Ni harufu ya ufisadi tu! Mikataba mikubwa ya trilioni ya pesa haiwekwi wazi na wala Bunge hatusikii likihusishwa. Tunaibiwa tushtuke kabla ya 2025

Ni harufu ya ufisadi tu! Mikataba mikubwa ya trilioni ya pesa haiwekwi wazi na wala Bunge hatusikii likihusishwa. Tunaibiwa tushtuke kabla ya 2025

Inashangaza sana kusaini mkataba mkubwa kama huo haraka kisiri siri. Inawezekana hatupati hata senti tano.

Kama una manufaa,faida kwa Watanzania kwanini hatuuweki wazi. Kama una manufaa kwa Watanzania utapendwa na kuungwa mkono.

Unajua JPM alituambia tutapata nini kwenye mikataba yote ya madini. Aliweka wazi vyote, wenye akili timamu tuliona manufaa kwetu na vizazi vyetu.

Simple wangefuata same principles, mikataba ile ile kwa rasilimali zetu zote. Waarabu, wazungu wanafanya hivyo.

Nahisi kila kipengele kwao walisema ndio, wakiangalia matumbo yao na asilimia kumi zao.

Kwanini kuwe na kigumumizi kuweka mikataba muhimu kwa Taifa wazi?

Loliondo inaunzwa kwa majangili kuwinda na kuchukua wanyama jinsi wanavyojisikia. Hakuna nchi inayojitambua ingefanya huu ujinga.

Kama wanyama wamezidi, wanasumbua wakulima anzisha mbuga mpya, wapeleke huko. Tuna mapori ya kutosha.

Kwanza walisema watauza vitalu na wanyama, wamebadilisha na kusema watauza wanyama hai. Maneno tofauti lengo lao ni lile lile. Kuuza wildlife.
JPM yupi aliweka mkataba wazi? Nitajie mkataba mmoja tu uliowekwa wazi na serikali yake?? Sheria tu za madini zilitungwa usiku usiku kwa hati ya dharura ndio eti alikua muwazi.

JPM alijitoa OGI, Alipinga sheria ya TEITI iliyotaka mikataba iwe wazi alafu mnakuja kumlaumu Mama Samia?
 
JPM yupi aliweka mkataba wazi? Nitajie mkataba mmoja tu uliowekwa wazi na serikali yake?? Sheria tu za madini zilitungwa usiku usiku kwa hati ya dharura ndio eti alikua muwazi.

JPM alijitoa OGI, Alipinga sheria ya TEITI iliyotaka mikataba iwe wazi alafu mnakuja kumlaumu Mama Samia?
Kwenye madini sakata ya Acacia, Barrick hujua chochote, Tanzania inanufaika vipi?

Naona ni mambo ya ligi za kitoto, Info zote zipo hapa JF.
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuunza machungwa. Tril 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi. Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika.

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
Walishagawana vya kwao tayari, unadhani kwanini pale kawekwa January?
 
Nishasemaga, hawa kenge wanajua sisi ni simba wa makaratasi, sisi wazee wa malalamiko mitandaoni, ndio maana bado wanafanya vimbwanga, Tanzania ya leo wanaitafuna, hawajali kuhusu kesho, wao wameshawaandalia vizazi vyao mema ya nchi.

Kelele hizi za chura(sisi) hazimzui tembo(viongozi) kunywa maji(keki ya taifa) [emoji23]
Ndiyo maana nishati yupo Makamba na ardhi yupo Kikwete fedha Mwigulu hakuna namna lazima nchi itafunwe haswa
 
Bakuli la Dubai linawapa Jeuri.
A guarantee, 'election' security vis-a-vis investment security. Binafsi 'sishtuki' lakini harufu kali inayotoka, inakufuru harufu.



Nahisi kuna marobota??(sio bakuli) hivyo kuna nguvu ya kunyamazisha ya kuwafanya (wabunge)waangalie kwingine wakati Minada na Ufisadi ukishamiri lakini sijafa moyo wanapigika, watashindwa! Wao ndio "Walioibiwa" Uzalendo.



Usicheze na nguvu ya Mwananchi tena mwenye njaa! nilichobakiwa nacho ni karata hii wala sio "Joker" ni Kura tu! Ni nguvu!

Pamoja na kelele zangu kwa sasa wacha hawa "Wastaa-arabu" wacheze karata zao, watajua "Uungwana" wangu.

Kweli kunanuka, ila kuna ile siku(tarehe kapuni)2025 CCM na Bunge lao watasikia harufu ya machungu ya Wananchi....Watamkumbuka Hayati J.P.M. hatakuwepo kuwasaidia.


CCM must go jamani dah
 
CCM OYEEEE
Hapo siyo CCM tu, chadema wanahusika. Waliopokea bahasha kwa msoga ili kuzima ajenda walikuwa CCM?

Yanayoendelea Ngorongoro yalianza kitambo, lakini watu wako bize na chai ya mama na hawamwonyi kuhusu hili.

Kifupi chadema wameolewa rasmi na CCM na wanakula sahani moja.
 
