Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
XT bei bado imesimamaLegacy zinauzwa cheap kwasabab zimepoteza mvuto na muonekano wake kama tax za kizaman alafu ndani space ndogo😅, ila si kwamba ni mbovu au zina shida... Subaru XT tena uikute ni Turbo inavuta wese sana wenyew wanasema Turbo ili isile mafuta inataka speed ukiwa high way ndio utainjoi ila ukiwa na trip za mjini tu wese linaenda, japo sio sana kias cha kutisha ni 9km per lita...
Kwahiyo imprezza inatumia 90,000 per day mizunguko ya town?Mkuu usijidanganye na cc 1490 za subaru ukadhani ziko sawa na za IST.
Cc za gari zinaweza kutumika ku determine power na ulaji mafuta wa gari, ila sio kigezo pekee cha ku determine hizo.
Kuna vitu vingi sana vina determine na inabidi uwe unalijua gari moja moja na mifuno yake ndipo utaweza kujua ipi unakula zaidi.
Factors ni kama hizi
- type ya engine
- mwaka wa gari
- aina ya mafuta inayotumia
- technology iliotumika
Mfano mdogo tu, kuna gari inaitwa Mazda rx 8, hii gari ina cc1300 tu, ila ndugu ya tu usijidanganye ukaifukuzia ikakukalisha wewe na cc2500 za brevis yako. Na inabugia mafuta kuliko hata toyota za Cc2500. Why? Sababu inatumia rotary engine tofauti na za toyota.
Turudi katika ulinganisho wako, Subaru wanatumia boxer engine, ni powerful na zinabwia mafuta ukilinganisha na cc za engine za toyota.
Yaani ukiweka subaru ya cc1490, 1990 zinabwia wese na powerful zaidi ya toyota za same engine size
Mfano mimi natumia Volkswagen polo ina cc 1380 tu, ila kanakunywa mafuta vizuri na kanakimbia kuliko hata IST ya 1490, na hata baadhi ya magari ya cc2000+ nawakalisha vizuri tu
I hope umenipata hapo
...it sounds good..[emoji4]Hapana, namuheshimu killa mtu. Mimi ni mtanzania mwenye asli ya uarabu.
Na nimesomea car enginearing In Germany.
All hamdulillah najitegemea na I am very average guy.
Na uzoefu zaidi ya miaka 31, umri sasa 51.
Karibu kwa ushauri.
Kwahiyo imprezza inatumia 90,000 per day mizunguko ya town?
Mzee baba volkswagen polo kagari kamoja katamu saaana then nowdayz naona wengi wanaziagizaga nahis unafuu wa bei pia ila gari iko njema saana !!!Mkuu usijidanganye na cc 1490 za subaru ukadhani ziko sawa na za IST.
Cc za gari zinaweza kutumika ku determine power na ulaji mafuta wa gari, ila sio kigezo pekee cha ku determine hizo.
Kuna vitu vingi sana vina determine na inabidi uwe unalijua gari moja moja na mifuno yake ndipo utaweza kujua ipi unakula zaidi.
Factors ni kama hizi
- type ya engine
- mwaka wa gari
- aina ya mafuta inayotumia
- technology iliotumika
Mfano mdogo tu, kuna gari inaitwa Mazda rx 8, hii gari ina cc1300 tu, ila ndugu ya tu usijidanganye ukaifukuzia ikakukalisha wewe na cc2500 za brevis yako. Na inabugia mafuta kuliko hata toyota za Cc2500. Why? Sababu inatumia rotary engine tofauti na za toyota.
Turudi katika ulinganisho wako, Subaru wanatumia boxer engine, ni powerful na zinabwia mafuta ukilinganisha na cc za engine za toyota.
