Ni dawa gani madhubuti kwa mwanamke asiyesikia?

Ni dawa gani madhubuti kwa mwanamke asiyesikia?

Light saber

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2017
Posts
4,368
Reaction score
7,935
Una mwanamke mpo kwenye mahusiano, hasikii haambiwi, haoni. Ni kiburi pamoja na dharau pale ambapo anakuwa amekosea, unatamani umzabe kofi umsororoe hiyo mikamasi kwa ndoo(kichwa). Ila unamtazama tuu unamvutia kasi. Diplomasia imetumika mpaka yenyewe imechoka inataka kuchanja mbuga.

Mimi niko na hasira mingi arifu (wanaita short tempered), ila huyu mwali nilimchana before na kila asubuhi lazima tupange how a day will go. Ila sasa huwa anafanya anavyotka yeye, nikianza kumpa malecture over nini na nini asifanye na afanye kwa namna ipi analeta lomoni (mastori shazi). Mara aniite mgomvi, mkorofi nk.

Sasa ako na chalii angu na siwezi muacha, but sioni future hapa.

Nawaza ni dawa ipi ya kuzibua masikio na akili wakuu, kwa heshima na taadhima naombeni mnisaidie.
 
Kitamu kitamu sawa ila chumvi ikizidi hakiwezi kuwa kitamu sikushauri utemane nae ila kheri ukatazama pengine
 
Matone matatu, asubuhi, mchana na jioni

images - 2022-09-13T103526.791.jpeg
 
Sikuwa na nia ya kukuta maini. Ila tambua kwamba watu hawabadiliki tabia. Jua tu jinsi ya kuishi nae kama huwezi kumuacha.
Pamoja Mkuu , ila nikiwa mbali na hii mama nakuwa nina amani Sana , Mambo yanasonga Kasi ya foojii , mwili unanawiri na nafsi inasuuzika... Ila ndo nishajitambulisha kwao na ako na mwanangu
 
Back
Top Bottom