Unakuta unayo yako mazito zaidi hlf anakuja mtu anakuomba ushauri ambao solution ni simple ila hataki kukubaliana na ukweli.Watu mmechoka kutoa ushauri ππππ
Ni kama mtu anakutishia kujiua halafu unamkabidhi kamba ajinyonge
Basi mwambie hivi aingie Facebook atafute mtu anaitwa Iddi Makengo anunue na vitabu vyake asome atabadilika naaminiMkuu mwamposa alifika huku nilipo , ila alikuwa akimtizama tuu kwenye tiivii
Hakuna mambo ya roho hapo, unaishi na mtu kila siku mnakorofishana utaendelea tu kukaa nae,ili iwe nini alafu, hizi imani zenu za ajabu ajabu mmetoa wpiInategemea na mtazamo wako kuhusu jambo au asili yako kama umetoka kwenye familia zenye roho za kuachana, ni lazima udumishe roho ya kuoa na kuacha.
Ni ajabu kwa sababu umejifungia kwenye boxHakuna mambo ya roho hapo, unaishi na mtu kila siku mnakorofishana utaendelea tu kukaa nae,ili iwe nini alafu, hizi imani zenu za ajabu ajabu mmetoa wpi
Sawa mimi nimejifungia kwenye box, Wewe aliekuambia Mme/Mke haachwi ni naniNi ajabu kwa sababu umejifungia kwenye box
Kuacha au kutoacha inategemea na maturity ya mtuSawa mimi nimejifungia kwenye box, Wewe aliekuambia Mme/Mke haachwi ni nani
Una utani na maisha ya watu ndugu, kila LA heri kwenye "maturity" yakoKuacha au kutoacha inategemea na maturity ya mtu
Mwanaume kama huna pesa kwenye ndoa ubabe hauwezi kukuokoaUna utani na maisha ya watu ndugu, kila LA heri kwenye "maturity" yako
Ujue hata ufanye jambo zuri kiasi gani utaonekana huna maajabu! Duniani hakuna jipya......yalikuwepo....yapo na yatakuwepo.Hakuna anayenisaidia chochote mkuu .
Unakuta unayo yako mazito zaidi hlf anakuja mtu anakuomba ushauri ambao solution ni simple ila hataki kukubaliana na ukweli.
Pole mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni kama unamzungumzia wife wng sema nin me namuelewa ivo ivo tu na iyo hali hainipi shida ata kdg mwanz kabla cjamuoa ilikua ikinipa shida san ila now nachukulia kawaid tu na wanawake wa ivo wanakua wanapenda ugomv na ligi za kipumbav bala [emoji23]
Shukran π yaan wanawake awa changamoto san unakuta mwanamke jeuri mjuba hatar ila ukimzingua kdg t unamuona anajiliza π me humuliza wife na ujuba wote uwo ulokua nao unatoa chozi kweli? Sijawahi kuyaaamini machoz ya mwanamke mim yaaan ukitafakar mwanamke anayoyafanya halaf kuna mda ati analia me naona ni wazinguaji tu πππPole mkuu [emoji23]