Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Harrier Anaconda ya 2023. Yale macho yananikosha..iwe nyeusiii

Audi Q5 iwe nyeusiii

BMW X5 iwe nyeusiii

Nissan xtrail ya 2024 iwe dark blue 🔥

Naziendesha sana ndotoni hizo gari 🥰
Namimi ndotoni, kuna mtu huwa ananiungisha sana MATIKITI pale kijiweni kwangu akiwa ndani ya hizo gari ulizotaja hapo juu,..... SHUKRAN SANA MKUU 🙏🙏 kumbe ndo wewe mteja wangu wa maana,.....
 
29d56a19adbd587aa033be04714e0e7b.jpg
 
Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.

View attachment 3063171
Sikiliza video hii


View: https://www.youtube.com/watch?v=BaCw8ikEfJU

Kuanzia dakika ya 8:00
 
Unyama mwingine, J70
 

Attachments

  • Screenshot_20250127_212259_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20250127_212259_Opera Mini.jpg
    151.3 KB · Views: 4
Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.

View attachment 3063171
umeshajua ni pesangapi hiyo gari?
 
Back
Top Bottom