Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
- Thread starter
- #21
Mwamba hili ni jambo la Imani na kimantiki ebu fikiria kwa kutulia anakiuka agano la Mungu huadhibiwa. Fanya fikra mtambuka utapata kitu. Zingatia mantiki ya haki na kweli katika Imani utapata kituUsitususie jibu tunataka ufafanuzi mzuri mbona utulii?