Ni chuma ulete ama?

Ni chuma ulete ama?

Nifundisheni namna ya kuedit ili niweke mrejesho Kwenye mada hiihii nidifungue mada mpya.
 
Habari!

Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.

Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]

Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.

Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Pole kwa changamoto naona bora ukaearipoti Mahala husika hii itakusaidia kupunguza stress
 
Nifundisheni namna ya kuedit ili niweke mrejesho Kwenye mada hiihii nidifungue mada mpya.
Nenda palepale kwenye uzi mwishoni weka update waambie jinsi uivyojichanganya na mahesabu na ukasingizia chuma ulete
 
Kwanini mnapenda kukimbilia kwenye imani za kijinga?
Una uhakika gani kama hujazidishia wateja pesa? Eti mlikuuwa perfect..hakuna efficiency ya 100% hata mashine haifikii huo ufanisi!

Mimi kuna siku nimetoa laki na nusu, yeye akanipa casha 250k, sema nilimrudishia..ningesepa nazo na yeye angesema chuma ulete!
 
Kwa sangoma siendi, siendii nakuhakikishia. sema ngoja wanijuze tu mbinu 2,3 sisi ni Africans hatuwezi kukataa asili yetu tukubali tukatae, na Mungu aliumba mitu itusaidie. Ila kwa mganga siendi ng'o
Nakushauri usiende uko ndo utapigwa zaidi..
 
Kwanini mnapenda kukimbilia kwenye imani za kijinga?
Una uhakika gani kama hujazidishia wateja pesa? Eti mlikuuwa perfect..hakuna efficiency ya 100% hata mashine haifikii huo ufanisi!

Mimi kuna siku nimetoa laki na nusu, yeye akanipa casha 250k, sema nilimrudishia..ningesepa nazo na yeye angesema chuma ulete!
kweli mm mwenyewe Wakala ashanizidishia 5000 nikamrudishia siku nyingine uyo uyo nimeenda kutoa 68800 ,nikampa na 1200 ili anipe 70,000 kamili akanipa 80,000 akazidisha elf 10 nzima nikasepa nayo.
 
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.

Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
 
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.

Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Basi wasomi mnichambe polepole, dadaenu nawapenda[emoji3059]
 
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.

Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Mungu ni mwema
 
Nitaelezea Chuma ulete ilivyo,

Sio kam watu wanavyoizungumzia kwamba eti hela zako zinapungua/kuchukuliwa kichawi hapan hicho kitu hakiwezekan na hakitokuj kuwezekana,

Ila kitu kinachofanyika ni kwamba mtu anakuja na hela pungufu mfano anakuja kununua kitu cha 100,000 Ila pesa aliyokuja nayo anakuw tayr ameipak dawa Fulani za kiini macho(Dimoni ya mazigaombwe),

Sasa badala ya kutoa laki moja kununua hiyo bidhaa/kuweka Tigo pesa, kinachotokea ni kwamb anakuja na Elfu 70 au elfu 50, kutokana na hiyo hela yke anakuw tayar kaifanyia dawa za kichawi,

Wew ukiihesabu utaona hiyo hela ni laki moja ila kinachofanyika ni kwamb hiyo demon iliyounganishwa kweny hizo hela ndo inakupumbaza na unaona hela imetimia,

Kwahyo basi Mpate elimu hiyo kwamba chuma ulete sio kwamb mtu anachukua hela zako ulizokuw nazo ila ni ananunua bidhaa kw bei pungufu,

Na kwakuw zile dawa zinazokuwepo kweny hela huw zina Muda wake maalum wa kuisha kwahyo anawez akakupa na ukakaa hat masaa mawili ukaja kuhesabu ndo ukagundua umepigwa.
 
Usifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.

.
...mturutumbi...aiss watu wa Musoma mna mambo!
 
Back
Top Bottom