cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,869
nilitaka kusema hivi mkuu ushamaliza kabisa hakikisha unapolala acha ndoo za maji wazi dawa yake haitafanya kaziWeka maji kwenye chombo cha wazi kama bakuli au ndoo au besenikatika chumba unacholala.
Hiyo dawa kamwe haitafanya kazi.
Inakuwa deactivated na maji. Tena yakiwa katika chombo chenye high exposure kama beseni au ndoo ni vyema zaidi. Nitaleta chemistry yake baadaeNilikuwa nawaza kwa sauti hii mbinu ya maji...
Lakini nikawa najiuliza kuwa litaulizwa swali uhusiano uliopo baina ya hiyo dawa na maji, kwa nini maji yakiwepo haiwezi kufanya kazi!!
Duhh, ndio maana akikamatwa mwizi wengine wanapagawa na jambo au adhabu ya haraka inayowajia kichwani ni kumuua mwizi!Nakumbuka jirani yetu walishamliza kwa style hi yani walikomba mpaka chaga za vitanda wakamuandikia ukutani "LALA UNONO" yeye na mama watoto wake na watoto pia walishtuka saa 4 asubuhi wamelazwa sakafuni wakiwa na nguo walizovaa tu zingine wameondoka nazo,Jirani alichanganyikiwa akawa kama chizi vile mana wale wezi walikuja na Gari kubeba
sureKiboko cha hy dawa ni maji weka ndoo za kutosha za maji kuanzia chooni hadi mvunguni kwa kitanda dawa ikipilulizwa inaenda kwny maji
amennilitaka kusema hivi mkuu ushamaliza kabisa hakikisha unapolala acha ndoo za maji wazi dawa yake haitafanya kazi
SijakuelewaBwana MUNGU asipoilinda nyumba, wailindao wakesha bure Zaburin127. Dawa yangu ni Zaburn121, nitayainua macho yangu niitazame milima, msaada wangu utatoka wapi?Msaada wangu u katika BWANA aliyezifanya mbingu na nchi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Iyo dawa kazi yake kubwa ni nini?
Swali kwa kaka jambazi ni nani aliwafundisha kutupulizia wenzenu
Kupitia huu uzi na wachangiaji wa mada wanavyodadavu wengine tunajifunza jinsi ya kujihami na wezi. Kwa mfano, mimi nimejifunza mbinu ya kuacha maji wazi ili kujihami na wezi wanaotumia Kloroform wengine tulikuwa hatuijui.Mleta mada sina imani nawe hata kidogo.Kama huna kazi,kalime acha hizo.
Itakuwa walienda kuiba asubuhiwezi walikunywa kwanza chai???
Kweli mkuu. Watu wapo tayari kuyumia gharama yoyote kuweka alarm kwenye gari lakini uhai wake haujali kabisa. Maana mwizi kuingia ngani ukiwa fofo nisawa na kumkabidhi uhai wako maana anaweza kuganya chochote na akatokomea bila hata kuacha alama. Tubadilikeni jamani, zipo alarm za bei chee kabisa. Ukigusa tuu ni kama king'ora cha ambulance au gari za police. Hadi majirani wataamkaKwa nini amuweki vifaa vya electronic (alarm) vya kuwalinda, vipo mpaka vya kunusa madawa kama hayo ya cloroform na moshi.
Lazima kuna kitu chaziada waliwafanyia na hawakupenda kulisema hilo hadharani maana ni aibu. Kama waliweza hadi kuwatenganisha hadi vyumba, inawezekana walifanya mengiDaàaaah, umenikumbusha jirani yangu alinunua TV ya m1.25 na subwoofer la nguvu katumia wiki moja wezi wakaja wakawapulizia wakalala usingizi hadi tunawaamsha saa tano asubuhi baada ya kuona kimya sana hiyo nyumba hali tumegana nao usiku wa kulala na hawakuwa na safari yoyote.
Kuwakuta ndani wakaamka kila mmoja akitokea chumba tofauti wezi walibeba na kuwatenganisha mke na mme na kupeleka vyumba tofauti. Wezi ao hao walikula msosi kwanza ndo wakabeba mzigo na hela kidogo iliykuwa around.
Wezi wa namna hii washenzi sana ila dawa yao ni ndogo tu wanapuliza lakini wanakukuta uko macho unakimbizana nao.
hahaaaaha mie simoHuu uzi yawezekana unafuatiliwa kwa makini sana na majambazi, najaribu kuwaza tu kwa sauti.
Unaweza weka hivo akaja mwanao au ndugu akala akafa kweli ni hatari hyo njia Mara nyingi huwarudia familia ya walio itegaNaomba kujua ni dawa gani au sumu gani naweza weka kwenye biscut au chakula ambacho mwizi akila kesha yake afe, iwapo ataniibia kwa stail hiyo.
Mi huwa nasafiri mara kwa mara, ivo nikiwa nimefunga nyumba wao wakaja iba ndo nataka washawishike kula biscuit.Unaweza weka hivo akaja mwanao au ndugu akala akafa kweli ni hatari hyo njia Mara nyingi huwarudia familia ya walio itega
si amekuta haipo