JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Hebu mtu yoyote aingine Facebook au Insta asearch Import by Kairo uone luxury Cars wanazoimport hawa wakenya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo msiba sio ununio kwelikuna mahali nilishiriki kuaga msiba mmoja nikakuta magari matano matatu yakiwa BMW yametaga kabisa.
ingawa jamaa ana pesa ila nikawaza si bora auze tu watu wayapasue kuliko yanavyozidi kuoza.
ila zilikuwa akili zangu nisiekuwa na mpunga.
Mbona ipo freshNoah voxy
Bei ya vipuri ndo ninaongelea hapo.Hivi kweli ni magari mabovu au wabongo sisi hatupendi service. Ndio maana yanakufa mapema. Maana huku Ulaya una kutana na chuma cha mwaka 1998 kipo fresh wala kutu hakina
Hichi ndio kinawabeba huko kwa wenzetu.. Hiyo warranty tu ndio msaada.. Maana trip za garage za kutosha.Mkuu tukiwaambia watu Yale Ni magari ya matajiri hua wanabisha sana,Ile ngoma inatakiwa warranty ikiisha unachukua Chuma kingine chap.
Kusumbua na bei ni vitu viwili tofauti..Mambo mtaani na huko jf ni mbingu na ardhi, wanaosemaga spare za toyota hazisumbua sijui wanapataga waapi hili
Ina matatizo ya brake system, mfumo wake wa umeme una errors kibao sidhani kama kuna matoleo mengine tofauti na hio iliyopo mtaaniTuambie zaidi mdau, kwanini mtu asiguse?
Na ni Vista zote ama toleo fulani specific ?
Duh sasa unajuajee Kama temperature iko high?Na walivyowajinga, hawajaweka gauge ya temperature.
Bajaj kwa hawa madereva ni biashara kichaaSina experience sana na magari ila kuhusu bajaji simshauri mtu anunue bajaji ambayo ndio toleo la kwanza kuingia sokoni na zile ambazo hazina mfumo wa Kick.
Nimeonja joto la jiwe sina ham nazo kabisa
Nimeweka 40 juzi nikapewa Lita 11Nimetokea kuyachukia magari yote baada ya juzi kupewa lift mwenye gari akaweka mafuta ya elfu 40 na hayakufika hata Lita 12
Kweli aiseBajaj kwa hawa madereva ni biashara kichaa
🤣🤣🤣 utajua gari inawaka alama ya high temperatures na kuingia limp mode. Hapo ni umeua water pump (Mil 1.2 au zaidi).Duh sasa unajuajee Kama temperature iko high?
😄😄😄😄 Uko sahihi kabisa mkuu,Ni vile tu Wajerumani weusi wa JF hua hawakubali ukweli huo mzee.Hichi ndio kinawabeba huko kwa wenzetu.. Hiyo warranty tu ndio msaada.. Maana trip za garage za kutosha.
Car Problems | CarComplaints.com
Mobile-friendly version of CarComplaints.com. What's wrong with YOUR car?m.carcomplaints.com
Link nimeweka hapo. Ukipitia utajua kila mtu analia... Nyingine ni mpya kabisa ila ni mawazo tu.
Mkuu, hiyo Subaru yako ina matatizo makubwa tu... Subaru hata iwe imechoka vipi, lita 1 inaenda sio chini ya kilometa 10 iwe Impreza au Forester...Subaru inakula mafuta san na kwa halii ni hasara kwakweli 90 per kila ukiweka
Wazungu na wamarekani hawategemei kukaa na gari zaidi ya miaka 3Wazungu wasingekuwa wananunua. Tukubali tuu sisi wabongo ni watu hatufuati taratibu za service.
Soma nivyomjib huyoYani hayo magari ya Ulaya unavyosema mabovu [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]wazungu wasingekuwa wananunua au yasingekuwa Yanauzwa bei kubwa
Ubovu wa gari sio Gearbox na Engine tu, kama BM engine zao waga ziko vzr, inategemea na aina gan ya engine na toleo lipYaani hapa unaidiss mercedes benz
Halafu hapa unakuja kuipraise Jeep.
Kuna Jeep Wrangler nyingi tu Engine na Gearbox vyote kafunga from Mercedes. Halafu bei mkasi. Halafu ndio gari inaongoza duniani kwa kutoshuka bei kama nyanya.
Ubovu wa gari sio Gearbox na Engine tu, kama BM engine zao waga ziko vzr, inategemea na aina gan ya engine na toleo lip