Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Salaam
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkojo!Kupona ni Imani. Sukutua na mkojo wa kwanza wa aljiri kwa siku mbili. Utanishukuru badae
Asantekalizibe tu
mkojo wako sio wa mwingineMkojo!
Yeah, MKOJO. Nina ushuhuda juu ya hili. Vp waona kinyaa mkojo wakoMkojo!
Mkuu kuna hizi dawa za asili wanatangaza mitaani, vp?Wakuu kwenye ishu ya jino tuambiane ukweli tuu, dawa ya jino ni kung'oa tuu.
Dawa ya jino ni kung'oa kama huamini subiri ikifikia ile stage pendwa ya kutokubali dawa yoyoteSalaam
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni
Hata dawa za hospitali Hizo zote zinatuliza tuu Kwa muda fulaniMkuu kuna hizi dawa za asili wanatangaza mitaani, vp?
Asante, kesho naenda hospitalDawa ya jino ni kung'oa kama huamini subiri ikifikia ile stage pendwa ya kutokubali dawa yoyote
Asante, sahihi ChiefNenda kwa dentist. Hakuna mjumvi humu wala mtaani, dawa ni kumuona dentist atakwambia kama ni la kung'oa au kufanya root canal na filling.
Wabongo anzeni utaratibu wa kwenda kwa dentist every six month sio hadi meno yaume, wengi mnanuka midomo.
Asante, sahihi Chief