Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
- Thread starter
- #41
Ukiujua uko kiimani na shahawa utaelewa we shupaa tu sio lazima hata hivyoYaani kuliko kuanza kusingizia sijui kivuli au mizimu kha
Kuanza kubebeshana vivuli inahuuuu🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiujua uko kiimani na shahawa utaelewa we shupaa tu sio lazima hata hivyoYaani kuliko kuanza kusingizia sijui kivuli au mizimu kha
Kuanza kubebeshana vivuli inahuuuu🤣🤣
Ndio hapo ushangae.Kwanza kivuli Cha wapi bila jua wakat wa masika hiko kivuli kitakaa wapi 😀😀😀
Ingekua hivyo basi hata hao wanawake wasingeolewa maana wanatembea na vivuli vya maX wao.Ukiujua uko kiimani na shahawa utaelewa we shupaa tu sio lazima hata hivyo
Kwakweli Hawa majirani zetu wamezidi kunamtu kaleta Uzi mumewe Malaya anatak avunje ndoa ameshindwa alaf akiondoka et kivuli kivuli Iko kwio 😂😂😂Ndio hapo ushangae.
Ila kuna viumbe wanapenda kujihesabia haki sana
Sio shuruti you can contest and refrain from believing it's all freeNdio hapo ushangae.
Ila kuna viumbe wanapenda kujihesabia haki sana
Endeleeni kuhuisha Bali rasmi hubeba rasmi ni hayo tuIngekua hivyo basi hata hao wanawake wasingeolewa maana wanatembea na vivuli vya maX wao.
Lakini kwanini wanaume wasitembee na vivuli vya wake zao? Naomba kujua tafadhali
Imagine!Kwakweli Hawa majirani zetu wamezidi kunamtu kaleta Uzi mumewe Malaya anatak avunje ndoa ameshindwa alaf akiondoka et kivuli kivuli Iko kwio 😂😂😂
😂😂😂Ndo nashangaaImagine!
Amtese mtoto wa watu kwa uhuni, asiondoke kisa anaogopa kivuli kha🤣🤣
Aah kizungu sijui mimiSio shuruti you can contest and refrain from believing it's all free
Kupinga na kutokuamini pia ni uamuziAah kizungu sijui mimi
Unaposema jambo kama hilo unatakiwa uongee fact with vivid example azawaiz itakua ni chai tu kama chai zingineEndeleeni kuhuisha Bali rasmi hubeba rasmi ni hayo tu
Naunga mkono hojaKupinga na kutokuamini pia ni uamuzi
Haina shuruti katika kuamini kwa maana kupinga na kutokuamini pia ni uamuzi wa hakiDaaaah,bloangu mbona,unawaharibia binadam wenzio,na wanaume je?
Wewe vipi mwenzio nakula Bata huku DSM wewe huko Moro hujatoka? Mafuriko vipi mlizuia mvua tangu enzi za January?🤣🤣🤣Kaz ya kutafuta mke ni ngumu sana nimeamua wakati mi naendelea kutafuta nimewapa kazi shangazi zangu wote mama wadogo na wakubwa wote baba na mama nao kila mmoja anitafie mchumba anaeona anafaa alaf mi kazi yangu itakua Kama jaji wa Bongo star search kutaja mshindi ni nani
Hahahaaa wana jopo jopoaTulishafanyia mabadiliko hicho kipengele siyo kuona kaburi tu ni kwenda mahakamani kuomba kibali cha kufukua kaburi uthibitishe na jopo la madkari bingwa
Mi hata sielewi dunia inaendaje tangu ni unfollow wambea wote habari zimekua hazinifikii kabisa huku GairoWewe vipi mwenzio nakula Bata huku DSM wewe huko Moro hujatoka? Mafuriko vipi mlizuia mvua tangu enzi za January?🤣🤣🤣
Malaika aliyeanguka Lilith ni succubus ambaye huja kwa wanaume katika ndoto na anawaingiza kwenye ngonoMwanamke kikawaida anaishi na mzimu wa kila mwanaume alotoka nae sasa mwanamke ambae alisholewa kivuli Cha mume hua hakitoki bila sababu ya msingi ya kuachana inayokubalika kimaandiko ya Mungu
Sawa bwana KichwamotoHaina shuruti katika kuamini kwa maana kupinga na kutokuamini pia ni uamuzi wa haki