Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Id Ya mwanzo ilikuwa ipi mkuu?Oohh sasa umeshanijua enh, hata sielewi dada basi tu mdogo wako naye mambo mengi. Ila nakuahidi sitabadili tena hii ndiyo ya mwisho, maana hata mods nao wameshanichoka.
Nenda karantini wewe
Viatu vya samaki yuko wapiKuna jamaa anajiita mbao za mawe comments zake nyingi huwa ni vichekesho nahisi anaundugu na marehemu majuto
Kuna siku nilipitia uzi wa fans wa Arsenal nilicheka sana siku hiyo arsenal alicheza na akatangulia kufunga sikumbuki idadi ya magoli ila timu pinzani wakarudisha na kuongeza kuna jamaa baada ya mechi akaandika
"Arsenal hii ni kama gagulo linabana juu chini linaachia"
Ndo huyo mbao za maweViatu vya samaki yuko wapi
Nyingi mno..wiki hii nimecheka na comment ya Mla Bata kwenye Uzi wa kuoa/kuolewa na kabila moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu alikua anaitwa Mikwara Ya Andunje kila comment yake ni vituko vitupu! Anajifanya tajiri anaishi kwenye hekalu.
Seneta wa mtwizi, Msaga Sumu na General galadudu nikiwa bored napitia nyuzi zao nacheka weee..