Yaani ukiweka subaru ya cc1490, 1990 zinabwia wese na powerful zaidi ya toyota za same engine size
Mfano mimi natumia Volkswagen polo ina cc 1380 tu, ila kanakunywa mafuta vizuri na kanakimbia kuliko hata IST ya 1490, na hata baadhi ya magari ya cc2000+ nawakalisha vizuri tu
I hope umenipata hapo
Sasa Forester na yule chura wa "Zuma Deluxe" utawafananishaje?
View attachment 2323971Nissan Juke Concept 😂😂😂
View attachment 2323972
End product NISSAN JUKE
Mzee baba volkswagen polo kagari kamoja katamu saaana then nowdayz naona wengi wanaziagizaga nahis unafuu wa bei pia ila gari iko njema saana !!!
Hata sielewi kagari kabaya kama hako kanasumbuaje sokoniChief kwanini hii gari imeshika bei sana nadhani inafika mpka 20mlio
Hata sielewi kagari kabaya kama hako kanasumbuaje sokoni
Mtu anapima suti kulingana na urefu wake! Suzuki Jimny ni CC 650!! Lita moja unatembea kilomita 20! Ina 4WD, hukwami kwenye utelezi! Hii ni gari nzuri kwa vijana wenye mishe mishe nyingi! Ukiweka mafuta ya sh 50,000/= unasahau kama gari huwa zinatumia mafuta! Mambo ya comfortability yanawahusu wazee waliopata fedha tayari na wana uwezo wa kusukuma Kluger CC 3000 lita moja kilometer 6! Kwenye highway lita 1 kilometer 7.a k a kigoda! Kwenye mambo ya comfortability ni sufuri kabisa!
Sio kweli hapo umedanganya suzuki jimmy fuel consuption yake cc650 ila inatumia high way km 14 kwa lita 1 usijidanganye kuwa eti cc ndio inafanya consuption ya mafuta inapungua achana na story za vijiweniMtu anapima suti kulingana na urefu wake! Suzuki Jimny ni CC 650!! Lita moja unatembea kilomita 20! Ina 4WD, hukwami kwenye utelezi! Hii ni gari nzuri kwa vijana wenye mishe mishe nyingi! Ukiweka mafuta ya sh 50,000/= unasahau kama gari huwa zinatumia mafuta! Mambo ya comfortability yanawahusu wazee waliopata fedha tayari na wana uwezo wa kusukuma Kluger CC 3000 lita moja kilometer 6! Kwenye highway lita 1 kilometer 7.
"Konda nishushe hapo mbele kwenye vita"Habari Boeing 747 .
Ukipata muda soma hii content ya huyu Mtanzania mwenzetu (anayedai):
1. Asili ya kiarabu.
2. Anamiliki Hilux ya 2017.
3. Anamiliki Nissan Patrol ya 2017 (ambayo ilimcost 27 millions kuifanyia matengenezo).
4. Mke wake anaendesha Crown ya 2010 (mwanzo alikua anaendesha BMW X5).
5. Pia amenunua Harrier.
6. Anajiweza kiuchumi.
Sio kwa mfumo huu wa bei
Hello! Bidhaa ambazo naona hazijapanda bei kwa Dar es salaam hii ni nyama, chumvi, viberiti, mbao basi. Maji yamepanda bei Nguo zimepanda bei Vifaa vya shule vimepanda bei Vyakula vimepanda bei Nondo zimepanda bei Misumari imepanda bei Cement imepanda bei Mabati yamepanda bei Gypsum board...www.jamiiforums.com
Kabisa mkuu kizazi cha pili wameweka taa nyuma basiNissan X trail kizazi cha Kwanza na cha pili
Dah Kuna watu mmebarikwa sana duniani hapa.......one day yes!Kiujumla magari mengi ya ulaya hassa uingereza na ujerumani karibu yoote yanakuwa over Engineared ! Wanazingatia saana usalama na comfort ya gari, vile vile yanakuwa yametembea saana kilometa nyiingi, likiisha warranty wanauza.
