Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Kuna gari moja pendwa sana
Ina version tofauti za engine
RAV 4 KILL TIME(SECOND GENERATION)
Iko na engine za aina mbili
Kuna 1ZZ VVT(Haina shida hii)
Kuna 1AZ SFE(Hapa ndo changamoto)
Kwepa hii engine maana rav 4 nyingi zenye hiyo engine zimepack zinaleta usumbufu sana has kwa long safari. Zinachemsha na unapaswa kujiandaa kubadil block or full engine kila muda
Nimewahi kuwa bayo hii gari kwa miaka 2 niliuza kwa hasara kabisa
Na wabaojua gari vizuri wakiona hiyo engine wanakwepa biashara hiyo
1AZ-FSE nI engine ilioua soko la gari nyingi za
Toyota mfano Noah mayai au Voxy, Isis Platana, na gari nyinginezo ambazo zina share hio engine mfano Opa, Rav 4, AVENSIS na baadhi ya Premio.
 
Kwa experience yangu ya kuwa na magari, hakuna gari rahisi kuimaintain na kudetect na kutambua tatizo kama hizi za Germany, kwa tanzania BMW ni rahisi zaidi, changamoto ni ukitaka kuitreat kama toyota itakuumbua.

Toyota watu wanazisifia sana kwamba dashboard huwa haiwaki kama mtu wa chrismass ila this is a very bad thing.

Hivi kuna ubaya gani gari ikikualert kwamba kuna tatizo?

Imagine unaendesha gari inemwaga maji yote lakini bado haikupi alert yoyote. Mpaka lichemshe ndio uone alert.
 
Kwa mtu wa kawaida nakushauri usinunie Magari ya Ulaya, mengi mabovu, labda Volvo kwa mbali, ila wengine wote akina Fiat, Range Rover, Benz, BMW, Tuareg, Mini Cooper wote wabovu, Kwa magari ya Mjapani Nissan ndo anawaaibisha, ukitaka kufaidi gari nunua tu Toyota, ata kiwe ka Km laki moja we nunua tu, ata Visubaru we nunua tu viko frsh

Na magari ya Marekani mengi yako poa, Akina Ford, hasa Everest na Ranger,
Akina Jeep, wako vzr, japo ukinunua Cadillac iombee kwa Muumba

Magari ya Ulaya usinunue kama hayana Warrant mengi mabovu japo ukiwa nalo utahisi wewe pekee ndo mwenye gari
 
Toyota watu wanazisifia sana kwamba dashboard huwa haiwaki kama mtu wa chrismass ila this is a very bad thing.

Hivi kuna ubaya gani gari ikikualert kwamba kuna tatizo?

Imagine unaendesha gari inemwaga maji yote lakini bado haikupi alert yoyote. Mpaka lichemshe ndio uone alert.
Kweli ila zina ubora ko ata ikichelewa haina shida
Sasa jaribu kuendesha AUDI maji hamna, kidogo tu utasoma namba[emoji23][emoji23]
 
Gari ninazo zipenda mimi ni Land cruiser 1hz na Alphard, hizo nazipenda bila sababu ya msingi

Kinyume na hizo sita mshauri mtu anunue sababu siwezi mshauri mtu anunue kitu ambacho mimi mwenyewe sikipendi ingawa sina sababu ya kuto zipenda ila kama akitaka mwenyewe akanunue.
 
Sijui alikua na BMW mode gani labda langu lina mkosi. Sio langu tu, na za washkaji zangu zetu zina mikosi.

BM common sana Tanzania ni 3 series. Sana sana sahivi naona E90 za kutosha. Ambazo zina share platform na X3 1st generation E83 ambazo nazo zipo za kutosha.

Mzee bab, German engineering gari kali 5 years tu tokea likiwa jipya. Baada ya hapo umiza kichwa.
Wazungu wasingekuwa wananunua. Tukubali tuu sisi wabongo ni watu hatufuati taratibu za service.
 
Kwa mtu wa kawaida nakushauri usinunie Magari ya Ulaya, mengi mabovu, labda Volvo kwa mbali, ila wengine wote akina Fiat, Range Rover, Benz, BMW, Tuareg, Mini Cooper wote wabovu, Kwa magari ya Mjapani Nissan ndo anawaaibisha, ukitaka kufaidi gari nunua tu Toyota, ata kiwe ka Km laki moja we nunua tu, ata Visubaru we nunua tu viko frsh

Na magari ya Marekani mengi yako poa, Akina Ford, hasa Everest na Ranger,
Akina Jeep, wako vzr, japo ukinunua Cadillac iombee kwa Muumba

Magari ya Ulaya usinunue kama hayana Warrant mengi mabovu japo ukiwa nalo utahisi wewe pekee ndo mwenye gari
Yani hayo magari ya Ulaya unavyosema mabovu [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]wazungu wasingekuwa wananunua au yasingekuwa Yanauzwa bei kubwa
 
Kweli ila zina ubora ko ata ikichelewa haina shida
Sasa jaribu kuendesha AUDI maji hamna, kidogo tu utasoma namba[emoji23][emoji23]

Hebu angalia hii video halafu uniambie. Achana na tech ya mjerumani.



Me nmeshaendesha Audi A4 B7 kipande kirefu tu halafu lilikuwa linachemsha na halikuleta shida. This is my own experience siyo ya kusimuliwa.

Jamaa yangu aliendesha VW Polo tena huyu ndio Km nyingi kweli ikiwa inachemsha na haikuleta shida kabisa.

Sasa fanya hicho kitu kwenye toyota litazima halafu force kuwasha uone kitakachokupata.
 
Volvo kwa mbali, ila wengine wote akina Fiat, Range Rover, Benz, BMW, Tuareg, Mini Cooper wote wabovu,
Yaani hapa unaidiss mercedes benz

Akina Jeep, wako vzr, japo ukinunua Cadillac iombee kwa Muumba

Halafu hapa unakuja kuipraise Jeep.

Kuna Jeep Wrangler nyingi tu Engine na Gearbox vyote kafunga from Mercedes. Halafu bei mkasi. Halafu ndio gari inaongoza duniani kwa kutoshuka bei kama nyanya.
 
Back
Top Bottom