miaka ijayo.
 
Lady jaydee alifanikiwa enzi flani alipokuwa na mghahawa.. Ila nae alitaka kujionesha anaweza kudanga akapata mzungu masaki biashara yake ikafa.. Sikuhizi karudi nyumba yake ya kimara tena anatumia gari aina ya toyota ipsum toka range rover hadi ipsum.
Wee...mnaija si atamkimbia sasa?

Ipsum? Murano jekundu, white Range kauza?

Masaki kahama?
 
cheka uongeze siku mkuu...mi mpaka sasa bado nawaza mdada maarufu aliesimama peke ake bila nguvu ya mwanaume au papuchi
sijampata..
nikimpata na mafanikio yake ndo atakua role model wangu kuanzia leo
Flaviana Matata na Happiness Magese japo wapo mbele...
 
Mkuu between 2013 na 2014.....Jokate results zake za chuo utazipenda very good outstanding na hajazipata kwa ngono....ila kazipata kwa kufanyiwa assignments na test......Jokate amecheza delay tactic sana kwa wanaume aliokuwa anasoma nao........ndo maana nasema kwa wanaomjua sio mwanamke wa kupambana ni mtu wakutake advantage kila kitu anachokiona anataka kufanya siunajua alishawahi kuwa mwanamziki, MC n.k..........naogopa kufunguka sana atanijua bana
Funguka mkuu kidogo buanaaa[emoji122] [emoji122]
 
Mkuu between 2013 na 2014.....Jokate results zake za chuo utazipenda very good outstanding na hajazipata kwa ngono....ila kazipata kwa kufanyiwa assignments na test......Jokate amecheza delay tactic sana kwa wanaume aliokuwa anasoma nao........ndo maana nasema kwa wanaomjua sio mwanamke wa kupambana ni mtu wakutake advantage kila kitu anachokiona anataka kufanya siunajua alishawahi kuwa mwanamziki, MC n.k..........naogopa kufunguka sana atanijua bana
She's bright since she was at loyolites
 
Back
Top Bottom