Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

landcruiser_01_04-scaled.jpg
 
U
Umetaja Corolla nimejikuta nafurahia sana ,fanya mpango uje uione Corolla yangu Mbeya ilivyo nzuri na pia Corolla pekee mkoa mzima yenye number plate ya jina langu la ukoo.

NB : kupitia gari hii naheshimika mpaka na mkuu wa mkoa mpaka. vijana wa UWT chini ya ofisi ya mkuu wa mkoa .

Hivyo napenda kukupa hongera kwa kuchagua kilicho Bora Ila kukutia moyo kuwa endelea kupambana unaweza kumiliki Corolla 100
corolla, nzuri🤣🤣🤣, number plate ya jina la ukoo, naheshimika, mkuu wa mkoa, VIJANA WA UWT.

NDIO MAANA MBEYA NYUMBA ZA MATOPE
 
Ulimi unaumba usijenenee kushindwa Mkuu! Utamiliki zaidi ya Range.

Kipendacho roho Mkuu chukua tu Crown uridhishe nafsi
haya maneno yenu ya motivational speaker ndio nisiyoyapenda....eti ulimi unaumba, nyoooooo!!!!
mpaka leo hii miaka nenda udi ulimisi unasema nitagegeda demu wa jf lakini ubao mpaka sasa bila bila, naendelea na nyeto ya mlenda vugu vugu na kubusu ukuta
 
Mungu anampa mtu kwa wakati wake aupendao yeye..nilikuwa natamani sana nimiliki gar nilimiliki leseni nikiwa na ndoto pekee baada ya miaka 10 nikamiliki ist used no D baada ya mwaka nikauza nikanunua IST mpya ninaamin nitamiliki Mazda X5 naipenda Mno naitamani sanaaaa Mungu atanibariki tu nitapata wacha nipambane
 
Back
Top Bottom