Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Mbona wewe hujatupa experience yako??Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,
Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka
Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
Kuna madjz wa redio mpya Mbeya inaitwa Access fm, kuna DVJ nicky the best na @DJ Dhifa untouchable na wenzao wengine Kama wawili Hivi pale ni hatari Sana wale jamaa, zamani Nilikuwaga namkubali Sana DJ maliz wa kiss fm kipindi hicho,ilikuwa inakuwa jioni kipindi cha top ujazo,na DJ mafuvu East africa radio cjui now wako wapi.Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,
Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka
Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,
Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka
Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
Anatuvuruga balaa hapa turnup kijichi na siku izi kaja na mtindo wa kutuletea wasanii kila ijumaaMaFuvu yuko vizuri, Mtoni Kijichi kule wanamuelewa sana
Radio gani mzee baba wengine tunaweza waskiliza onlineDJ joe Mfalme from Kenya huyo mzee
Karibu tena Club the Mint mzee.DJ John Dilinga, DJ Bonny Luv, DJ Steve B wengine wengi wa siku hizi uwezo wao unafafana sana. Wana vitu vile vile ni ngumu sana kuwatofautisha.
Ila mikoani kuna wadudu wanakamua bana basi tu Dar ndio kila kitu. Nimewahi kuingia club moja huko Bukoba nilibumbwaa majamaa wanavyokamua tena walikuwa wanapokeza ngoma moja moja, huyu old skool huyu anajibu na new skool ....hatari ....na mixing/Scratching ziko perfect!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari hatari hatari Jd ni ni moto fire yani anajua hadi anakera...Dj John Dilinga, the everlasting Dj huyu ni hatarii ingawa kwenye ramani ya radio sijamsikia sana ila moto kwa scraching