Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,191
MUUNGANIKO KATI YA SHUGHULI ZA CCM KWA KUCHANGANYIKANA NA SHUGHULI ZA KISERIKALI KUNAFILISI NA KUDIDIMIA KWA MAENDELEO YA NCHI ZAIDI YA WALIVYOWEZA KUBAINI EUROPEAN UNION KWENYE UCHAGHUZI 2010
Surely, President Kikwete how do you just call-street party meetings into a government state house and you just do this without any bit of gult or shame??
Majuzi tu mkuu umetumia ndege yetu, posho zetu na muda wetu wa kufanyia serikali kazi ili mshahara wako wa February uingie ki-halali, kwenda na jopo kubwa la wana-CCM kwenye shughuli ya kichama na kucheza Makirikiri kule Botswana na wala hukuhisi huo UFISADI uliotendeka kwa kubaka rasmali ambazo kimsingi huna uhalali nayo kwa shughuli kama hiyo.
Makamu wako Bilal ilikua ni mpaka wananchi wamzomee kule Tunduma ndio apate kushtuka kwamba katika ziara ile watu walikua tayari kumsikiliza Makamu wa Rais wa JMT na katu hawakua tayari kusikia hata tone ya hutuba ya Kada wa CCM anayeishi katika ulimwengu wa ndoto akidhani kwamba Tanzania ya leo kila umwonaye barabarani bado eti ni mwana-CCM. Jmani mbona hamjifunziiiiiiiii?????
Mkuu wa Mkoa Stella Manyanya, naye pamoja na usomi wake ule wote bado kapumbazika ghafla tu kwa kushindwa kujua kwamba shughuli za ki-CCM ni tofauti kabisa na zile za ki-Serikali sawa tu na jinsi mambo yalivyo kwenye karakana za Engineering pale UDSM kwamba injini ya trekta ni tofauti kabisa na injini ya toyota saloon pamoja na kwamba yote bado hutajwa kama injini tu.
Prof Button vipi huyu mwanafunzi wako?? Eti anatumia hadhara ya kiserikali kukaribisha watu aliowabatiza jina kuwa ni Wana-CHADEMA kwenda CCM; ama kweli hata msomi akishajiunga huko naye yale yale!!!!!!!!
CCM wameulipa serikali ya JMT kiasi gani cha fedha kutumia ukumbi huo wa hapo state house, kutumia vinywaji na pengine hata kupewa posho?
Tafadhali Mkaguzi wa mahesabu za seriukali tunaomba taarifa juu ya bajeti na matumizi ya ikulu katika kipindi walau cha miaka 3 ya fedha ili tuone usahihi wa matumizi hayo, tija kwa taifa, na iweze kutupa mwanga wa kiasi gani chombo hiki kije kipewe au kisipewe kwenye bajeti ya mwaka ujao wa fedha.
Ewe mwanasheria Mkuu ambaye ndiwe mshuri mkuu wa serikali kuhusu maswala ya ki-sheria nchini, tafdhali andaa semina kubwa ajabu na ukamuite Dr Semboja wa chuo kikuu cha Dar es Salaam aje akawapige shule viongozi wetu hawa TOFAUTI KATI YA YALIO YA CHAMA NA YALE YALIO YA KISERIKALI kabla watu hatujaanza kuwaomba mkutano kule mahakamani juu ya matumizi mabaya ya ofisi na rasilmali ambazo hata wana-KAFU nao wamelipia.
Yaani hata wewe Januari Makamba tunaoaminishwa kukaa sana huko ughibuni batu tu tunakuona ukikata shingo kwenye THAT PAROCHIAL PARTY MEETING BUT USING STATE RESOURCE BELONGING TO MEMBERS OF ALL OTHER POLITICAL parties in the country yet without any shame on your face??
Hivi ndivyo mnavyotupigia kelele kila situ eti mnataka utawala wanchi hii iwe mikononi mwao baadhi ya WATANZANIA WANAOJIKWEZA KAMA VIJANA sasa wakati mienendo yao ndio kama hivi ya kizee kwelikweli hivi sawa tu na Mzee Pius Msekwa kwenye kikao hichop hicho?? Sasa ubani na mwarobaini ya ujana mnaoringia kila siku iko wapi hadi hapo??
Chonde Mhe Rais Kikwete, kabla haujafanya jitihada za kutenganisha kofia za U-Bunge na U-NEC huko ndani ya chama chenu ili kumdhibiti Lowassa na kumleta chaguo lako dhaifu kuja kuongoza nchi kwa kisingizio cha jinsia tu, hebu kwanza katutenganishie kofia ya kiserikali iwe mbali kabisa na ile ya kichama hata kabla hatujaingiza hili kwenye katiba mpya ijayo.
