MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Nimeamka salama rafiki 92 jerrie na Corolla yangu iko salama najiandaa kwenda kwenye ngoma za Kijiji za sherehe ya nane .ushasema kijiji mbeya nayo kijiji au...... fikiri kabla hujaandika
Haujakutana na za kisasa nini mzee? Full luxurious. Seat za kibabe , AC, android radio, music system. Zimetengenezwa kibabe sana.Hizi gari nzuri kwa shamba kutembelea ni matatizo tu ya mgongo seat ngumu...
Za kisasa ni hizi LC 200 na LC 300 Wamalawi wanatushangaa sana kutembelea gari za Polisi au Ambulance kwao sisi tunaona gari za kulia Bata mimi hizo ndio nacheza nazo sana kwa kuwa niliamka kitambo sio gari za Bata hizo hata iweje ila home inatakiwa iwepo moja ya shamba au porini.Haujakutana na za kisasa nini mzee? Full luxurious. Seat za kibabe , AC, android radio, music system. Zimetengenezwa kibabe san
Hii gari ni Prado 2024.
hongera bwana...sasa usinisahau basi na mie unipe lift nione raha ya kuwa kwenye gari la mamilion.Ni Imani yako …binafsi nikijinenea kitu asilimia kubwa nafanikiwa mambo ya kujinenea kushindwaa sitaki kabisa😀 kama hapa naamini nitaendesha Velar tena kwa muda nilioplan
Uha-kika (kwa sauti ya Ahmed Ally msemaji wa Simba)
Haya😂😂hongera bwana...sasa usinisahau basi na mie unipe lift nione raha ya kuwa kwenye gari la mamilion.