JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Duh sasa unajuajee Kama temperature iko high?
Bimmer nadhani zinakuwa na Taa.
Ila Audi na VW zina gauge ya temperature.
Mercedes nmesahau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh sasa unajuajee Kama temperature iko high?
Hamjanielewa nimesema subaru inanyonya mafuta halafu kwa siku unaweza tumia elfu 90 .Mkuu, hiyo Subaru yako ina matatizo makubwa tu... Subaru hata iwe imechoka vipi, lita 1 inaenda sio chini ya kilometa 10 iwe Impreza au Forester...
Jaribu kuscan gari then check live data za fuel trims waweza jua tatizo liko wapiHamjanielewa nimesema subaru inanyonya mafuta halafu kwa siku unaweza tumia elfu 90 .
Ndio ila hapo kuna tatizo kubwa sana ktk hio Subaru yako... Mafuta ya elfu90 ni lita 25 ambapo inatakiwa utembee kilometa 250... ambapo Subaru zote kwa kawaida inatakiwa itembee sio chini ya Km10 kwa lita 1. Nenda garage nzuri wataalam wa Subaru... Nimetumia Subaru Impreza na Forester kwa miaka 5, sijawah kutana na utumiaji mkubwa kias hikoHamjanielewa nimesema subaru inanyonya mafuta halafu kwa siku unaweza tumia elfu 90 .
Gari zote Za kijerumani isipokuwa benz, gari zote Za UK, Nissan xtra, Nissan Mach, hino, vits new model,Wana Jf salaam,
Ikiwa ni weekend tulivu kabisa.
Kama tujuavyo, kumiliki gari sasa hivi ni miongoni mwa vitu vya muhimu sana.
Wamiliki wapya wanaongezeka kila kukicha, na kwa bahati mbaya wengi hujikuta wanamiliki magari ambayo baadae yanakuja kuwapa changamoto na kujutia kabisa.
Leo embu tuambiane ukweli, pengine kupitia uzi huu utakua msaada kwa mtu au watu kabla ya kufanya maamuzi ya kuingia kwenye dunia ya umiliki wa gari.
Ni gari gani ambayo hauwezi kumshauri mtu kununua na ni kwanini?
Umeeleza vizuri..Kiujumla magari mengi ya ulaya hassa uingereza na ujerumani karibu yoote yanakuwa over Engineared ! Wanazingatia saana usalama na comfort ya gari, vile vile yanakuwa yametembea saana kilometa nyiingi, likiisha warranty wanauza.
Kwa namna hiyo kununua yaliyotumika used, kuwa na changa moto nyiingi saana na kati ya gari kumi saba hazifiki miaka mitatu Bongo, ununue iliyo kuwa bado ina upya itakupa muda kiasi, nimemiliki nyiingi tu kweli likiwa used na model chini ya miaka 13 hazifai. Bora kuanzia 2015 ambazo ni za gjhali saana. Sishauri mtu mwenye kipato chochote kununua gari ya zamani mno za Europe ni pasua kichwa.
Kwa mjapan Nissan nyiingi zinafanana spare parts zake tabu na bei juu mfano. Namiliki Nissan Patrol y62 ya 2017 - gari V8 ina nafasi ina nguvu nilinunua mpya sasa inasoma laki km kwenye Dash board ilipofika kM 92,000 ilisumbua sana senser, ignition coils,plugs,rejeta, fuel pump n.k. nilisimamisha miezi mitatu nakusanya nguvu kuagiza spare na ufundi wa uhakika limegharinu zaidi ya milioni 27. Kwa sasa lipo saafi illa sishauri kuwa mtu awe nalo labda uwe na uwezo wa pesa, natumia kwa safari sasa sana na lipo saafi na lina bugia wese balaa gari ya starehe na nguvu.
Nimenunua gari mbili hilux 2017 used na harrier 2008 used yaani na enjoy hamna shida natumia killa siku na masafa mafupi mambo safi na wife nimemchukukia Crown Athletic 2010 ( alikuwa na Bmw x5 ilitushinda) ana enjoy na kwa sasa hata pesa zinabaki na mjengo wetu unaelekea kwisha bado kidogo.
Nimemiliki namshukuru mungu gari nyiingi aina nyiingi , Gari ni Toyota kwa Africs.
Nissan naitangaza hakuna mteja na mpango wa kuliuza lipo safi sasa hata offer niliyopeea ya Mill 100 bora kuliko likianza matatizo.
Nimeagiza Toyota Prado Diesel litafika mwishoni mwa mwaka kwa njia ya finance la mwaka 2021 ni mara dufu bora.
Kuna jamaa yangu analo la 2016 hadi leo KM 278,780 hamna shida ni Breki na service tu.
Kwa uchache Bongo ni Toyota hata ukiwa na pesa vipi zingine ni majanga tu.
