Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

ni ufala kununua mgodi ambao ulishachimbwa madini ya kutosha na kubaki PANGO.
 
102% upo sahihi hadi umepitiliza
 
Unamleta ni bikra mapenzi hajui halafu unamtukana ndani eti hajui mapenzi na unamsaliti nje kwa ambao sio mabikra




Ushauri mruhusu umpendae atoke nje ili akajifunze mwanaume anapenda nini na amfanyie nini akija kwako sio mwanafunzi tena
 
",,,,,yaani nichukue scrapper for 2m ya
nini yote hiyo....?"

mkuu hujawa tayari kuoa. siku ukiwa tayari hautakua tena na huo msamiati kwenye mdomo wako na mahali utatoa tu.
 
Unalipa mahari 2m alafu mtu anakuja kukupikia chapati ngumu kuliko maisha yako
 
Ukioa mwanamke ambaye sio bikira ni kwamba umeoa mke wa mtu..
 
Tafuta mwenye bikra ili awe mfano mzuri kwa watoto wako
 
Ndo kuoa gan huko kwa mkopo,?
Haina haja ya kutoa mahali....yaani unaenda kwa wakwe kuwaeleza kwamba utajitahidi kutafuta kidogokidogo utawalipa.......ila andaa kakiwango kadogo ka kuwaachia uendepo kujieleza kuhusu unavyompenda Mtoto wao na kuwaahidi utalipa mahali wewe mwenyewe na si wazazi wako......, ulieleza kwa hisia na mwenzio mtarajiwa akikusaidia kutoa maelezo, unaondoka naye Mtoto na ukifika huko futa wazo la kuwamalizia mahali...concentrate kuzaa watoto tu!.....hahahhaahaah
 
Si halali hata kidogo. mwanamke asie bikra si wa kutolea mahari hata kama ingekuwa ng'ombe mmoja tu kwangu never I can't buy a second hand ke and bring it in my household.
Used waoane wao kwa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…