Mikataba iwekwe wazi , wawakilishi wa wananchi wajue kwakuwa kazi yao ni kusimamia nakuishauri serikali kama kweli mikataba hiyo imezingatia maslahi mapana ya Taifa ,,,
Bunge gani sasa akina babu tale na mwana FA? Lissu aliwaambia ingia mtaani kura zimeibiwa kila mtu akawa bisy na shughulizake mkitegemea watu waibe kura kisha wakuletee mikataba ya gesi nyumbani kwako?siku nyingine mkiambiwa na Lissu msikilize au mkubali yaishe mtu kama anaweza kupanga matokeo ya uchaguzi anashindwa nini?
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.

Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
HAKUNA BUNGE ndio maana KIKUNDI cha Watu SERIKALINI wanamaliza kila kitu



Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
JPM yupi aliweka mkataba wazi? Nitajie mkataba mmoja tu uliowekwa wazi na serikali yake?? Sheria tu za madini zilitungwa usiku usiku kwa hati ya dharura ndio eti alikua muwazi.

JPM alijitoa OGI, Alipinga sheria ya TEITI iliyotaka mikataba iwe wazi alafu mnakuja kumlaumu Mama Samia?
Sasa mbona na wewe unamchomeka ati "Mama Samia"

Halafu akitunguliwa na maneno yake uje useme "Hapendwi kwa sababu mwanamke" Hawampendi kwa sababu ni "Udini"
Sasa usishangae nimefika vipi na hayo juu


Huyo amesema JPM..."alituambia" na hakusema kuweka wazi.

Tiendelee
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.

Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
Wanaodai katiba mpya mnawaonaga wajinga, katiba ya zamani inampa mamlaka rais kusain mkataba bila kuwashirikisha wananchi
 
Kwenye madini sakata ya Acacia, Barrick hujua chochote, Tanzania inanufaika vipi?

Naona ni mambo ya ligi za kitoto, Info zote zipo hapa JF.
Kisiasa mbona hata mkataba huu ungeweza kuambiwa utakavyonufaika na Raisi angeweza kutengeneza mazingira ya kusaini mbele ya camera na kisha kutoa hotuba.

Swali ni, Ili tuseme mkataba umewekwa wazi ni jambo gani linafanyika?
 
Mikataba iwekwe wazi , wawakilishi wa wananchi wajue kwakuwa kazi yao ni kusimamia nakuishauri serikali kama kweli mikataba hiyo imezingatia maslahi mapana ya Taifa ,,,

JPM alisemwa sana kwa hili mara baada ya kuumaliza mwendo, tena alisemwa na kusemwa na hawa hawa walioko madarakani sasa na wenyewe wangoje wasubiri wafanye retirement.
 
Bunge gani sasa akina babu tale na mwana FA? Lissu aliwaambia ingia mtaani kura zimeibiwa kila mtu akawa bisy na shughulizake mkitegemea watu waibe kura kisha wakuletee mikataba ya gesi nyumbani kwako?siku nyingine mkiambiwa na Lissu msikilize au mkubali yaishe mtu kama anaweza kupanga matokeo ya uchaguzi anashindwa nini?
Watanzania ni wanafki sana waache waonje joto la jiwe
 
USA+Rostam+kikwete+SSH.

Tafuta tu ugali wa watoto, maana hamna kitu unaweza fanya ukiforce utanyang'anywa
uhai.

Bado dili moja kaa kwakutulie ut
tt
 
Mikataba ya ndege,sgr,Bwawa la Nyerere nk viliwekwa wazi? Jumla ni Til.ngapi?

Kwa hiyo ni piga nikupige? Kuharalisha ujinga kwa upumbavu? Si ni nyinyi mliokuwa mnapiga kelele za utawala wa JPM ulificha uwazi wa mikataba na SSH yuko wazi? Nyie vijana wa keyboards na buttons hamna chochote mnachojua katika serikali inavyoendeshwa, ukichagua kuwa chawa wewe kuwa chawa tu tabia za kunguni muwache.
 
Kwenye madini sakata ya Acacia, Barrick hujua chochote, Tanzania inanufaika vipi?

Naona ni mambo ya ligi za kitoto, Info zote zipo hapa JF.

Ukibishana na chawa tena hawa buggs jr hawa utapoteza muda. They are brainwashed brainless kwa medulla oblangata zao. They have no sense of empathy wala rational thinking [emoji189]
 
Kwa hiyo ni piga nikupige? Kuharalisha ujinga kwa upumbavu? Si ni nyinyi mliokuwa mnapiga kelele za utawala wa JPM ulificha uwazi wa mikataba na SSH yuko wazi? Nyie vijana wa keyboards na buttons hamna chochote mnachojua katika serikali inavyoendeshwa, ukichagua kuwa chawa wewe kuwa chawa tu tabia za kunguni muwache.
Wewe unajua serikali inavyoendeshwa?
 
USA+Rostam+kikwete+SSH.

Tafuta tu ugali wa watoto, maana hamna kitu unaweza fanya ukiforce utanyang'anywa
uhai.

Bado dili moja kaa kwakutulie ut
tt
 
Back
Top Bottom