Kwa namna hiyo kununua yaliyotumika used, kuwa na changa moto nyiingi saana na kati ya gari kumi saba hazifiki miaka mitatu Bongo, ununue iliyo kuwa bado ina upya itakupa muda kiasi, nimemiliki nyiingi tu kweli likiwa used na model chini ya miaka 13 hazifai. Bora kuanzia 2015 ambazo ni za gjhali saana. Sishauri mtu mwenye kipato chochote kununua gari ya zamani mno za Europe ni pasua kichwa.
Kwa mjapan Nissan nyiingi zinafanana spare parts zake tabu na bei juu mfano. Namiliki Nissan Patrol y62 ya 2017 - gari V8 ina nafasi ina nguvu nilinunua mpya sasa inasoma laki km kwenye Dash board ilipofika kM 92,000 ilisumbua sana senser, ignition coils,plugs,rejeta, fuel pump n.k. nilisimamisha miezi mitatu nakusanya nguvu kuagiza spare na ufundi wa uhakika limegharinu zaidi ya milioni 27. Kwa sasa lipo saafi illa sishauri kuwa mtu awe nalo labda uwe na uwezo wa pesa, natumia kwa safari sasa sana na lipo saafi na lina bugia wese balaa gari ya starehe na nguvu.
Nimenunua gari mbili hilux 2017 used na harrier 2008 used yaani na enjoy hamna shida natumia killa siku na masafa mafupi mambo safi na wife nimemchukukia Crown Athletic 2010 ( alikuwa na Bmw x5 ilitushinda) ana enjoy na kwa sasa hata pesa zinabaki na mjengo wetu unaelekea kwisha bado kidogo.
Nimemiliki namshukuru mungu gari nyiingi aina nyiingi , Gari ni Toyota kwa Africs.
Nissan naitangaza hakuna mteja na mpango wa kuliuza lipo safi sasa hata offer niliyopeea ya Mill 100 bora kuliko likianza matatizo.
Nimeagiza Toyota Prado Diesel litafika mwishoni mwa mwaka kwa njia ya finance la mwaka 2021 ni mara dufu bora.
Kuna jamaa yangu analo la 2016 hadi leo KM 278,780 hamna shida ni Breki na service tu.
Kwa uchache Bongo ni Toyota hata ukiwa na pesa vipi zingine ni majanga tu.
Nissan Patrol Y62 V8 , Ya petrol, 2017, ina five years sasa nimenunua mpya Nissan pale 124,700USD, SASA ina kilometa 102345.Habari Boeing 747 .
Ukipata muda soma hii content ya huyu Mtanzania mwenzetu (anayedai):
1. Asili ya kiarabu.
2. Anamiliki Hilux ya 2017.
3. Anamiliki Nissan Patrol ya 2017 (ambayo ilimcost 27 millions kuifanyia matengenezo).
4. Mke wake anaendesha Crown ya 2010 (mwanzo alikua anaendesha BMW X5).
5. Pia amenunua Harrier.
6. Anajiweza kiuchumi.
Sio kwa mfumo huu wa bei
Hello! Bidhaa ambazo naona hazijapanda bei kwa Dar es salaam hii ni nyama, chumvi, viberiti, mbao basi. Maji yamepanda bei Nguo zimepanda bei Vifaa vya shule vimepanda bei Vyakula vimepanda bei Nondo zimepanda bei Misumari imepanda bei Cement imepanda bei Mabati yamepanda bei Gypsum board...www.jamiiforums.com
Kiujumla magari mengi ya ulaya hassa uingereza na ujerumani karibu yoote yanakuwa over Engineared ! Wanazingatia saana usalama na comfort ya gari, vile vile yanakuwa yametembea saana kilometa nyiingi, likiisha warranty wanauza.
