Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Subaru inakula mafuta san na kwa halii ni hasara kwakweli 90 per kila ukiweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo ujue brush za kwenye starter zimekwisha. Fungua starter badlisha
Na mpango wa benzi weee hadi raha walahi napenda benzi halafu Range Rover, ndugu yangu hii hata sijawahi kuiona ila nijue linaitwa hivyoo.Na Benz, Land Rover, Porche, Bentley, n.k.
Naweza kuitambua vipi Nissan trail toleo la kwanza na piliNissan X trail kizazi cha Kwanza na cha pili
Duh mimi kwny Toyota/Lexus naona Bora kukamata generations za mwanzo, Maana wao generations zinavyozidi kua latest ndivyo nao wanaanza kua complicated Kama vile Wajerumani.
Labda ina shida mkuuSubaru inakula mafuta san na kwa halii ni hasara kwakweli 90 per kila ukiweka
1AZ-FSE nI engine ilioua soko la gari nyingi zaKuna gari moja pendwa sana
Ina version tofauti za engine
RAV 4 KILL TIME(SECOND GENERATION)
Iko na engine za aina mbili
Kuna 1ZZ VVT(Haina shida hii)
Kuna 1AZ SFE(Hapa ndo changamoto)
Kwepa hii engine maana rav 4 nyingi zenye hiyo engine zimepack zinaleta usumbufu sana has kwa long safari. Zinachemsha na unapaswa kujiandaa kubadil block or full engine kila muda
Nimewahi kuwa bayo hii gari kwa miaka 2 niliuza kwa hasara kabisa
Na wabaojua gari vizuri wakiona hiyo engine wanakwepa biashara hiyo
Kwa experience yangu ya kuwa na magari, hakuna gari rahisi kuimaintain na kudetect na kutambua tatizo kama hizi za Germany, kwa tanzania BMW ni rahisi zaidi, changamoto ni ukitaka kuitreat kama toyota itakuumbua.
Hii huhitaji kuwa na shade kuzuia jua, unavua shati au koti unaifunika kazi imeishaPasso
😂😂😂 Ingekuwa toyota ingetoboa bila shida. Alisikia mjapani mmoja.Duuh...Kuna mshikaji katoka Moshi kwendo Dom njiani kamevuja rejeta akaamua kufosi kwenda nayo...duuh oil na maji vikachanganyika ...jamaa akawa amekaanga engine...ni hatari!!
Kila la heri mamaaaNa mpango wa benzi weee hadi raha walahi napenda benzi halafu Range Rover, ndugu yangu hii hata sijawahi kuiona ila nijue linaitwa hivyoo.
Kweli ila zina ubora ko ata ikichelewa haina shidaToyota watu wanazisifia sana kwamba dashboard huwa haiwaki kama mtu wa chrismass ila this is a very bad thing.
Hivi kuna ubaya gani gari ikikualert kwamba kuna tatizo?
Imagine unaendesha gari inemwaga maji yote lakini bado haikupi alert yoyote. Mpaka lichemshe ndio uone alert.
Hivi kweli ni magari mabovu au wabongo sisi hatupendi service. Ndio maana yanakufa mapema. Maana huku Ulaya una kutana na chuma cha mwaka 1998 kipo fresh wala kutu hakinaKama BMW inakupasua kichwa vipi kwenye Audi, Volvo?
Wazungu wasingekuwa wananunua. Tukubali tuu sisi wabongo ni watu hatufuati taratibu za service.Sijui alikua na BMW mode gani labda langu lina mkosi. Sio langu tu, na za washkaji zangu zetu zina mikosi.
BM common sana Tanzania ni 3 series. Sana sana sahivi naona E90 za kutosha. Ambazo zina share platform na X3 1st generation E83 ambazo nazo zipo za kutosha.
Mzee bab, German engineering gari kali 5 years tu tokea likiwa jipya. Baada ya hapo umiza kichwa.
Yani hayo magari ya Ulaya unavyosema mabovu [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]wazungu wasingekuwa wananunua au yasingekuwa Yanauzwa bei kubwaKwa mtu wa kawaida nakushauri usinunie Magari ya Ulaya, mengi mabovu, labda Volvo kwa mbali, ila wengine wote akina Fiat, Range Rover, Benz, BMW, Tuareg, Mini Cooper wote wabovu, Kwa magari ya Mjapani Nissan ndo anawaaibisha, ukitaka kufaidi gari nunua tu Toyota, ata kiwe ka Km laki moja we nunua tu, ata Visubaru we nunua tu viko frsh
Na magari ya Marekani mengi yako poa, Akina Ford, hasa Everest na Ranger,
Akina Jeep, wako vzr, japo ukinunua Cadillac iombee kwa Muumba
Magari ya Ulaya usinunue kama hayana Warrant mengi mabovu japo ukiwa nalo utahisi wewe pekee ndo mwenye gari
Kweli ila zina ubora ko ata ikichelewa haina shida
Sasa jaribu kuendesha AUDI maji hamna, kidogo tu utasoma namba[emoji23][emoji23]
Yaani hapa unaidiss mercedes benzVolvo kwa mbali, ila wengine wote akina Fiat, Range Rover, Benz, BMW, Tuareg, Mini Cooper wote wabovu,
Akina Jeep, wako vzr, japo ukinunua Cadillac iombee kwa Muumba