Surely, President Kikwete how do you just call-street party meetings into a government state house and you just do this without any bit of gult or shame??
Majuzi tu mkuu umetumia ndege yetu, posho zetu na muda wetu wa kufanyia serikali kazi ili mshahara wako wa February uingie ki-halali, kwenda na jopo kubwa la wana-CCM kwenye shughuli ya kichama na kucheza Makirikiri kule Botswana na wala hukuhisi huo UFISADI uliotendeka kwa kubaka rasmali ambazo kimsingi huna uhalali nayo kwa shughuli kama hiyo.
Makamu wako Bilal ilikua ni mpaka wananchi wamzomee kule Tunduma ndio apate kushtuka kwamba katika ziara ile watu walikua tayari kumsikiliza Makamu wa Rais wa JMT na katu hawakua tayari kusikia hata tone ya hutuba ya Kada wa CCM anayeishi katika ulimwengu wa ndoto akidhani kwamba Tanzania ya leo kila umwonaye barabarani bado eti ni mwana-CCM. Jmani mbona hamjifunziiiiiiiii?????
Mkuu wa Mkoa Stella Manyanya, naye pamoja na usomi wake ule wote bado kapumbazika ghafla tu kwa kushindwa kujua kwamba shughuli za ki-CCM ni tofauti kabisa na zile za ki-Serikali sawa tu na jinsi mambo yalivyo kwenye karakana za Engineering pale UDSM kwamba injini ya trekta ni tofauti kabisa na injini ya toyota saloon pamoja na kwamba yote bado hutajwa kama injini tu.
Prof Button vipi huyu mwanafunzi wako?? Eti anatumia hadhara ya kiserikali kukaribisha watu aliowabatiza jina kuwa ni Wana-CHADEMA kwenda CCM; ama kweli hata msomi akishajiunga huko naye yale yale!!!!!!!!
CCM wameulipa serikali ya JMT kiasi gani cha fedha kutumia ukumbi huo wa hapo state house, kutumia vinywaji na pengine hata kupewa posho?
Tafadhali Mkaguzi wa mahesabu za seriukali tunaomba taarifa juu ya bajeti na matumizi ya ikulu katika kipindi walau cha miaka 3 ya fedha ili tuone usahihi wa matumizi hayo, tija kwa taifa, na iweze kutupa mwanga wa kiasi gani chombo hiki kije kipewe au kisipewe kwenye bajeti ya mwaka ujao wa fedha.
Ewe mwanasheria Mkuu ambaye ndiwe mshuri mkuu wa serikali kuhusu maswala ya ki-sheria nchini, tafdhali andaa semina kubwa ajabu na ukamuite Dr Semboja wa chuo kikuu cha Dar es Salaam aje akawapige shule viongozi wetu hawa TOFAUTI KATI YA YALIO YA CHAMA NA YALE YALIO YA KISERIKALI kabla watu hatujaanza kuwaomba mkutano kule mahakamani juu ya matumizi mabaya ya ofisi na rasilmali ambazo hata wana-KAFU nao wamelipia.
Yaani hata wewe Januari Makamba tunaoaminishwa kukaa sana huko ughibuni batu tu tunakuona ukikata shingo kwenye THAT PAROCHIAL PARTY MEETING BUT USING STATE RESOURCE BELONGING TO MEMBERS OF ALL OTHER POLITICAL parties in the country yet without any shame on your face??
Hivi ndivyo mnavyotupigia kelele kila situ eti mnataka utawala wanchi hii iwe mikononi mwao baadhi ya WATANZANIA WANAOJIKWEZA KAMA VIJANA sasa wakati mienendo yao ndio kama hivi ya kizee kwelikweli hivi sawa tu na Mzee Pius Msekwa kwenye kikao hichop hicho?? Sasa ubani na mwarobaini ya ujana mnaoringia kila siku iko wapi hadi hapo??
Chonde Mhe Rais Kikwete, kabla haujafanya jitihada za kutenganisha kofia za U-Bunge na U-NEC huko ndani ya chama chenu ili kumdhibiti Lowassa na kumleta chaguo lako dhaifu kuja kuongoza nchi kwa kisingizio cha jinsia tu, hebu kwanza katutenganishie kofia ya kiserikali iwe mbali kabisa na ile ya kichama hata kabla hatujaingiza hili kwenye katiba mpya ijayo.