Mzee umeua.mim toka mdogo pale mwenge karibu na polisi kwa nyuma ule mtaa ma bmw na mabenz mazur mazur ila mabov hatar1. nissan extrail, hii imeshachangiwa na members wengine humu tayari, cha kuongezea tu ni kwamba hizo nissan wenyewe walitoaga tamko kwama walibugi kwenye hizo gari, kuchemsha hilo gari ni ugonjwa mkubwa, labda ubadilishe rejeta uweke kubwa_modification
2. European cars ambazo hazijathibitshwa na wenyewe, kwamba umenunua kwa third part owners kama sbt, kwa mtu, befoward etc..yaani iwe bmw, volvo, honda etc kama umenunua used kwa mtu basi jua asilimia ya kuwajua mafundi wote hapa mjini ni mkubwa sana, nunua hata ikiwa used iwe imethibitishwa iko okay na authourised European car agent wa hayo magari..itakupa garantii kwamba sensor hazijawa bypassed etc etc engine haijawahi chezewa ili kukunusuru otherwise buy 0 km car.
ukitaka kuthibitisha hili nenda kuna mtaa mmoja hapo mwenge kule karibu na mapambano yamejaa mabmw, nenda kinondoni hananasif mtaa wote umejaa rangerover..au tembelea mitaa ya mbezi beach, makumbusho uone bmw na rangerover zimekuwa mapagale..
3. Daihatsu Terrios/ camry...automatic gear box zake mbovu
4. mazda tribute, hyundai , isuzu trooper, bighon, honda oddesy..hamna spare utachina na hela unayo, litaishia kupaki uwani liwe jumba la panya..spare mpaka nairobi au japan
5. Nissan kwa ujumla: ie terrano, navara.. hazikopeshi hizi gari, hazivumilii watu maskini, ihudumie ikuhudumie, ikose maji tu au oil mlimani inakukaangia engine dakika 0 tu..iwekee shock up og ukiweka za 80k wiki tu unayaingia mashimo mazima mazima.
Pendekezo.
Toyota ndo magari yako made for us, yanavumilia, hata ukiyawekea oil ya boda boda yatakuvumilia..nenda milimani mahenge uko utakua toyota corolla ya mwaka 89 inakilometa laki 6 na inapiga kazi mzee.
hahaha yes. na si kwamba wenye nayo hawana hela wanayo ila wameamua kuyapuuzia.Mzee umeua.mim toka mdogo pale mwenge karibu na polisi kwa nyuma ule mtaa ma bmw na mabenz mazur mazur ila mabov hatar
Natumaini wazima nyote humu.Ufafanuzi tafadhali
Hapana, namuheshimu killa mtu. Mimi ni mtanzania mwenye asli ya uarabu.Umeeleza vizuri..
Samahani lakini, we ni Muhaya..??
Vipi kuhusu mnyama legency kila kukicha watu wana jitahidi kuziuza tena bei ya kawaida Forester xT habari nyingine inapuuliza wese asikwambie mtuMkuu, hiyo Subaru yako ina matatizo makubwa tu... Subaru hata iwe imechoka vipi, lita 1 inaenda sio chini ya kilometa 10 iwe Impreza au Forester...
Legacy zinauzwa cheap kwasabab zimepoteza mvuto na muonekano wake kama tax za kizaman alafu ndani space ndogo😅, ila si kwamba ni mbovu au zina shida... Subaru XT tena uikute ni Turbo inavuta wese sana wenyew wanasema Turbo ili isile mafuta inataka speed ukiwa high way ndio utainjoi ila ukiwa na trip za mjini tu wese linaenda, japo sio sana kias cha kutisha ni 9km per lita...Vipi kuhusu mnyama legency kila kukicha watu wana jitahidi kuziuza tena bei ya kawaida Forester xT habari nyingine inapuuliza wese asikwambie mtu
Subaru inakula mafuta san na kwa halii ni hasara kwakweli 90 per kila ukiweka
Kiujumla magari mengi ya ulaya hassa uingereza na ujerumani karibu yoote yanakuwa over Engineared ! Wanazingatia saana usalama na comfort ya gari, vile vile yanakuwa yametembea saana kilometa nyiingi, likiisha warranty wanauza.
Kwa namna hiyo kununua yaliyotumika used, kuwa na changa moto nyiingi saana na kati ya gari kumi saba hazifiki miaka mitatu Bongo, ununue iliyo kuwa bado ina upya itakupa muda kiasi, nimemiliki nyiingi tu kweli likiwa used na model chini ya miaka 13 hazifai. Bora kuanzia 2015 ambazo ni za gjhali saana. Sishauri mtu mwenye kipato chochote kununua gari ya zamani mno za Europe ni pasua kichwa.
Kwa mjapan Nissan nyiingi zinafanana spare parts zake tabu na bei juu mfano. Namiliki Nissan Patrol y62 ya 2017 - gari V8 ina nafasi ina nguvu nilinunua mpya sasa inasoma laki km kwenye Dash board ilipofika kM 92,000 ili
.
.
.APO USIKUTE BANDO LA KUINGIA JF UMEMUIBIA SHEMEJI YAKO CHENCH ALIVYO KUTUMA KARANGA
Imprezza ina tofaut gani na IST? Kwa cc?
Legacy zinauzwa cheap kwasabab zimepoteza mvuto na muonekano wake kama tax za kizaman alafu ndani space ndogo[emoji28], ila si kwamba ni mbovu au zina shida... Subaru XT tena uikute ni Turbo inavuta wese sana wenyew wanasema Turbo ili isile mafuta inataka speed ukiwa high way ndio utainjoi ila ukiwa na trip za mjini tu wese linaenda, japo sio sana kias cha kutisha ni 9km per lita...