Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikoje hiyo ya nundu,mi napenda Ile inabakiza mzizi mdomoni natafuna.Upate ile mihogo na nundu [emoji39][emoji39]
Ikoje hiyo ya nundu,mi napenda Ile inabakiza mzizi mdomoni natafuna.
OK nimekusoma kama Ile ya buku tatu ya cocobichi.Mihogo na mishkaki ya nundu
Ndio maana mavitambi yanaongezeka siku hizi.Uchafu.........ila bei yake ujipange [emoji12]View attachment 1810521View attachment 1810526
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana mavitambi yanaongezeka siku hizi.
Wakaka mavitambi, wadada mavitambi kila mtu mavitambi.
Dagaa zipo underated sana.
Imagine kilo ya nyama ni buku 7
Kilo ya dagaa elfu 12.
Cha ajabu ukila dagaa unaonekana masikini.
Hizo ni takwimu za maeneo ya mijini.
Mara ya mwisho mwaka 2018 nimeondoka DAR, DOM, ARUSHA kilo moja dagaa wa MWANZA walikuwa wanauzwa around 12k hadi 15k kwa kilo moja tena hapo ni wale wakavu sio wale ambao wameshakaangwa.Dagaa wapi unanunua kg 12?
Hivi tofauti ya safari kubwa na ndogo zinatofati gani? Maana kuna bro mmoja tangu nimfahamu sijawahi kumwona anakunywa safari kubwa, kuna siku walimpa safari kubwa akakataa.Safari ndogo ya Moto iko very underrated
Binafsi mwanamke mwenye kitambi simwelewi kabisa asee...Ndio maana mavitambi yanaongezeka siku hizi.
Wakaka mavitambi, wadada mavitambi kila mtu mavitambi.
Tofauti ni kuwa nyama kilo unakula siku moja, dagaa kilo utakula siku moja?Dagaa zipo underated sana.
Imagine kilo ya nyama ni buku 7
Kilo ya dagaa elfu 12.
Cha ajabu ukila dagaa unaonekana masikini.
Hizo ni takwimu za maeneo ya mijini.
Supu ya pweza nakuunga mkono. Kwa alkasusu sijawahi kujaribu na sina kabisa mpango wa kujaribu.Supu ya pweza, alkasusu zipo overrated sana.
Inabidi muanze kuvilipia ushuru aisee, unakuta mdada ana kitambi ambacho anaweza kufutia hata kioo cha smart tv inch 23. Booonge la dude😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatuvilipii kodi [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nakazia hapo kwenye wali maharage.Underrated--Wali Maharage/chai na mihogo