Kwa namna hiyo kununua yaliyotumika used, kuwa na changa moto nyiingi saana na kati ya gari kumi saba hazifiki miaka mitatu Bongo, ununue iliyo kuwa bado ina upya itakupa muda kiasi, nimemiliki nyiingi tu kweli likiwa used na model chini ya miaka 13 hazifai. Bora kuanzia 2015 ambazo ni za gjhali saana. Sishauri mtu mwenye kipato chochote kununua gari ya zamani mno za Europe ni pasua kichwa.
Kwa mjapan Nissan nyiingi zinafanana spare parts zake tabu na bei juu mfano. Namiliki Nissan Patrol y62 ya 2017 - gari V8 ina nafasi ina nguvu nilinunua mpya sasa inasoma laki km kwenye Dash board ilipofika kM 92,000 ilisumbua sana senser, ignition coils,plugs,rejeta, fuel pump n.k. nilisimamisha miezi mitatu nakusanya nguvu kuagiza spare na ufundi wa uhakika limegharinu zaidi ya milioni 27. Kwa sasa lipo saafi illa sishauri kuwa mtu awe nalo labda uwe na uwezo wa pesa, natumia kwa safari sasa sana na lipo saafi na lina bugia wese balaa gari ya starehe na nguvu.
Nimenunua gari mbili hilux 2017 used na harrier 2008 used yaani na enjoy hamna shida natumia killa siku na masafa mafupi mambo safi na wife nimemchukukia Crown Athletic 2010 ( alikuwa na Bmw x5 ilitushinda) ana enjoy na kwa sasa hata pesa zinabaki na mjengo wetu unaelekea kwisha bado kidogo.
Nimemiliki namshukuru mungu gari nyiingi aina nyiingi , Gari ni Toyota kwa Africs.
Nissan naitangaza hakuna mteja na mpango wa kuliuza lipo safi sasa hata offer niliyopeea ya Mill 100 bora kuliko likianza matatizo.
Nimeagiza Toyota Prado Diesel litafika mwishoni mwa mwaka kwa njia ya finance la mwaka 2021 ni mara dufu bora.
Kuna jamaa yangu analo la 2016 hadi leo KM 278,780 hamna shida ni Breki na service tu.
Kwa uchache Bongo ni Toyota hata ukiwa na pesa vipi zingine ni majanga tu.
The VK56 5.6l V8 engine is sensitive to the quality of the fuel. The common problem associated with this is similar to the one on the VQ35 V6 engine. Bad fuel destroys catalyst converters on these engines, and that process accompanies by small production of dust and small pieces. The dust from the catalyst converters is absorbed by the engine, penetrates inside and grinds the cylinder walls, and then, washed by oil after that. This causes a rapid ware of all internal components (piston rings, cylinder walls, bearings). If it happened, well, you need a new engine. Symptoms of that disaster are the next: high oil consumption, loss of power, rough idle.
Timing chains are not reliable. In most cases, the right one is a weak spot. It stretches out sometimes even after only 30k miles. Aggressive driving with flour accelerations reduces the life of timing chains noticeable. The right chain also drives the high-pressure fuel pump, and in this case, the problem can be related to a failed pump. So, it is better changing timing chain along with high-pressure fuel pump, otherwise, it may happen again. By the way, the VK56 has a quite unreliable high-pressure fuel pump, which rarely goes more than 50,000-60,000 miles of mileage (80,000-90,000 km).
Besides that, keep an eye on the cooling system (radiator condition, level of coolant, and etc.), because the engine is inclined to overheat, especially the early models. They were equipped with unreliable AC condenser radiator cooling fan, which might jam and cause overheating. The engine suffers enough damage from overheating - twisted heads, blown head gaskets.
But in general, if you will keep it well maintained, use good quality parts, motor oil, and gas, the Nissan 5.6-liter engine last more than 250,000 miles (400,000 km).
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umeeleza vizuri..
Samahani lakini, we ni Muhaya..??
[emoji848][emoji848]Umeeleza vizuri..
Samahani lakini, we ni Muhaya..??