Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Haswaa
Hii bei ya Ulaya ila ukiipata ya kutoka Japan lazima bei itakuwa chini kidogo
Hii gari mwaka 2011 kipindi Sinza inawaka kila sehemu pa moto pale Mori Big Born petrol station nilimuona jamaa anashuka kwenye Discovery 3 yake akaenda kumng’ang’ania mtu atangaze offer yoyote ampe hela amwachie Glanza yake,ilikuwa kama kituko lakini haikuwa utani jamaa alikuwa anamaanisha.

Jamaa alikuwa amekafunga mziki mzito amefungulia sauti ya chini sana inasikika na aliye karibu na kameoshwa vizuri kanang'aa aisee,sikujua waliishia wapi lakini reaction ya yule jamaa wa discovery ilinifanya niiheshimu sana hii gari.
 
haya maneno yenu ya motivational speaker ndio nisiyoyapenda....eti ulimi unaumba, nyoooooo!!!!
mpaka leo hii miaka nenda udi ulimisi unasema nitagegeda demu wa jf lakini ubao mpaka sasa bila bila, naendelea na nyeto ya mlenda vugu vugu na kubusu ukuta
Ni Imani yako …binafsi nikijinenea kitu asilimia kubwa nafanikiwa mambo ya kujinenea kushindwaa sitaki kabisa😀 kama hapa naamini nitaendesha Velar tena kwa muda nilioplan
 
Tatizo la hii Harrier na Vanguard siku hizi zimekuwa kama IST zenye bei kubwa zikipita gari kumi zenyewe unakuta ktk hizo kumi zipo tatu hadi ladha inapotea.

Kama mpenzi wa SUV cars kama ikibidi mtu kununua anunue brand unique kama Hyundai KIA zipo gari nzuri zenye sifa mfanano na hii.
Vanguard zenye bei ndogo ndiyo zinauzwa sh ngapi Mkuu
 
Vanguard zenye bei ndogo ndiyo zinauzwa sh ngapi Mkuu
😂😂😂 Nilimaanisha ni IST zenye bei kubwa.

Kwamba IST ni nyingi kwa sababu zinavutia na bei zake ni ndogo kumfanya kila mwenye hela ndogo kuzinunua na hizo mbili Harrier na Vanguard ni bei kubwa zinavutia kiasi kumfanya kila mwenye hela nyingi kidogo kuzinunua.
 
Hii gari mwaka 2011 kipindi Sinza inawaka kila sehemu pa moto pale Mori Big Born petrol station nilimuona jamaa anashuka kwenye Discovery 3 yake akaenda kumng’ang’ania mtu atangaze offer yoyote ampe hela amwachie Glanza yake,ilikuwa kama kituko lakini haikuwa utani jamaa alikuwa anamaanisha.

Jamaa alikuwa amekafunga mziki mzito amefungulia sauti ya chini sana inasikika na aliye karibu na kameoshwa vizuri kanang'aa aisee,sikujua waliishia wapi lakini reaction ya yule jamaa wa discovery ilinifanya niiheshimu sana hii gari.
Aisee huu mchezo wa kuvuana gari wanao sana waarabu wale wa mafuta
Kumbe ipo kila mahali
Huwezi amini mwaka 82 nilolazimishwa niuze gari langu kwa sababu nilii pimp kwa rim za uhakika na pia side mirror zilikuwa sio original na Ariel mbili nyuma enzi hizo walikuwa wanatumia wapelelezi kwa kufunga simu za upepo ila ilikuwa sio marufuku kama kwetu na njaa zao kila kitu marufuku

Ila napenda sport cars mpaka kesho ingawa nimezeeka ila Ferrari kwa wazee kama mimi ni sawa sio aibu 😄
 
Nim
Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.

Nimeapa lazma ninunue discovery hata bovu
 
Mazda MX 30
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    30.4 KB · Views: 7
Tatizo huku tulipo hizo kazi za kuchapa ili kupata hela hiyo hakuna mkuu
Unaishia kupata hela ya ugali tena Kwa mbinde
Zinaliwa na wachache wenye tamaa
Halafu tunajisifu tuna rasilimali za kila aina

Ni kweli kabisa kwa huku kupeleka Range au Jag au gari yeyote ni uamuzi wwko tu maana unaweza na pia gari sio anasa ni moja ya usafiri kwa wengi
Huku kupanda bus au train ni ghali sana kwa sasa na kila mwaka wanapandisha bei
Hata uwe kuli unapeleka Benz
 
Back
Top Bottom