Ni dawa gani madhubuti kwa mwanamke asiyesikia?

Ni dawa gani madhubuti kwa mwanamke asiyesikia?

Kufa hufi ila cha moto utakiona.
Grow up!
Got you sis ❤️ .

Nimependa namna ulivyonijiby kwamba nitajua mwenyewe ..

I have to figure it out myself .❤️❤️
 
Tatizo lako unajali watu watakuonaje watasemaje. Mwisho wa siku mke ni wako na ni wewe utakayeteseka nae na si mtu mwingine.
Kigezo cha kuwa ana mtoto wako hakina mashiko.
Genius!.... Marvelous!.....Fantastic!!....... Excellent!...... intelligent!......na mengine mengine mazuri mazuri yoooote ya kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamkung'uta mwanamke ubour mmoja wa hatari hadi tumbua lake livimbe liumke ova mkando wa mkate dadadadeeeeeq. Asubuhi lazima akuamkie ....shkamoo babaangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu hio ndio dawa tembeza pumbu za kutosha apige kelele zote hadi majirani waje kuuliza kuna nini wakihisi labda unampiga kumbe kitu kinapelekewa Moto akitoka hapo anatembea migulu pande hatoki ndani wiki nzima anajiuguza Chini yake, hapo lazima akili imkae sawa
 
Ndio mkuu hio ndio dawa tembeza pumbu za kutosha apige kelele zote hadi majirani waje kuuliza kuna nini wakihisi labda unampiga kumbe kitu kinapelekewa Moto akitoka hapo anatembea migulu pande hatoki ndani wiki nzima anajiuguza Chini yake, hapo lazima akili imkae sawa
Wanaume wengi huwaonea huruma wake zao. Piga pumBbu hadi ikiwezekana unuse harufu ya maku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una mwanamke mpo kwenye mahusiano, hasikii haambiwi, haoni. Ni kiburi pamoja na dharau pale ambapo anakuwa amekosea, unatamani umzabe kofi umsororoe hiyo mikamasi kwa ndoo(kichwa). Ila unamtazama tuu unamvutia kasi. Diplomasia imetumika mpaka yenyewe imechoka inataka kuchanja mbuga.

Mimi niko na hasira mingi arifu (wanaita short tempered), ila huyu mwali nilimchana before na kila asubuhi lazima tupange how a day will go. Ila sasa huwa anafanya anavyotka yeye, nikianza kumpa malecture over nini na nini asifanye na afanye kwa namna ipi analeta lomoni (mastori shazi). Mara aniite mgomvi, mkorofi nk.

Sasa ako na chalii angu na siwezi muacha, but sioni future hapa.

Nawaza ni dawa ipi ya kuzibua masikio na akili wakuu, kwa heshima na taadhima naombeni mnisaidie.
Watu wa R hawa hapa geto walikuja na sh tano
 
Ajaribu kwanza tiba za kiroho kwanza zikidunda na hizo uamuzi anao yeye. Matatizo mengi chanzo ni magonjwa ya kiroho thus wengi ujutia maamuzi yao huko mbeleni baada ya kupona, wakati huo mlango ulishafungwa.
 
Nimekuelewa brother.

Tatizo nowadays hamkai na sisi wadogo zenu kutuelekeza abc za Maisha Ya ndoa , Plus utafutaji...

Au ni sisi tumekuwa vichwa panzi, waduanzi tunajifanya much knows Kuzidi ninyi ...


Ahsante brother
Duniani sio paradiso. Jifunze kuitafuta kwanza furaha yako wewe kabla ya kumfurahisha mwingine. Unawafurahisha mama na dada ili upate nini? Labda wanakusaidia kumlea huyo mkeo??? Kama ndivyo sawa wanyenyekee vinginevyo unapoteza muda wako tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una mwanamke mpo kwenye mahusiano, hasikii haambiwi, haoni. Ni kiburi pamoja na dharau pale ambapo anakuwa amekosea, unatamani umzabe kofi umsororoe hiyo mikamasi kwa ndoo(kichwa). Ila unamtazama tuu unamvutia kasi. Diplomasia imetumika mpaka yenyewe imechoka inataka kuchanja mbuga.

Mimi niko na hasira mingi arifu (wanaita short tempered), ila huyu mwali nilimchana before na kila asubuhi lazima tupange how a day will go. Ila sasa huwa anafanya anavyotka yeye, nikianza kumpa malecture over nini na nini asifanye na afanye kwa namna ipi analeta lomoni (mastori shazi). Mara aniite mgomvi, mkorofi nk.

Sasa ako na chalii angu na siwezi muacha, but sioni future hapa.

Nawaza ni dawa ipi ya kuzibua masikio na akili wakuu, kwa heshima na taadhima naombeni mnisaidie.
Punguza kidogo unice guy anza kumtreat rudely mixer drama za hapa na pale, tafuta mchepuko mwanamke ni kama chama tawala bila upinzani anajisahau.. wanawake wanasema wanapenda mwanaume mpole, anaejali, mwelewa, mwaminifu n.k ila kihalisia ukiwa na izo sifa mwnamke anakuona zoba.
 
Duniani sio paradiso. Jifunze kuitafuta kwanza furaha yako wewe kabla ya kumfurahisha mwingine. Unawafurahisha mama na dada ili upate nini? Labda wanakusaidia kumlea huyo mkeo??? Kama ndivyo sawa wanyenyekee vinginevyo unapoteza muda wako tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna anayenisaidia chochote mkuu .
 
Kiswahili chako TU ulichokiandika hapo ni jibu tosha namna gani huyo mwanamke anakuvumilia
Mkuu mimi ni mtu flani hivi poa Sana , Huo ni uandishi tuu ila huwa sizungumzi hivyo nikiwa nyumbani
 
Dawa ya mwanamke asie skia ni kumuacha,sasa ww dume zima unasema huwez kumuacha kisa ana mtoto wako, Hapana hyo sio sababu,ww sema umekolea.

Na kwa tabia hiyo nahis uyo mwanamke kakuzid umri sasa ankuona kama kijana wake tu,na pia kama unaweza fanya ku confirm patenity ya uyo mtoto uskute alishakupiga nae kitambo tu

You can not negotiate The Genuine Desire,yani mwanamke akisha kutoka kichwan kwake na moyon kwake, hakuna Wine yoyote utampa anywe ili akupende tena hakuna..Be a Man mzee

Haya mambo tukiwaambiaga mapema mnajitia wajuaji humu,saiz mnakuja kulia lia.
 
Back
Top Bottom