Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,

Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka

Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
Mbona wewe hujatupa experience yako??
 
Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,

Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka

Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
Kuna madjz wa redio mpya Mbeya inaitwa Access fm, kuna DVJ nicky the best na @DJ Dhifa untouchable na wenzao wengine Kama wawili Hivi pale ni hatari Sana wale jamaa, zamani Nilikuwaga namkubali Sana DJ maliz wa kiss fm kipindi hicho,ilikuwa inakuwa jioni kipindi cha top ujazo,na DJ mafuvu East africa radio cjui now wako wapi.
 
Mi nawachukia madj wote wanaopiga miziki robo robo,scratches nyiingi zisizo na mpango...na kuingea ongea sana....nawakubali madj wanagonga ma old skuul za maana akina P.Moe, B.Love,JD and the team,JP Pantalakis,Mr C etc
Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,

Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka

Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
 
DJ John Dilinga, DJ Bonny Luv, DJ Steve B wengine wengi wa siku hizi uwezo wao unafafana sana. Wana vitu vile vile ni ngumu sana kuwatofautisha.

Ila mikoani kuna wadudu wanakamua bana basi tu Dar ndio kila kitu. Nimewahi kuingia club moja huko Bukoba nilibumbwaa majamaa wanavyokamua tena walikuwa wanapokeza ngoma moja moja, huyu old skool huyu anajibu na new skool ....hatari ....na mixing/Scratching ziko perfect!

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena Club the Mint mzee.
 
DJ Nelly D,DJ Feruuh na DJ Summer TZ,DJ kiduara na DJ Weasel from SAUT FM
 
Back
Top Bottom