Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Haya

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Ingia TikTok nicheki kwa jina la IssaTambuu halafu tuyajenge

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Upo vizuri nicheki TikTok @IssaTambuu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Broo una magar had milion 100 na Bado ujajenga uko vzr mzee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
VW Touareg
 
Shekh nafikir ni kuachana na mtu maana ukisema magar hayo mtu anaona haiwezekan dunian kuwa nayo.alikuwapo qaruun na utajir funguo tu za safe zake zilikua zinakokotwa na farasi hakuna aliyeweza kubeba.
Husda tu .mbona mi namjua tena juz tu mtu ameagiza Thailand gar ya 50,000usd
 
Kweli brother, acha tufanye kazi tujitahid .
Mwisho wa yoote duniani ni kufanya wema na maendeleo yako na familia.
Mwishowe ya yoote haya tutayaacha.
Itabaki historia na ni bora iwe historia njema.
 
Broo una magar had milion 100 na Bado ujajenga uko vzr mzee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimejenga All hamdulillah, umri niliyo nao.
Nimejenga saana, Iringa , Arusha na Dar magomeni na kijitonyama - ya kununua.
Mjengo mwingine upo over90% kigamboni Geza ulole chini.
INSHA ALLAH before october will be done.
Njoo PM kama una pesa uchukue nissan Y62 ,kama huitaki - endelea na maswali.
Bahati mbaya bafili ya kuelemishhana kuhusu magari tunaulizana uwezo wa mtu na mambo binafsi.
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…