Namimi ndotoni, kuna mtu huwa ananiungisha sana MATIKITI pale kijiweni kwangu akiwa ndani ya hizo gari ulizotaja hapo juu,..... SHUKRAN SANA MKUU 🙏🙏 kumbe ndo wewe mteja wangu wa maana,.....Harrier Anaconda ya 2023. Yale macho yananikosha..iwe nyeusiii
Audi Q5 iwe nyeusiii
BMW X5 iwe nyeusiii
Nissan xtrail ya 2024 iwe dark blue 🔥
Naziendesha sana ndotoni hizo gari 🥰
raha ya ndoto ni kui-ishi ndoto yako hukohuko NDOTONI,..ukiileta kwenye uhalisia, mziki wake utaomba pooh!..🙌🙌🙌😂🤣🤣amkeni muziishi ndoto zenu
Sikiliza video hiiNajua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.
Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.
Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.
View attachment 3063171
1st choice yangu subaru foresterFirst choice HARRIER new model
Second choice Subaru Forester
Thrlird choice Vangurd
Kaka yan tufanye kazi ya kupanda juu na kushuka chini?Tupande juu tushuke chini
Ranger rover Evoque ni balaa
Impreza unyama sn, hasa model za 2012 kurud nyuma.Unapenda yale makelele mkuu?
basi nichagulie gali gani zuri...ningependa range rover ila uwkeli ni kwamba sitaweza kumiliki maishni mwangu
umeshajua ni pesangapi hiyo gari?Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.
Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.
Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.
View attachment 3063171