Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
- Thread starter
- #21
Mkuu kwani huwa ukifika mgahawani/hotelini huwa unakaa na kusema 'nileeteeni chochote'..? Kama huwa unaagiza chakula fulani, huo ujasiri huwa unautoa wapi?Ukiwa na njaa huwezi kuchagua chakula,issue ya kuchagua vyakula inakuja pale vyakula ni vingi na unakua na option,kama ni sehemu yenye njaa huo ujasiri wakuchagua vyakula unautoa wapi?
Swala la njaa liko wazi kabisa, mtu yeyote akiwa na njaa na hana uwezo wa kupata chakula, atakula chochote kitakachopatikana.