Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Kaka hicho kina kinaanzia 370+ kwa trim hiyo niliyoichagua, lakini inaweza kuzidi hadi kufika 450 huko, kuna features nikianza kuzielezea hapa itakua gazeti... Lakini zile editions zengine kama GX, GXR, VX, VXR n.k zinakua chini kidogo!
ikitokea nikapata hata 50mil Tsh mkuu nisiseme uongo, ndoto za kununua gari zinakufa kabisa😅😅😅

Nina mipango mingi ya kutekeleza kwakweli
 
Vitz
 
Harrier Anaconda ya 2023. Yale macho yananikosha..iwe nyeusiii

Audi Q5 iwe nyeusiii

BMW X5 iwe nyeusiii

Nissan xtrail ya 2024 iwe dark blue 🔥

Naziendesha sana ndotoni hizo gari 🥰
Hiyo anaconda naipata vizuri bei yake inafika 120m jitahidi uimiliki kama vp vuta ya mwaka 2015 bei yake ni kwenye 60m.Kila la heri.
 
Niwe ndani ya Land cruiser 300 series yoyote ile nimevaa zangu kaunda suit ina kale ka alama ka nembo ya Tanzania alafu mbele kwenye bonnet nimeweka bendera ya Tz upande mmoja, upande mwingine bendera ya chama

What more could i ever wished for myself?
 
Carina ti corolla 100 au 110 na premio old model... gari zangu pendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…