Ni dawa gani madhubuti kwa mwanamke asiyesikia?

Ni dawa gani madhubuti kwa mwanamke asiyesikia?

Watu mmechoka kutoa ushauri ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Ni kama mtu anakutishia kujiua halafu unamkabidhi kamba ajinyonge
Unakuta unayo yako mazito zaidi hlf anakuja mtu anakuomba ushauri ambao solution ni simple ila hataki kukubaliana na ukweli.
 
Inategemea na mtazamo wako kuhusu jambo au asili yako kama umetoka kwenye familia zenye roho za kuachana, ni lazima udumishe roho ya kuoa na kuacha.
Hakuna mambo ya roho hapo, unaishi na mtu kila siku mnakorofishana utaendelea tu kukaa nae,ili iwe nini alafu, hizi imani zenu za ajabu ajabu mmetoa wpi
 
Muwekee mwanamke hakikisha anakojoaa....nasema hakikisha anakiona kilelee labda ukose hela ndo atakusumbua akili na bado hawezi kukuachaaa
 
Hakuna anayenisaidia chochote mkuu .
Ujue hata ufanye jambo zuri kiasi gani utaonekana huna maajabu! Duniani hakuna jipya......yalikuwepo....yapo na yatakuwepo.

Maombi ni uhuru wa bendera, ukombozi wa fikra ni mafanikio ya kiuchumi. Simamia matamanio yako.

Unajiforce kuishi na mwanamke ambaye anakukosesha furaha, nyumbani kwako inatakiwa upatamani sio kupachukia. Sio unamaliza maliza mishe zako huku unawaza nyumbani kwako wewe mwenyewe utaingia na mguu gani! Hell no!!

Hatuelewani kila mtu ashike njia yake apote hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzoefu,

Mwanamke ana masikio ya aina mbili,

Yaliyopo kichwani, na yaliyopo chini.

Usipozibua vizuri ya chini masikio ya juu hayatosikia vizuri kamwe!

(Asilimia kubwa)

Lakini pia kuna shida za kiroho, jaribu kufuata watoa huduma hizo. Jitahidi upate wa kweli.

Kila la heri.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yaani ni kama unamzungumzia wife wng sema nin me namuelewa ivo ivo tu na iyo hali hainipi shida ata kdg mwanz kabla cjamuoa ilikua ikinipa shida san ila now nachukulia kawaid tu na wanawake wa ivo wanakua wanapenda ugomv na ligi za kipumbav bala ๐Ÿ˜‚
 
Unakuta unayo yako mazito zaidi hlf anakuja mtu anakuomba ushauri ambao solution ni simple ila hataki kukubaliana na ukweli.

Hiyo ni kweli, kuna watu wanatengeneza matatizo ambayo hayapo au wengine unakuta kabisa anajua solution ni nini halafu anajihurumia kwa kuendeshwa na hisia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni kama unamzungumzia wife wng sema nin me namuelewa ivo ivo tu na iyo hali hainipi shida ata kdg mwanz kabla cjamuoa ilikua ikinipa shida san ila now nachukulia kawaid tu na wanawake wa ivo wanakua wanapenda ugomv na ligi za kipumbav bala [emoji23]
Pole mkuu [emoji23]
 
Pole mkuu [emoji23]
Shukran ๐Ÿ˜‚ yaan wanawake awa changamoto san unakuta mwanamke jeuri mjuba hatar ila ukimzingua kdg t unamuona anajiliza ๐Ÿ˜ me humuliza wife na ujuba wote uwo ulokua nao unatoa chozi kweli? Sijawahi kuyaaamini machoz ya mwanamke mim yaaan ukitafakar mwanamke anayoyafanya halaf kuna mda ati analia me naona ni wazinguaji tu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Chalii huyo manzi, mlete Kanisani inaweza saidia ila na Church nadhan atakua anagoma kwenda...

Basi fanya hivi.. mpe mimba akili itamkaa tu kama hutaki kumpa mimba kwa wakati huu, achana nae.
 
Back
Top Bottom